IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,362
- 6,274
HahaaaaaKoeman pimbi sana lime muuza hadi semedo wolves
Hivi huyu kocha kwanini kapewa timu kipindi kigumu kama hiki???
Hatuna kocha kabisa
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]Koeman pimbi sana lime muuza hadi semedo wolves
Hivi huyu kocha kwanini kapewa timu kipindi kigumu kama hiki???
Hatuna kocha kabisa
Ushuhudi wa alichokisema Messi kwa board ya Barcelona upo na bado unaendelea :Kama kuku aliekatwa shingo
Another saga ya kuchanganyikiwa board ya Barcelona wamemuuza semedo so hatuna natural RB
Yaani mchezaji anakubali kuondoka team kubwa kama Barcelona anaenda Wolves -team ndogo ya wa portuguese kwa sababu anaona kabisa Barcelona hakuna bright future
Enyi watu nawaambia tuanze kuzoea ,Messi Barcelona huu ni msimu wake wa mwisho
Hata Kama Suarez kachoka huwezi kufanya replacement yake eti awe Depay ,unamkosea heshima El Pisterero (top 5 goal scorers wa Barca ame make history no matter what),na laana yake haitakosa kututafuna ,hivi niwaulizeni Paco Alcacer na Depay nani ni mzuri?au umeshawahi kujiuuliza kwanini wanahangaika usiku na mchana ili aletwe muholanzi Depay ,kwani Griezman aliletwa kwa kazi gani?hawamuamini tena?mbona waliunguza fedha nyingi sana kuletwa pale hadi ,financial status ya team ikakosa nafasi ya kumrudisha Neymar?The board is confused ,nani anajua sababu aliuzwa sub ya Suarez Paco Alcacer akaenda aka perform sana Borrusia Dortmond hadi alipokimbizwa na Halaand na kuamua kurudi zake Villarreal na kuacha kumbukumbu kule mwaka juzi?
Acha hilo mwezi uliopita wamefanya kituko kingine wamemuuza kijana wa miaka 23 kutoka America ya kusini team ya Gremio straight to Barcelona alikuja msimu wa 2018, Arthur Mello na wakamchukua Pjanic Milarem ambaye ana miaka 32 ,muda huo huo wakilalamika kua midfileder za Barcelona umri umekwenda (Sergio Busquets ,Ivan Rakitic ,Artulo Vidal),Hivi mnakumbuka ujio wa Paulinho 2017?msinichekeshe
Hivi mnakumbuka Barca mwezi February walimnunua striker Martin Braithwaite kwa pound mil 24 tena kutoka leganes ya Spain ambae alitetwa kwa mkopo kutoka Middlesbroug ya Germany??kulikua na sababu gani ya kumuuza Carlez Perez kwenda AC Roma(natural striker wa lamasia ambaye alikaririwa nchini Italy baada ya kuuzwa akisema pale Barcelona watoto wachanga board haina uvumilivu na sisi wa Lamasia )?
Je Messi anaposema Barcelona hamna project yoyote ,wala mpango wa kuitumia Lamasia kujenga team, wanafukia tu kashimo anakua amekosea?actions za board ya Barcelona speaks more than their promises
Tumeona kwa watoto waliopotezewa ramani na dira ya kuchezea team yao ya ndoto hii ni baadhi tu ya mifano Carlez Arena ,Riqui Puig huyo ametiwa depression recently ,tumeona kwa akina Miranda ,Dennis Suarez ,Munir El hadaad ,Deleofeu ,Sergi Samper ,Fundi Marc Cucurella eti unamuuza then unamnunua Junior Firpo eti ndio replacement ya Jordi Alba?
Hivi mnajua Thiago Alcantara bado mdogo wake Rafinha Alcantara yuko bado Barcelona anakopeshwa tu kila mwaka mara Inter Milan ,mara Celta Virgo ,kaka aliji offer tena kwa Barcelona sio chini ya mara tatu kuanzia 2016 baada ya kuuzwa kwa bei ya kutupwa mwaka 2015 akaelekea Buyern?Yeye wakati anakua pale Lamasia Cantera watoto wenzake walikua Wana brand na kumuita Kama the next Andrew Iniesta ,usishangae yeye kuongoza kupiga key passes na pass acuuracy ya 95% plus kwa sababu alikulia hivyo Lamasia na Barcelona ndio home hadi mzee wake Mazinho Alcantara ana card ya trusted legend wa Barcelona ,je unajua board walisema nini ?eti bora tumchukue Wijnaldum wa Liverpool
Hapo sitaki kupigilia msumari wa deal la usajili wa Dembele na Coutinho,wala saga la Neymar alivyoenda PSG na kutamani kwake mara moja kurudi Barcelona jinsi walivyolishughulikia
Nina wasiwasi Ansu Fatti ,chini ya menager wake mpenda fedha Mendez, team itakayo muhitaji ikifikia tu dau la kutosha ,Barcelona hawatajishauri mara mbili watamuuza na kumuacha Dembele [emoji23],kwani si tumeona kwa mtoto mdogo Xavi Simons (the next Xavi ) alivyouzwa PSG mwaka 2018?
Hatuna future pale ,let's begin from the scratch ,namtabiria mabaya sana huyu mzee wa kiholanzi
Barcelona hii biashara mlioifanya ya kumtoa bure luis suarez sio sawa
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Suarez: “You have to ACCEPT people's decisions ... when the club tells you you must leave ... and also the club must accept the player's desire when he asks to leave!!”
Shots fired
Sasa hivi tumu imepoteza uelekeo.Barcelona hii biashara mlioifanya ya kumtoa bure luis suarez sio sawa
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Suarez is third top all scorer of barcelonaUshuhudi wa alichokisema Messi kwa board ya Barcelona upo na bado unaendelea :Kama kuku aliekatwa shingo
Another saga ya kuchanganyikiwa board ya Barcelona wamemuuza semedo so hatuna natural RB
Yaani mchezaji anakubali kuondoka team kubwa kama Barcelona anaenda Wolves -team ndogo ya wa portuguese kwa sababu anaona kabisa Barcelona hakuna bright future
Enyi watu nawaambia tuanze kuzoea ,Messi Barcelona huu ni msimu wake wa mwisho
Hata Kama Suarez kachoka huwezi kufanya replacement yake eti awe Depay ,unamkosea heshima El Pisterero (top 5 goal scorers wa Barca ame make history no matter what),na laana yake haitakosa kututafuna ,hivi niwaulizeni Paco Alcacer na Depay nani ni mzuri?au umeshawahi kujiuuliza kwanini wanahangaika usiku na mchana ili aletwe muholanzi Depay ,kwani Griezman aliletwa kwa kazi gani?hawamuamini tena?mbona waliunguza fedha nyingi sana kuletwa pale hadi ,financial status ya team ikakosa nafasi ya kumrudisha Neymar?The board is confused ,nani anajua sababu aliuzwa sub ya Suarez Paco Alcacer akaenda aka perform sana Borrusia Dortmond hadi alipokimbizwa na Halaand na kuamua kurudi zake Villarreal na kuacha kumbukumbu kule mwaka juzi?
Acha hilo mwezi uliopita wamefanya kituko kingine wamemuuza kijana wa miaka 23 kutoka America ya kusini team ya Gremio straight to Barcelona alikuja msimu wa 2018, Arthur Mello na wakamchukua Pjanic Milarem ambaye ana miaka 32 ,muda huo huo wakilalamika kua midfileder za Barcelona umri umekwenda (Sergio Busquets ,Ivan Rakitic ,Artulo Vidal),Hivi mnakumbuka ujio wa Paulinho 2017?msinichekeshe
Hivi mnakumbuka Barca mwezi February walimnunua striker Martin Braithwaite kwa pound mil 24 tena kutoka leganes ya Spain ambae alitetwa kwa mkopo kutoka Middlesbroug ya Germany??kulikua na sababu gani ya kumuuza Carlez Perez kwenda AC Roma(natural striker wa lamasia ambaye alikaririwa nchini Italy baada ya kuuzwa akisema pale Barcelona watoto wachanga board haina uvumilivu na sisi wa Lamasia )?
Je Messi anaposema Barcelona hamna project yoyote ,wala mpango wa kuitumia Lamasia kujenga team, wanafukia tu kashimo anakua amekosea?actions za board ya Barcelona speaks more than their promises
Tumeona kwa watoto waliopotezewa ramani na dira ya kuchezea team yao ya ndoto hii ni baadhi tu ya mifano Carlez Arena ,Riqui Puig huyo ametiwa depression recently ,tumeona kwa akina Miranda ,Dennis Suarez ,Munir El hadaad ,Deleofeu ,Sergi Samper ,Fundi Marc Cucurella eti unamuuza then unamnunua Junior Firpo eti ndio replacement ya Jordi Alba?
Hivi mnajua Thiago Alcantara bado mdogo wake Rafinha Alcantara yuko bado Barcelona anakopeshwa tu kila mwaka mara Inter Milan ,mara Celta Virgo ,kaka aliji offer tena kwa Barcelona sio chini ya mara tatu kuanzia 2016 baada ya kuuzwa kwa bei ya kutupwa mwaka 2015 akaelekea Buyern?Yeye wakati anakua pale Lamasia Cantera watoto wenzake walikua Wana brand na kumuita Kama the next Andrew Iniesta ,usishangae yeye kuongoza kupiga key passes na pass acuuracy ya 95% plus kwa sababu alikulia hivyo Lamasia na Barcelona ndio home hadi mzee wake Mazinho Alcantara ana card ya trusted legend wa Barcelona ,je unajua board walisema nini ?eti bora tumchukue Wijnaldum wa Liverpool
Hapo sitaki kupigilia msumari wa deal la usajili wa Dembele na Coutinho,wala saga la Neymar alivyoenda PSG na kutamani kwake mara moja kurudi Barcelona jinsi walivyolishughulikia
Nina wasiwasi Ansu Fatti ,chini ya menager wake mpenda fedha Mendez, team itakayo muhitaji ikifikia tu dau la kutosha ,Barcelona hawatajishauri mara mbili watamuuza na kumuacha Dembele [emoji23],kwani si tumeona kwa mtoto mdogo Xavi Simons (the next Xavi ) alivyouzwa PSG mwaka 2018?
Hatuna future pale ,let's begin from the scratch ,namtabiria mabaya sana huyu mzee wa kiholanzi
Timu yetu bado siiamini lakin madrid ndo bomu kabisaa
Duh, Suarez, anakiwasha huko Atletico kashatupia 2 na assist juu
Tumepoteza bonge la striker
Tumeuza siraha nzito ya kivita kwa aduiDuh, Suarez, anakiwasha huko Atletico kashatupia 2 na assist juu
Tumepoteza bonge la striker
Ni ukweli uliowazi mkuu, hatuna timu ya kupambana na Bayern na Juventus, tunahitaji kuondoa timu nzima ya zamani na kusuka upya.Salaam, sijapita hapa siku nyingi sana. Jamaa zangu kina Aleyn GUI1 PNC na wengine. Baada ya mimi kuhamishia mapenzi kule anfied napitaga tu hapa na kucheki wadau mnasemaje.
Nimepokea kwa mstuko mkubwa kwa taarifa kuwa Luis Suarez anaondoka na kwenda kujiunga na mabingwa wa italia juventus. Leo alionekana mjini perugia alikoenda kwa ajili ya kufanya mazungumzo na uongozi wa juve kuhusu yeye kujiunga nao.
Tukubaliane, kutokubaliana. Zama zetu kwa sasa zimefikia mwisho. Ile baecelona iliyojengwa miaka kumi iliyopita ndio imefikia mwisho. Inatakiwa barcelona mpya. Ile aliyorithi Guandiola toka kwa Ridjikaard amebakia Messi pekeake bado anacheza. Wengine wote wamesha staafu au wanamalizia soka lao vilabu vingine vya madaraja ya chini.
Wachezaji aliokuwa nao Guandiola na,Tito Villanova, first 11 yao kwa sasa wamebaki wa3. Pique, Busquet na Messi. Wengine wote wameondoka,
So, tunahitaji barceloa mpya. Kuanzia bench la ufundi, hili lifumuliwe lote, hadi wachezaji. Tuanze mdogo mdogo. Tuangalie wapi pa kurekebisha. Na kwa maoni yangu backline ndio mbovu na ndio panye udhaifu mkubwa. Hapa apatikane watu kama Upamecano na Mathijs de Ligt. Then wapandishwe wawili toka kule timu B.
Mabeki wa pembeni/flank upande wa kulia hapajapwaya. Yupo Semedo na Sergi Roberto. Kule kwa alba kina Firpo wameshindwa kuonyesha uwezo wao. Atafutwe mmoja wa kiwango cha Hakimi asaidiane na Alba. Firpo auzwe.
tuna stoke kubwa ta viungo. hapa kocha ndio ana mtihani mgumu. Wapunguzwe wabakie wachache haswa waliotokea pale la masia. Hawa wanaelewa falsafa ya barcelona vizuri. Rakitic, Aigizwe sokoni.
Pale mbele. Goal geter mmoja wa viwango vya Suarez, grezmann kashindwa kuonyesha thamani yake. Kina breithwe hawafai kuchezea barcelona aondoke hata kwa free poa tu.
Mwisho makocha wa aina ya Quique Sitien na huyu wa sasa bado hawana uwezo wa kuifudisha barcelona. Tunahitaji makocha wenye ujuzi na ubora. Hivi walishindwa nini kumpa timu pocchetino aliyekuwa spurs? Yule kacheza spain na analijua soka la spain nje ndani.
Huu msimu utakuwa mgumu na wwnye fesheha nyingi sana. jiandaeni kisaikolojia maana mlizoea kupata raha ila sasa ni kinyume chake.