Shikamoo Daddy....... Ushindi ni lazima. #VamosBarca
marhaba bebi, timu inaondoka asubuhi hii kuelekeq Berlin, jioni itafanya mazoezi yake. Hakuna mchezaji yoyote ambaye ni majeruhi au ana kadi, wanaenda 23 huku Sando na Munir ambao ni wa Reserve wamebebwa pia.
Wanaenda kukamilisha formalities za kupewa kombe lao...as I see it there is no way Juve akamfunga Barca.
Messi is going to cement his status as the BEST ever player!
marhaba bebi, timu inaondoka asubuhi hii kuelekeq Berlin, jioni itafanya mazoezi yake. Hakuna mchezaji yoyote ambaye ni majeruhi au ana kadi, wanaenda 23 huku Sando na Munir ambao ni wa Reserve wamebebwa pia.
ndio iko confirmed hatocheza eti kaumia mazoezini haaaaAhahahahaha acha kabisaaaaa, naona akina Chielin washaanza kukimbia.
kesho nachinja kondoo nyama choma na vinywaji vyote karibuni team barca flat naitoa njee manaake sitaki nije niwaudhi watoto
shughuli nyepesi kwani naziona nyongiKesho kazi ipo kwelijweli
ever anti yangu ni pm haraka nikupe data zote hahahaaaaaTaja venue tukaribie na champagne..........
Barca na Refa wao Juve na washabiki wao...