PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,181
- 20,148
It's pain kuna match huwaga ni za kijinga sana na zinatia hasira mno, okey still record maintain pale tunapokuwa tukiongoza ligi zaidi ya point kumi mbele zidi ya RM El Classico huwa hatushindi doooohhhhh!!!! Haka kajipu itabidi tumuite Magu atusaidie kutumbua.
Napenda Avatar yako. Umependeza kama mbongo movie. Nimemsikia Pique anasema wamefungwa kwasababu Ramos kapewa red card, kwahiyo formation yao imeharibika. Nashindwa kumuelewa,ila kama mwenzangu umemuelewa naomba ufafanuzi kidogo, teh teh teh!