PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,181
- 20,148
Tushapoa bibie kufungwa mbili kawaida tu japo mmebebwa, king kanyimwa penalt ya wazi kabisa kadi za njano zimetolewa bila sbb
QATARunya hawakosagi excuses, kama Pique anadai wamefungwa kwasababu Ramos kapewa red card. Tbh, ref alikuwa upande wa Barcelona lakini hilo sio mambo la kushangaza