FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Siku nzima hukuwepo,umekuja wewe mwenye damu ya man u Barca tumefungwa
hahaha nuksi zenu tuu. Chezea Cr7 wew
It's pain kuna match huwaga ni za kijinga sana na zinatia hasira mno, okey still record maintain pale tunapokuwa tukiongoza ligi zaidi ya point kumi mbele zidi ya RM El Classico huwa hatushindi doooohhhhh!!!! Haka kajipu itabidi tumuite Magu atusaidie kutumbua.
pacha pole baki njia kuu
Tusubir dk 45 ziamue magoli Mangap Barcelona wapate japo ushindi kwetu lazma
.zimeisha hizo dkk au bado?
Woyoooooooooooooooooooooooooo piga mbwaaaaaaaaaaaa
the the teh
Madrid wanataman mpiea uishe.
hurereeeee
Wakuu hapa Barcelona, Spain ndani ya Camp Nou si mchezo. Kuna shamrashamra za hali ya juu saaaaana.

Nipo nje na wakatalunya naangalia wanavyoburudika, kila mmoja anafuraha ya ajabu na akitegemea ushindi mnono. Mimi na mwenyeji wangu bado tunapata vinywaji, tunasubiri muda wa kuingia ndani ya uwanja ufike ilo tuingie.
.sipati picha ulivyosinyaa
Ahahahahahahahahahahahahaha unakuwa kama cute b shabiki wa man u na everlenk maana hawa kwao ushamba haukauki.
wew sisi kingreza hakitusumbui
Madrid hawez toka
.Barcelona ni team ndogo
Madrid wameanza rafu wakipewa red watasema tunabebwa
bwahahahahahahaha
 
By the way huyo jamaa Ni maandazi tu mpira aujue wapi? Katoka kwao bush kaja hapa kasikia Messi na yeye anatuleteaga kelele tu humu
Hahahahaha kazi ipo aisee. Ngoja tuone kama ataacha kushabikia mpira
 
Bashalona Mkubwa yule...
Kajificha, akashabikie rede + mdako sasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
PNC 1 kabakwa ndani ya Nou Camp sasa hivi anapatikana kwenye threads za udaku, amekuwa Shabiki wa Madam Sepetu
 
Kwani mashabiki wa Real Madrid hapa mnafata nini[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Kwani mashabiki wa Real Madrid hapa mnafata nini[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hapa kuna msiba kwani huoni? Tumekuja kutoa salamu za rambi rambi kutoka kwa Ronaldo.
 
Tushapoa bibie kufungwa mbili kawaida tu japo mmebebwa, king kanyimwa penalt ya wazi kabisa kadi za njano zimetolewa bila sbb
Acheni kulia lia mlijua na jana mngebebwa sio? Poyeeeeeeeeeeeeeeeeee
Naona bado hujapoa. Cr7 amewafanya nini vile maana niliona anatoka kwenu na boxer
 
Back
Top Bottom