Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kajificha huyo kuja hapa ni baada ya wiki
Lazima ajifiche Madrid wamemfanyia kitu kibayaKajificha huyo kuja hapa ni baada ya wiki
hahaha nuksi zenu tuu. Chezea Cr7 wewSiku nzima hukuwepo,umekuja wewe mwenye damu ya man u Barca tumefungwa
pacha pole baki njia kuuIt's pain kuna match huwaga ni za kijinga sana na zinatia hasira mno, okey still record maintain pale tunapokuwa tukiongoza ligi zaidi ya point kumi mbele zidi ya RM El Classico huwa hatushindi doooohhhhh!!!! Haka kajipu itabidi tumuite Magu atusaidie kutumbua.
.zimeisha hizo dkk au bado?Tusubir dk 45 ziamue magoli Mangap Barcelona wapate japo ushindi kwetu lazma
the the tehWoyoooooooooooooooooooooooooo piga mbwaaaaaaaaaaaa
hurereeeeeMadrid wanataman mpiea uishe.
.sipati picha ulivyosinyaaWakuu hapa Barcelona, Spain ndani ya Camp Nou si mchezo. Kuna shamrashamra za hali ya juu saaaaana.
Nipo nje na wakatalunya naangalia wanavyoburudika, kila mmoja anafuraha ya ajabu na akitegemea ushindi mnono. Mimi na mwenyeji wangu bado tunapata vinywaji, tunasubiri muda wa kuingia ndani ya uwanja ufike ilo tuingie.
wew sisi kingreza hakitusumbui
.Barcelona ni team ndogoMadrid hawez toka
bwahahahahahahahaMadrid wameanza rafu wakipewa red watasema tunabebwa
Hahahahaha kazi ipo aisee. Ngoja tuone kama ataacha kushabikia mpiraBy the way huyo jamaa Ni maandazi tu mpira aujue wapi? Katoka kwao bush kaja hapa kasikia Messi na yeye anatuleteaga kelele tu humu
Bashalona mkubwa yule...
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Bashalona Mkubwa yule...
Kajificha, akashabikie rede + mdako sasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
lol..Enrique kocha Wa kawaida sana
Hahahahaah...mama wa vigodoro naona unafanya yako kwenye jukwaa la wahanga wa BBCKajificha huyo kuja hapa ni baada ya wiki
Wasumbufu sana hawa team ndogo. Wameanza shabikia barca juzi wanasumbuuuua. Hujamwona PNC 1 huko?Hahahahaah...mama wa vigodoro naona unafanya yako kwenye jukwaa la wahanga wa BBC
Missing you more....pnc haonekan kotekote, sijui kakimbilia wapWasumbufu sana hawa team ndogo. Wameanza shabikia barca juzi wanasumbuuuua. Hujamwona PNC 1 huko?
Nimekumiss sana sana yaan saaaaaaaana
Pengine kajinyonga, ngoja nimtafute zaidi.Missing you more....pnc haonekan kotekote, sijui kakimbilia wap
Hahahahahaah...tuhabarishane ukipata mafanikio yoyotePengine kajinyonga, ngoja nimtafute zaidi.
Hodi huku.. poleni sana. Kama Ronaldo
Hapa kuna msiba kwani huoni? Tumekuja kutoa salamu za rambi rambi kutoka kwa Ronaldo.Kwani mashabiki wa Real Madrid hapa mnafata nini[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kazima hadi simu aisee. Ngoja niende kwao. Nina uchungu rafiki yangu PNC 1 hajulikani alipo acha tu.Hahahahahaah...tuhabarishane ukipata mafanikio yoyote
Acheni kulia lia mlijua na jana mngebebwa sio? PoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeTushapoa bibie kufungwa mbili kawaida tu japo mmebebwa, king kanyimwa penalt ya wazi kabisa kadi za njano zimetolewa bila sbb