FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

382996482-20042011201126.jpg
 
god bless us barca 4 ever hope tutaona futbol not that aggressive mechanical match
 
  • Thanks
Reactions: Aza
leo BARC tunaenda st b kutafuta sare au wana barc mnasemaje maaana naona maadui nw wamekuwa wengi au tuwafunge hukohuko kwao?
 
Guardioala juzi katukana kwenye press conference, mourinho must have gotten under his skin.
 
at last futboli win

Jose anafahamu kuwa hawezi kuifunga Barca kwa kucheza clean and fair football, ndiyo maana kila anapokutana na Barca anabadili mbinu zake chafu, fikiria tangu ile droo ya 1-1, Bernabau haijakatwa nyasi mpaka jana akiamini kuwa nyasi zikiwa ndefu zitazuia Barca kupiga pasi za haraka. Na akaamini kwa kucheza soka ya nguvu na rafu ni rahisi kuwafanya Barca wachanganyikiwe, lakini hajui kuwa hiyo huwa inamgharimu na mwisho anaishia kutoa maneno yake ya ovyo kwamba ameiandaa timu yake kucheza wakiwa 10!
 
Jose anafahamu kuwa hawezi kuifunga Barca kwa kucheza clean and fair football, ndiyo maana kila anapokutana na Barca anabadili mbinu zake chafu, fikiria tangu ile droo ya 1-1, Bernabau haijakatwa nyasi mpaka jana akiamini kuwa nyasi zikiwa ndefu zitazuia Barca kupiga pasi za haraka. Na akaamini kwa kucheza soka ya nguvu na rafu ni rahisi kuwafanya Barca wachanganyikiwe, lakini hajui kuwa hiyo huwa inamgharimu na mwisho anaishia kutoa maneno yake ya ovyo kwamba ameiandaa timu yake kucheza wakiwa 10!
ukweli usiofichika hata wafanyaje mou akiendelea na hii style 11-10 men haikwepeki ni ujinga nafanya itamgharimu sana viva barca
 
Classico ya mwisho mungu tusaidie fc barcelona tusonge fainali .

Eleven extraordinary players are going to come out, guided by a very competitive manager who wants to knock us out. The most important thing in their lives right now is this game”. Pep said it yesterday.

Let us wait and see!
 
kazi ipo kwa Real Madrid ,Barca wanawapa kazi ya ziada leo....i can see Barca in the final with Man U :bange:
 
barcelonaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. TO WEMBLEYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYY, BARCA=FOOTBALL HUREEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
 
sasa ndio tuone mpira apo
man u sie na nyie tu,tutashusha mtu naniliu
yani hatuna haraka kama hatutaki vile:third:

welaaaaaaaaaaaaa barca,raha tupu
 
Back
Top Bottom