Lazima after 2 years atarudi kuichezea Real Madrid mark hiyoKuna kitu mimi nimehisi, huenda Neymar anataka kuichezea Real Madrid na namna ya kujiunga nao ni kupitia kwanza PSG ili baada ya misimu kadhaa aweze kwenda kujiunga na Rivals wetu na pia sintoshangaa kama Real kwa usiri watakuwa wamechangia hili dili kufanikiwa kwa namna moja ama nyingine!
Kila la kheri Neymar Dos Santos
ukweli mimi Barca na soccer as a whole nimeijua not long ago-Neymar huko PSG atacheza kati or will he be coming from the wings?PSG mfumo wao vipi? will it suit his style of play? Will he climb to greater heights or kajichimbia kaburi-haya yote nayasoma kwenye Spanish press ambayo inamtakia mabaya- labda humu I will get rational answers je WILL he climb to greater heights???Humu ndani mimi nilishafanya demage control zamani sana so haina haja ya kuhuzunika wamepita wengi sana pale Camp Nou tena wenye world records kama Rivaldo,Ronaldinho Gaucho,Samuel Eto,Thiery Henry ,David Villa,Pedro etc
The difference may be ni kwamba ameondoka wakati tunamuhitaji the most lakini tumefanya trade off na hela ndefu sana ambayo tunaweza tukanunua player wawili na soon tukamsahau dogo Neymar
All the best Barca team kwenye kufanya poaching ya left wing player am sure Velverde atawa lead kwenye best choice(Ref ametoka kwenye mediocre players team ila alikua ana attack hatari hawezi kushindwa Barca) lengo letu this season ni ku win treble tusisahau
Sent using Jamii Forums mobile app
Neymer anaenda kununua mkataba wake baada ya kulipwa hiyo feza ambayo imedhaminiwa na rais wa PSG ambaye ndiye aliyempa conection ya hiyo dili ya kuitangaza Qatar kwa ajili ya 2022 World Cup finalHabari zilizopo za uhakika toka chini ya kapeti.
Ni kwamba baada ya Barca kutoka USA, Neymar Jr alikwenda China kwa kwa ajili ya dili zake za biashara. Baada ya kutoka China alipitia Qatar kusaini mkataba wa Euro milion 300 eti ni kwa ajili ya matangazo ya world cup 2022. Sasa ili PSG Wasipigwe faini kwa ile financial fair play itabidi Neymar Jr anunue mkataba wake kwa Euro 222 milioni. Hapo ndio utajua huo mkataba wa Qatar ni nani katoa hizo hela.
Hii dunia sheria hutungwa ili zivunjwe.
GOODBYE NEYMAR JR
Coutihno ni long replacement ya Iniesta na alikua katika rada ya barcelona tangu msimu uliopita so hata kama tukimsajili lazima asajiliwe left wing wa kuchukua nafas ya NeymerBest options in chronological order ni
1.Coutinho
2.Alex Sanchez arudi (alimkimbia Neymar)
3.Verrati
4.Eden Hazard
5.Angel D Maria
6.Dembele
7.Mbape
8.Dele Ali
wahakikishe lamasia graduate kama Samper na Carlos Arena wanapewa muda mwingi wa kucheki my instincts moja wao atakua star mkubwa sana baadae
Hiki ni kilio cha Xavi na Johan CruyF muda mrefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Trust me, neymar is a good player but Barca made him better.ukweli mimi Barca na soccer as a whole nimeijua not long ago-Neymar huko PSG atacheza kati or will he be coming from the wings?PSG mfumo wao vipi? will it suit his style of play? Will he climb to greater heights or kajichimbia kaburi-haya yote nayasoma kwenye Spanish press ambayo inamtakia mabaya- labda humu I will get rational answers je WILL he climb to greater heights???
I fear the worst,leading the line sio mmojawapo ya strong points zake,anahitaji world class players alongside- PSG are in for a titanic shockTrust me, neymar is a good player but Barca made him better.
Kuanzia kwenye style of play alipewa uhuru wa kuchezea mpira hata akipoteza sio kesi.
Kukaa na mpira muda mwingi bila kukaba pia ilikua ni advantage.
Playing alongside Messi is a plus, leave alone Suarez, Iniesta and other world class players!
Sioni kama atayapata haya kule ufaransa au kwingineko.
- KANA -
Hata akienda Madrid, kwa style yake ya uchezaji sio mtu anaeweza kutegemewa na team nzima!I fear the worst,leading the line sio mmojawapo ya strong points zake,anahitaji world class players alongside- PSG are in for a titanic shock
Hii ndio league 1 na muelekeo wa Neymar kama hatahamia UK atarudi Spain after 2 years (akiweza ku maintain form)I fear the worst,leading the line sio mmojawapo ya strong points zake,anahitaji world class players alongside- PSG are in for a titanic shock
Mjinga hua hajifichi ,yuko proud kuonyesha upumbavu wake ,Madrid alikula 5-0 ,6-1 wakati huyo Neymar anachunga mbuzi Brazil na wala hategemei kujaTushakua mbwa,wewe unaelekea umelelewa na mzazi mmoja
Wala sio alichofundishwa na huyo mzazi mmoja. No wanayojifunza kwenye magenge yao yasiyo na maadili hayo.Tushakua mbwa,wewe unaelekea umelelewa na mzazi mmoja
Mkuu ngoja nitazama U tube nimuangalie DembeleHapo tumchukue Dembele na Coutinho. bila hivyo barto hataeleweka. Mmoja kama Neymar replacement na mwingine ni big name signing aliyoahidi. Anaweza ongeza hata big name ya tatu.