FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

alvesreuters_3294373b.jpg


neymar_3294375b.jpg


suarezreut_3294370b.jpg



messi1reut_3294438b.jpg


messi2reut_3294437b.jpg


neymarap_3294435b.jpg
 
Ukuta wa bayern leo umepwaya sana. Kama sio makosa ya washambuliaji wetu mpaka sasa tungekuwa tunahesabu 3 bila

asanteee mkuu.. kwa kuongezea timu nzima ilikua inacheza kama watoto.. hawana malengo wala nini sema ndo vile tu ALONSO kawabeba sana.

kwangu kukupiga risasi sio shida.. na leo nilikua napita na Pep ama Boateng (unacheza kama shoga bhana!?).. nampa ya kichwa akalale pema, anatuletea za kuleta hapa shenzi kabisa.

hongereni Barca.
 
Hongereni chebi, Alerny, Belo, rubaman, Dada everlenk kwa ushindi huu mzuri. Hongereni wakatalunya wooote. Game ilikuwa nzuri kwa upande wenu ingawa kuna wakati kidogo mlipoteana.

Josep pep Guandiola alishawaambia kuwa so rahisi kumzuia Messi anapokuwa yupo fit. Messi kadhiirisha kuwa yeye ni level nyingine.

Kwa Mara nyingine tena. Hongereni saaaaana.


Mkuu hiyo hongera hainistahili kwa kuwa napenda Arsenal peke yake ulaya.
 
Hongereni chebi, Alerny, Belo, rubaman, Dada everlenk kwa ushindi huu mzuri. Hongereni wakatalunya wooote. Game ilikuwa nzuri kwa upande wenu ingawa kuna wakati kidogo mlipoteana.

Josep pep Guandiola alishawaambia kuwa so rahisi kumzuia Messi anapokuwa yupo fit. Messi kadhiirisha kuwa yeye ni level nyingine.

Kwa Mara nyingine tena. Hongereni saaaaana.

Ahsante sana, mkuu wewe ni wa kiume au wa kike? Kama wa kike chukua busu, muah muah!!!! Lala salama.
 
Last edited by a moderator:
Tatu bila ni Mount Everest kabisa sijui kama Beyern Munich wataweza kuupanda mlima huu next week.
 
Back
Top Bottom