Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kusema Neymar yuko off form tunakosea-Neymar ndio anayepeleka mipira yote akitokea pembeni na anaingia mpaka kwenye 18,hasa tunapokua under the cosh na pass anatoa lakini opponents hizo bodies zinazolinda goal unakuta umempiga mtu au umepiga post,Suarez kidogo naona sasa hivi anashindwa kujitengenezea nafasi- Nilishawahi kusema humu kwamba for Barca to fly-Suarez lazima afunge magoli. kazi ya Messi na Neymar ni to set up Suarez anything else ni disasterBarca inapaswa kuundwa wachezaji wengi waliosajiliwa miaka ya karibuni wameshindwa kufit kwenye system Vermaelen,Mathieu,Alex Vidal,Arda Turan,Paco Alcacer na Andre Gomes.Kwa sasa only Messi ndio anaibeba timu Suarez na Neymar wote wako off form kama itatokea Messi akapata majeruhi hali itakuwa mbaya sana.
Kazi ya Neymar imebadilika kuanzia lini,mbona huko nyuma alikuwa anafunga magoli mmeshasahau kuhusu MSN ? Umeona Zidane alivyoibadilisha Madrid now kila mchezaji anafunga magoli na sio kuwategemea BBCKusema Neymar yuko off form tunakosea-Neymar ndio anayepeleka mipira yote akitokea pembeni na anaingia mpaka kwenye 18,hasa tunapokua under the cosh na pass anatoa lakini opponents hizo bodies zinazolinda goal unakuta umempiga mtu au umepiga post,Suarez kidogo naona sasa hivi anashindwa kujitengenezea nafasi- Nilishawahi kusema humu kwamba for Barca to fly-Suarez lazima afunge magoli. kazi ya Messi na Neymar ni to set up Suarez anything else ni disaster
Dont get bitter get betterHahahaaa Barca walifanya vizuri sana kutohudhuria, maana kinachofanyika ni siasa....
Angalia kwa mfano ati Rooney kawachagua Ronaldo, Suarez na Vardy! Yaani ati Suarez na Vardy nao wamekuwa bora kuliko Messi....!
Na wahusika wengi wametanguliza siasa za hivyo kwenye chaguzi zao, kwa kweli hakuna haja kuhudhuria futuhi za hivyo.
Tumia hapo ubongo kufikili Barcelona hawakufanya poa kutokushirikiHahahaaa Barca walifanya vizuri sana kutohudhuria, maana kinachofanyika ni siasa....
Angalia kwa mfano ati Rooney kawachagua Ronaldo, Suarez na Vardy! Yaani ati Suarez na Vardy nao wamekuwa bora kuliko Messi....!
Na wahusika wengi wametanguliza siasa za hivyo kwenye chaguzi zao, kwa kweli hakuna haja kuhudhuria futuhi za hivyo.
Mkuu, wewe fuatilia manahodha wa nchi mbalimbali wamechagua wachezaji gani uone vituko.Dont get bitter get better
Sioni kama kwa spirit ya ki michezo jamaa walifanya poa
Mbona miaka yote huwa inakuwa hivo hivo!!?Mkuu, wewe fuatilia manahodha wa nchi mbalimbali wamechagua wachezaji gani uone vituko.
Hapo hakuna cha spirit ya kimichezo wala nini, hapo kuna spirit ya futuhi!
Kaka, unapoandika tumia huo ubongo kuhakiki kama umeandika kwa usahihi.Tumia hapo ubongo kufikili Barcelona hawakufanya poa kutokushiriki
Mkuu, nadhani unachanganya madesa! Hii hapa siyo hiyo Messi aliyoshinda mara 5 na Ronaldo mara 4.Mbona miaka yote huwa inakuwa hivo hivo!!?
Unajua messi mwenyewe alimpigia kura nani!!?
1. Suarez 2. Neymar 3. Iniesta
Hivi hao ndio walikuwa wachezaji bora wa dunia mwaka 2016, seriously!!?
Utaratubu una require hivo na wachezaj wa barcelona walikuwa wana ujua tangu messi anakuwa mchezaj bora mara 5 mpaka mwaka huu.
So hawakuwa na sababu, ni ukosefu wa sportsmanship tuu.
Barca inapaswa kuundwa wachezaji wengi waliosajiliwa miaka ya karibuni wameshindwa kufit kwenye system Vermaelen,Mathieu,Alex Vidal,Arda Turan,Paco Alcacer na Andre Gomes.Kwa sasa only Messi ndio anaibeba timu Suarez na Neymar wote wako off form kama itatokea Messi akapata majeruhi hali itakuwa mbaya sana.
Messi na Ronaldo wameshinda tuzo zote zilikuwa under FIFA naongea nnacho kijuaMkuu, nadhani unachanganya madesa! Hii hapa siyo hiyo Messi aliyoshinda mara 5 na Ronaldo mara 4.
Uchezaji bora kombe la duniaMessi na Ronaldo wameshinda tuzo zote zilikuwa under FIFA naongea nnacho kijua
Na voting system ilikuwa the same tuu.
Inasemekana ni deal mbaya technically barca tangu mwaka 2007Jose Angel sanchez: Hey zizou im buying Gomes
Zidane: lemme watch his videos for 10 secs
Zidane 10 secs later: Let barca buy him![]()
![]()
Mkuu kusema kocha ni mbaya ni tusi na sio fair kumbuka yeye ndo amevunja records zote za makocha invincible waliopita Barca akiwemo Pep na Frank Richkaard sema choo alichoingizwa ni kusajili midfield ambayo bado ana hope nayo sana ya Andres Gomes na Striker uchwara Paco AlcacerBarca of late imekuwa not convincing sana-sababu zimekuwa nyingi,eg midfielders not up to the task,Coach ni mbaya etc etc-What I observed na wengi hatulioni ni kwamba for some reasons strike force yetu haifungi magoli-na chances tunapata nyingi sana lakini unashangaa how come that ball did not end up in the net(ingekuwa kwetu usukumani ningeamini labda wizards wako kazini) Barca is not about defence-kufungwa kwa system tunayocheza ni inevitable.Silaha yetu ni ku outscore the opposition-which is not happening at the moment,tunatumaini hii blip itakwisha na goals will come
Inasemekana ni deal mbaya technically barca tangu mwaka 2007