FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Form tuliyonayo sasa hivi, na form ya wapinzani wetu vinanipa kiburi. Kwa mara ya kwanza tangia 2015, this time sina wasiwasi kabisa kumface Bayern.

Hao Inter msimu huu ni tia maji tia maji, hawana maajabu. Bayern pekee ndie wa kutuhangaisha.

Sina matumaini ya kuchukua UEFA, kwa project tuliyonayo tunatakiwa kufika angalau robo fainali. The rest itakua ziada. Huu ni msimu wa kurekebisha mapungufu, na wachezaji wageni kuzoea (sio kila mchezaji mzuri anaweza kuperfom Barca).

Ila next season, hatutakua na excuse. We will be here to grab everything that comes ahead.
Sure mkuu lets hope tunaweza fika mbali,
i think we are among of the teams yenye squad depth hivyo tunaweza fanya rotations na kuepuka majeruhi ukizangatia huu msimu mechi zimeshona sana kwa sababu ya world cup.
 
Sure mkuu lets hope tunaweza fika mbali,
i think we are among of the teams yenye squad depth hivyo tunaweza fanya rotations na kuepuka majeruhi ukizangatia huu msimu mechi zimeshona sana kwa sababu ya world cup.
Kweli mkuu!
 
Screenshot_2022-09-08-00-28-49-1.png
 
Mechi na hawa madogo ilikuwa mazoezi tu.

Tarehe 13 na bayern ndo tunaanza rasmi UCL.
 
Magoli anayofunga Lewandoski, yanatukumbusha kitu tulichokua tunakosa pale mbele baada ya Suarez kuanza kushuka form. Jamaa ni mkatiri mno, anatupia vyovyote anavyotaka!

Nikiangalia vile team za waingereza zimejichokea, itoshe tu kusema yajayo yanafurahisha humu kwenye UEFA!
 
Magoli anayofunga Lewandoski, yanatukumbusha kitu tulichokua tunakosa pale mbele baada ya Suarez kuanza kushuka form. Jamaa ni mkatiri mno, anatupia vyovyote anavyotaka!

Nikiangalia vile team za waingereza zimejichokea, itoshe tu kusema yajayo yanafurahisha humu kwenye UEFA!
Ukiacha lewa! Kuna dembele daah! a guy is so good he is our best player in the squad right now.Dogo kwenye 1v1 yuko vizuri sana,partneship yake na lewa na raphinha iki click no one will want to play against them. Mimi ninachoomba majeruhi yawaepushie mbali.
 
Ukiacha lewa! Kuna dembele daah! a guy is so good he is our best player in the squad right now.Dogo kwenye 1v1 yuko vizuri sana,partneship yake na lewa na raphinha iki click no one will want to play against them. Mimi ninachoomba majeruhi yawaepushie mbali.
Lile cross alilompigia Lewandoski, hata angekua marehemu bibi yangu angetupia. Wings zetu zimepata uhai sasa hivi, ndio maana unaona hata idadi ya magoli tunayofunga imeongezeka.

No doubt, Dembele ndio mchezaji wetu muhimu zaidi kwa sasa. Ila msipuuzie shughuli anayofanya Stergen. Naona amerudi kwenye makali yake.
 
Lile cross alilompigia Lewandoski, hata angekua marehemu bibi yangu angetupia. Wings zetu zimepata uhai sasa hivi, ndio maana unaona hata idadi ya magoli tunayofunga imeongezeka.

No doubt, Dembele ndio mchezaji wetu muhimu zaidi kwa sasa. Ila msipuuzie shughuli anayofanya Stergen. Naona amerudi kwenye makali yake.
Sure mkuu sema Dembele anatakiwa ku improve kwenye targeting tu,mengine yote perfect, i think raphinha is good in this.Stegen kwa sasa ame gain confindence na ana perform kwa sababu backline ya sasa haina blunders kuongezeka kwa kounde kumeleta uhai sana kwenye backline,Garcia nae yupo kwenye form nzuri kwa sasa,ngoja tuone kwa hizi fullbacks signings(bellerin +alonso).
 
Nn kimetokea game imesimama?
Kuna shabiki amepata Heart Attack hivyo zinafanyika jitihada za kumfanyia Blood Transfusion, Wachezaji wameambiwa watoke uwanjani game imekua pause kwa muda ila taarifa haijatolewa ya game kuwa suspended.
 
Back
Top Bottom