FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Kwema Blaugranas?

Tumekua vichekesho sana miaka ya hivi karibuni, but slowly naona tunaanza kurudi. Sina imani sana na Xavi, ila kikosi kinahitaji kama three world class entries ili tukamilike.

Wing ya kushoto bado ni tatizo, Joao Felix naona kama ameshindwa kufikia matarajio tuliyokua nayo kwake. Lewandoski is totally a failure. Anapoteza chances nyingi, na pia involvement yake kwenye team ni ndogo sana. Kwenye midfield, pengo la Busquets bado linatutesa. We need a good defensive midfielder.

Our defence is fine. Ni vile tu wanakua exposed sana kutokana na mapengo ya pale katikati.

I really trust La Porta. Naamini kuna vitu kadhaa atafanya kuikoa team, despite the financial crisis. Jirani yetu huko gari lake linawaka poa, akimpata na Mbappe ndio basi tena. Tutaishi kwa tabu sana!

VISCA BARCA!
 
Kwema Blaugranas?

Tumekua vichekesho sana miaka ya hivi karibuni, but slowly naona tunaanza kurudi. Sina imani sana na Xavi, ila kikosi kinahitaji kama three world class entries ili tukamilike.

Wing ya kushoto bado ni tatizo, Joao Felix naona kama ameshindwa kufikia matarajio tuliyokua nayo kwake. Lewandoski is totally a failure. Anapoteza chances nyingi, na pia involvement yake kwenye team ni ndogo sana. Kwenye midfield, pengo la Busquets bado linatutesa. We need a good defensive midfielder.

Our defence is fine. Ni vile tu wanakua exposed sana kutokana na mapengo ya pale katikati.

I really trust La Porta. Naamini kuna vitu kadhaa atafanya kuikoa team, despite the financial crisis. Jirani yetu huko gari lake linawaka poa, akimpata na Mbappe ndio basi tena. Tutaishi kwa tabu sana!

VISCA BARCA!
Team Kwa sasa haina fowards wa kueleweka +kocha nae mpumbavu!.Daah inatia hasira sana asee!.Barca sikuizi imekuwa loughing stock,hatutushi tena in Europe!.
Team kufanya signings tu za maana imekuwa shida ,achilia mbali ku register wachezaji,how can we compete!!.Kikosi kilichopo kwa sasa kina potential sana ,players tunao hasa kwenye midfield na defence.

N.B Tunahitaji
✓Top winger
✓Top defensive midfielder
✓Top coach(Xavi still unexperienced to coach this Barca team)
 
Team Kwa sasa haina fowards wa kueleweka +kocha nae mpumbavu!.Daah inatia hasira sana asee!.Barca sikuizi imekuwa loughing stock,hatutushi tena in Europe!.
Team kufanya signings tu za maana imekuwa shida ,achilia mbali ku register wachezaji,how can we compete!!.Kikosi kilichopo kwa sasa kina potential sana ,players tunao hasa kwenye midfield na defence.

N.B Tunahitaji
✓Top winger
✓Top defensive midfielder
✓Top coach(Xavi still unexperienced to coach this Barca team)
Kocha mpumbavu tenaaaaa????? Nyie jamaa last time mmevuka group stage lini??? Mpeni maua yake XAVI ama sivyo msingekuwa mnaenda kwenye mabanda kucheki game zenu.
So far good PAPA PEREZ anawauwa kijasusi nyie hamjui.
 
GENGE LA WAHUNI
IMG-20240127-WA0453.jpg
 
Tunataabika sana asee. Sasa Xavi anaondoka mwisho wa msimu huu. The question is who's gonna replace him?
 
Sasa naanza kuiona nafasi ya Barca kwenye kutia presha ya Ubingwa kwa Real Madrid. Hawa Girona tayari pumzi imeshakata.

Walikuwa na mwenendo mzuri sana hadi nikapenda jitihada zao, lakini walichofanya kwenye hizi mechi zao hizi tano, ni kama kifurushi kimekata.

Na mechi yao ya leo hadi sasa wako nyuma kwa 3-2 dhidi ya Bilbao na dakika zimeshakuwa za jioni now.

Ova
 
Back
Top Bottom