Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo wa Los Blancos a.k.a Los Merengues.....naizungumzia Real Madrid Club de Futbol....................Real Madrid
![]()
1.Firstlady1
he he he.....yah mimi alipo ndio hapo hapo....kwani yupo wapi?....help pls
hivi hawa real madrid si walifanya aibu juzi juzi... 2:0
hahaaa wa kwetu kweli kweli we mtambo wa ile kitu isiyo na rangi
u made me laugh out loudly!!!
Mkuu Balatanda tupo pamoja huko. Vipi jana uliangalia mechi yetu na Valencia? ilikuwa mechi nzuri, jana tulikuwa na uwezo wa kufunga hata mabao nane. Na kwa mara ya kwanza katika msimu huu nimeona tumeshambulia toka pande zote, pembeni kulia na kushoto, pia kati kati. tofauti na mechi nyingi ambazo tulikuwa tukishambulia kupitia kati moja kwa moja. tuombe Mungu Villareal na Sevilla watubebe.
ha ha ha....wakwetu wewe upo timu gani?
Mie wa Msimbazi! Mbona mnakwepa swali? Jangwani poleni.
ha ha ha....wakwetu wewe upo timu gani?
Sisi tuko Arsenal,Real Madrid na Yanga..............hahaaaaaaaaaaa
kheee husband this was fast huh!!!
thanks....ila jana mmh!!!
kuwakimbia is good idea:rofl:sasa kama walifanya aibu ndio tuwakimbie? no way, hapa ni Real Madrid all the way.
bht na wewe uko majimaji sio?
Sisi tuko Arsenal,Real Madrid na Yanga..............hahaaaaaaaaaaa
Pole mtani....Sisi tuko Arsenal,Real Madrid na Yanga..............hahaaaaaaaaaaa
![]()
1.Firstlady1