Fei Toto kukata rufaa rasmi CAS aomba mchango wa pesa kwa Watanzania

Fei Toto kukata rufaa rasmi CAS aomba mchango wa pesa kwa Watanzania

Kila nikiangalia hili sakata la Fei Toto natamani sana kumjua aliyekuwa mshauri wake tangu mwanzo. Yatasemwa mengi lakini pamoja na kuwa na haki ya madai yake lakini kosa kubwa alilofanya ni kuondoka kambini ambako ndio sehemu ya kazi. Wenzake duniani kote huwa wanafanya mgomo baridi lakini mazoezini wanaenda na kwenye mechi wakipangwa wanacheza chini ya kiwango. Ikishafika hali hiyo basi wenye timu wanakuwa hawana ujanja kwani hawwawezi kuthibitisha mahali popote kuwa unacheza chini ya kiwango au unawahujumu basi kwa shingo upande wanakuweka sokoni unaoondoka. Ila hii mbinu aliyotumia Fei Toto ni ya hovyo sana na sidhani hata huko CAS kama atatoboa.

Mfano mdogo tu wa hivi karibuni ni wa mchezaji wa Viper Manzoki. Yeye alifanya mgomo baridi basi Vipers wakamuuza China.
 
Cas dogo anaenda kuangukia pabaya na sana hao waliomrubuni na ndio maana wakili wa Yanga alikua anamshauri sana dogo aende nae kaingia king maana Yanga wana ushahidi wote wa hadi mwenye timu aliyempeleka dubai kufanya mazoezi na hata alivyomrubuni nae akitambua fifa airuhusu mchezaji aliye na mkataba ambao haujafika miezi 6 uishe
Na pia sheria ya Fifa inasema.. ukimtaka mchezaji omba mazungumzo na club.. sio unakutana naye uchochoroni... eti shika hii hela vunja mkataba...

TFF wangebariki huu upuuzi ligi ingeharibika... Timu nyingi zingerubuni wachezaji kwamba vunja mkataba kesho njoo huku..
 
Mshahara upi? Mnawajua Yanga nyie? Mchezaji haondoki Yanga hadi kwa kesi na malumbano viongozi wa hii timu ni wa hovyo Sana halafu wanarithishana hii tabia ya hovyo ya kung'ang'ania wachezaji, mchezaji kachoka/kavunja mkataba awalipe kwa kukiuka mkataba aende zake sio kujidhalilisha namna hii, Mimi nilijua wamepata Engineer labda ataleta mabadiliko kumbe walewale Tena anasema anapeleka mshahara unarudi [emoji44][emoji44] wamwache aondoke
Ndio utaratibu wa wapi huo, wakuchoka then uvunje mkataba....!? Yaani ukiuke mkataba kwa makusudi alafu utarajie kulipa fidia.....!?? Hapa ni Big no lazima aadhibiwe kwa utovu wa nidhamu


Atalipa gharama ya matendo yake na itakuwa fundisho kuu...

Wacha Yanga itoe Somo...
 
hatimaye kiongozi wa "ile pesa tuma kwa namba hii" kapatikana
 
Dogo anaomba achangiwe aende kas

My take zile milion 100 zimeisha?

Je sisi wenye mshahara chini ya milion 4 tutamchangia vipi? Maana aliyekimbia mshahara kuzidi wetu!!;

Je Fatima Karume &co hawana pesa za kumkopesha ashinde kesi aje awalipe?

Duh Huyu dogo anatia huruma Sana

Kwahiyo tumtigopesa[emoji1][emoji1][emoji1]
Km wee huna acha kutoa, wengine tutatoaaa.
 
Ujinga mtupu.

Hao CAS nao mnawaona wajinga hivi eti?

Huyu hata aende jehanamu hawezi sikilizwa. Hakuna mtu atakuruhusu uamke asubuhi eti sababu kajitokeza tajiri akupe hela basi uvunje mkataba katikati ya msimu.

Feisal unadanganywa na unadanganyika kindezi sana dogo.

Kitu kimoja ukumbuke, mwisho wa siku ni wewe ndio unaathirika na si mawakili wako, si Fatma Karume wala sio mashabiki wa kolowizad wanaokujaza ujinga. Hao niliowataja kila mtu yuko na ajira yake mind you!
Unatesekaa na nini? Sasa povu lotee hili vipii?
Unawashwaaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeee
 
Aliyekimbia mshahara wa mil 4 anawaomba walala hoi wa instagram wamchangie pesa za kupeleka kesi CAS;

===

View attachment 2634845
Picha: Feisal Salum (Fei Toto)

Feisal Salum katika ukurasa wake rasmi wa Instagram ameandika ujumbe ufuatao:

Ndugu zangu Watanzania na familia yote ya soka kwa Bara na visiwani. Mimi kijana wenu ambaye kwa miaka yote nimekua na nidhamu nje na ndani ya uwanja na kwa dhati nimeitumikia klabu ya Yanga na Timu ya Taifa ya Tanzania na Zanzibar Heros.

Utiifu wangu umekua shubiri ya maisha yangu ya soka, nimevumilia nimeshindwa, sitamani tena mama yangu kutukanwa. TFF imeshindwa kunisaidia kupata haki yangu ya Kuvunja mkataba na Yanga hivyo nimeamua Kwenda Mahakama ya michezo CAS.

Nahitaji Mchango wa kila Mtanzania mpenda haki na maendeleo ya wachezaji wa Kitanzania ambao wamekua kimya na woga juu ya maslahi, Heshima na Haki zao. Naomba unichangie kadiri utakavyoweza ili niweze kupata pesa ya Kulipia gharama za kufungua Jalada la kesi yangu CAS ili kupata Haki yangu ya Kuondoka Yanga kwa kuvunja mkataba.

Tafadhali naomba unichangie ili nipate haki yangu itakayoniwezesha kutumikia kipaji changu na Timu za Taifa (Tanzania na Zanzibar) katika namna tofauti kwa manufaa yangu na Taifa. Shangazi Fatma Karume na wanasheria wengine watafanya kazi Bure.
SEMA UNAWAOMBA SIMBA WAKUPE HELA....YANGA HAWAWEZI KUKUPA MCHANGO MOUMBAVU WEWE

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Unatesekaa na nini? Sasa povu lotee hili vipii?
Unawashwaaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeee
We mtoto kuwa na adabu wewe.

Unadhani we unavyowashwa pa kunyea ndio kila mtu. Hebu kaa mbali kabisaaaaa na mimi asee. Niondolee mikosi yako kiumbe usio na jinsia wewe.

Achana na mimi kabisa. Ukinifatafata nakupeleka Uganda. Hapa si mnaringa
 
Back
Top Bottom