Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Swala ni singida united waliridhia aende yanga ni tofauti na uhun wanaotaka kufanya azam tatizo lako ujinga unakusumbuaYanga walipewa tu huyu mchezaji kama rambirambi hawajamnunua hata kwa thumni ,kumbuka hilo kwanzaView attachment 2465227
Acha makasiriko,Swala ni singida united waliridhia aende yanga ni tofauti na uhun wanaotaka kufanya azam tatizo lako ujinga unakusumbua
Sio makasiriko mbona azam hawajamtangaza ni mchezaj wao, wamtangaze kama ni mchezaj wao wanasubiri nin, mbona TFF wako kimya ulishajiulizaAcha makasiriko,
Azam anahusikaje hapo???una ushahidi we GENDAEKA????
njoo na ushahidi unaoonesha ujinga wa azam na mm nitakupa ushahidi unaoonesha UZUMBUKUKU wa viongozi wa utopwax na mashabiki wake
Usipanik utani tu huu mkuu,maana naona umevimba,ika siachi kuwanyoosha KENGEMAJI nyie[emoji23][emoji23]
Hujaelewa,nimekwambia una ushahidi gani kama azam wanahusika katika hiyo deal?Sio makasiriko mbona azam hawajamtangaza ni mchezaj wao, wamtangaze kama ni mchezaj wao wanasubiri nin, mbona TFF wako kimya ulishajiuliza
AiseeKabla ya kubamizwa 3-1 hapo kwa Mkapa hatoki mtu yule mhamasishaji wenu MWIJAKU alipoapa kuwa viongozi wa Nganda watavua nguo na kutembea uchi ikiwa watafungwa na wale Makirikiti alikuwa anaapa kwa niaba ya YANGA?
Hapa ulitulenga sisi wa yanga tu mkuu najua umeweka tafsida tuMashabiki wengi wa Yanga na Simba huwa wanafanana, wote ni wajinga, na huwa wako busy mnoo kushabikia chochote, na kwa mtindo huo viongozi wao huwatumia vyovyote vile kama mataahira.
Hilo la Feisal ni mfano mmojawapo.
😂🤣🤣
Mliwaacha Point 10 wakati Fei yupo, sasa zimebaki 6 na mshaanza ushindi wa moja moja soon mtaanza fululiza draw.Fei kaondoka Simba anaongoza ligi
Itakuwa unaota wewe, point 10 zipi ambazo fei Toto aliziacha?Mliwaacha Point 10 wakati Fei yupo, sasa zimebaki 6 na mshaanza ushindi wa moja moja soon mtaanza fululiza draw.
Muda utaongea..
Hazikuwa 9 kweliItakuwa
Itakuwa unaota wewe, point 10 zipi ambazo fei Toto aliziacha?
fei toto kaondoka kaacha hizo hizo point 6
Waliotoa tamko hilo sio wazee, ni viongozi wa matawi. Katiba ya Yanga haiwatambui viongozi wa matawi pia?Ambavyo huna akili haujui katiba ya Yanga sasa hivi haina kitu kinaitwa wazee
Mwili na akili yangu inaniambia Kuna kamchezo kanafanywa na kigogo wa yanga kwa Fei kwa manufaa yake binafsi. Azam ni jalala tu la kufichia mchezo huo.Walijua wakirudisha pesa dogo atajirudisha wakaongee wamalizane, matokeo yake pesa imerudi dogo anapanda ndege anasepa zake.
Akili na mawazo ya kizee havina nafasi tena kwenye mpira wa kisasa..issue ni vipengele vya kwenye mkataba tu, nothing else.
Pita Kushoto, Maana naona unaandika vitu kwa mihemko yako...
Haya mawazo dhaifu ni sehemu kubwa ya jamii yetu.Kwa namna ilivyokuwa Feisal alistahili maslahi Bora zaidi ya alivyokuwa anapatapa hapo Yanga .
Katika hili Yanga wajilaumu wenyewe kwanza kuadharau wachezaji wazawa kwa kuwapa maslahi yasiyolingana na wageni.
Pili kwa kuweka vifungu vinavyomwesha FEI kununua mkataba wake.
Wala wasimlaumi FEI mpira Hauchezwi hadi uzeeni ni kazi ya muda tu
So FEI anastahilj Kila maslahi Bora kulingana na mchango wake maana hatudumu hadi uzee na huo mpira.
Sasa kwann Hazard hajatoka Madrid Hadi Leo?? Wakati mlete Mzungu kashatoka Simba??Usajili wakati mwingine ni kama kubahatisha, mchezaji anaweza kuwa mzuri atokako akija kwako anachemsha, mtazame Hazard wa Chelsea na huyu wa R. Madrid...
Nyie bado soft sana, hamjui kituu..
Bado haujajibu inavyotakiwa mkuu, unasema Dejan alivunja mkataba Kwa sababu ni mbovu , mbona wabovu wengine bado wapo na hawajavunja mikataba?? Af unasema wenzio wako soft wakati wewe ndo mweupe kabisa unachojua ni kuweka ushabiki tu mbele bila kuongea fact[emoji12]Usajili wakati mwingine ni kama kubahatisha, mchezaji anaweza kuwa mzuri atokako akija kwako anachemsha, mtazame Hazard wa Chelsea na huyu wa R. Madrid...
Nyie bado soft sana, hamjui kituu..