Feisal: Naelekea Ulaya kuanza majukumu mapya

Feisal: Naelekea Ulaya kuanza majukumu mapya

Swala ni singida united waliridhia aende yanga ni tofauti na uhun wanaotaka kufanya azam tatizo lako ujinga unakusumbua
Acha makasiriko,


Azam anahusikaje hapo???una ushahidi we GENDAEKA????
njoo na ushahidi unaoonesha ujinga wa azam na mm nitakupa ushahidi unaoonesha UZUMBUKUKU wa viongozi wa utopwax na mashabiki wake

Usipanik utani tu huu mkuu,maana naona umevimba,ika siachi kuwanyoosha KENGEMAJI nyie[emoji23][emoji23]
 
Kama ni ulaya aende tu sio kwa hawa waswahili wenzetu. Huku tunamalizana wenyewe.

Hiki ndio kitu wasichoelewa mashabiki wa Simba
 
Acha makasiriko,


Azam anahusikaje hapo???una ushahidi we GENDAEKA????
njoo na ushahidi unaoonesha ujinga wa azam na mm nitakupa ushahidi unaoonesha UZUMBUKUKU wa viongozi wa utopwax na mashabiki wake

Usipanik utani tu huu mkuu,maana naona umevimba,ika siachi kuwanyoosha KENGEMAJI nyie[emoji23][emoji23]
Sio makasiriko mbona azam hawajamtangaza ni mchezaj wao, wamtangaze kama ni mchezaj wao wanasubiri nin, mbona TFF wako kimya ulishajiuliza
 
Sio makasiriko mbona azam hawajamtangaza ni mchezaj wao, wamtangaze kama ni mchezaj wao wanasubiri nin, mbona TFF wako kimya ulishajiuliza
Hujaelewa,nimekwambia una ushahidi gani kama azam wanahusika katika hiyo deal?
 
Kabla ya kubamizwa 3-1 hapo kwa Mkapa hatoki mtu yule mhamasishaji wenu MWIJAKU alipoapa kuwa viongozi wa Nganda watavua nguo na kutembea uchi ikiwa watafungwa na wale Makirikiti alikuwa anaapa kwa niaba ya YANGA?
Aisee
 

Attachments

  • 5ee8a4e4645546abb69c20636924eb17.jpg
    5ee8a4e4645546abb69c20636924eb17.jpg
    47.7 KB · Views: 2
Mashabiki wengi wa Yanga na Simba huwa wanafanana, wote ni wajinga, na huwa wako busy mnoo kushabikia chochote, na kwa mtindo huo viongozi wao huwatumia vyovyote vile kama mataahira.

Hilo la Feisal ni mfano mmojawapo.
Hapa ulitulenga sisi wa yanga tu mkuu najua umeweka tafsida tu
 
Walijua wakirudisha pesa dogo atajirudisha wakaongee wamalizane, matokeo yake pesa imerudi dogo anapanda ndege anasepa zake.

Akili na mawazo ya kizee havina nafasi tena kwenye mpira wa kisasa..issue ni vipengele vya kwenye mkataba tu, nothing else.
Mwili na akili yangu inaniambia Kuna kamchezo kanafanywa na kigogo wa yanga kwa Fei kwa manufaa yake binafsi. Azam ni jalala tu la kufichia mchezo huo.

Muda ni hakim
 
Kwa namna ilivyokuwa Feisal alistahili maslahi Bora zaidi ya alivyokuwa anapatapa hapo Yanga .

Katika hili Yanga wajilaumu wenyewe kwanza kuadharau wachezaji wazawa kwa kuwapa maslahi yasiyolingana na wageni.

Pili kwa kuweka vifungu vinavyomwesha FEI kununua mkataba wake.

Wala wasimlaumi FEI mpira Hauchezwi hadi uzeeni ni kazi ya muda tu

So FEI anastahilj Kila maslahi Bora kulingana na mchango wake maana hatudumu hadi uzee na huo mpira.
 
Kwa namna ilivyokuwa Feisal alistahili maslahi Bora zaidi ya alivyokuwa anapatapa hapo Yanga .

Katika hili Yanga wajilaumu wenyewe kwanza kuadharau wachezaji wazawa kwa kuwapa maslahi yasiyolingana na wageni.

Pili kwa kuweka vifungu vinavyomwesha FEI kununua mkataba wake.

Wala wasimlaumi FEI mpira Hauchezwi hadi uzeeni ni kazi ya muda tu

So FEI anastahilj Kila maslahi Bora kulingana na mchango wake maana hatudumu hadi uzee na huo mpira.
Haya mawazo dhaifu ni sehemu kubwa ya jamii yetu.
Napenda nikiri kuwa ujamaa umetuharibu mno.
Maisha hayana usawa, onyesha thamani yako mapema dai maslahi yako mapema kama unatambua thamani yako, Fei hakudhulumiwa popote. Hii habari ya kusema Fulani analipwa zaidi wakati kila mtu aliingia kwa wakati wake ni upuuzi.


Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
 
Usajili wakati mwingine ni kama kubahatisha, mchezaji anaweza kuwa mzuri atokako akija kwako anachemsha, mtazame Hazard wa Chelsea na huyu wa R. Madrid...

Nyie bado soft sana, hamjui kituu..
Sasa kwann Hazard hajatoka Madrid Hadi Leo?? Wakati mlete Mzungu kashatoka Simba??
 
Usajili wakati mwingine ni kama kubahatisha, mchezaji anaweza kuwa mzuri atokako akija kwako anachemsha, mtazame Hazard wa Chelsea na huyu wa R. Madrid...

Nyie bado soft sana, hamjui kituu..
Bado haujajibu inavyotakiwa mkuu, unasema Dejan alivunja mkataba Kwa sababu ni mbovu , mbona wabovu wengine bado wapo na hawajavunja mikataba?? Af unasema wenzio wako soft wakati wewe ndo mweupe kabisa unachojua ni kuweka ushabiki tu mbele bila kuongea fact[emoji12]
 
Back
Top Bottom