Feisal Salum Feitoto amekosa mzazi

Nyinyi utopolo mna roho za kichawi sana hata ngasa mlisha kuharibia dili la kwenda sudani ambalo linge mpatia pesa kibao hivyo nyinyi hatuwashangai.
Wewe huna akili pole sana na sijui unateseka ukiwa wapi!.
 
We mbona ndo mwongo "inasemekana" hauna ushahidi
 
Umeongea ukweli mchungu muda utaamua
 
We mbona ndo mwongo "inasemekana" hauna ushahidi
Ni taarifa ambayo sijathibitisha uwongo ni kama ningesema alienda kumbe hakwenda.
Kama kiswahili lugha ya taifa unashindwa kuelewa inaonyesha walimu wako walikuwa na kazi kubwa
 
Sahihi Kabisa Kaka ameshimdwa hata kujifunza kwa Luis Miquissone dogo analamba si chini ya 90M pale Club Al Ahly dogo alikiwasha sana hatua ya makundi Hadi akaonwq
Kwani Fei hii ndio itakuwa mara ya kwanza kucheza hiyo michuano akiwa na Yanga?
Na vipi unayajua malengo ya mchezaji mwenyewe kulingana na umri alionao?
Mbona mnaona rahisi kwa wenzenu kufanikiwa kwenye shughuli zao huku nyie wenyewe mna mindoto kibao na mtakufa bila kutimiza nini Fei?
 
Kinachomsumbua Fei Toto ni utoto tu aliokuwa nao.

Angekuwa amekomaa kiakili, asingekubali kushawishiwa kirahisi na hao matapeli wa mpira wa miguu.
Feisal Salum (25) sio mtoto ana maamuzi yake binafsi habari za kila muda kusema wanaomshawishi inaonyesha wazi namna unavyoishi wewe kwa kupangiwa maamuzi na kushawishiwa na watu kwa kila jambo lako ndio unahisi Fei nae yupo hivyo

Fei ni mtu mzima ameshafanya maamuzi yake na unao waona nyuma yake ikiwemo wanasheria na wazazi wanasimamia maamuzi ya Fei
 
Fei hana mpango wa kuichezea tena Yanga na wala hajasema kuna timu inamtaka nashangaa Yanga wamekomaa kuwa hiyo timu inayomtaka ije mezani what if kama Fei anataka kuvunja mkataba ili aachane na masuala ya soka afanye mambo mengine sasa unapomshinikiza alete timu na wakati Yeye mchezaji yupo tayari kuuvunja kwa kuununua mkataba wake why msimpe hizo gharama za kuvunja mkataba awe free kijana wa watu kufanya anachopenda
 
Kwann wewe usiwe mzazi? Umeongea fact 100%
 
Endeleeni kumvimbisha kichwa, halafu tuone matokeo yake. Na aendelee hivyo hivyo na hayo maamuzi yake.

Maana hayana athari zozote zile kwa timu kubwa kama Yanga.
 
Endeleeni kumvimbisha kichwa, halafu tuone matokeo yake. Na aendelee hivyo hivyo na hayo maamuzi yake.

Maana hayana athari zozote zile kwa timu kubwa kama Yanga.
kibaya zaidi Feitoto anadhani hawa Externalities wanamtakia mema
 
Samatta aliondoka kama Feisal? unasema watu hawana akili kumbe wewe ndio chizi kabisa
 
Sawa Samatta alikua anadai , Feisal anadai nini?
 
Naona hutumii akili katika kufikiri simba walimuuza samatha na hawakumuachia na kama fei kapata timu aimbie iende mezani kuongea na yanga and dat's professionalism sio ngonjera zako Mpira ni biashara
 
Nyinyi utopolo mna roho za kichawi sana hata ngasa mlisha kuharibia dili la kwenda sudani ambalo linge mpatia pesa kibao hivyo nyinyi hatuwashangai.
Samahani kwa kujibu text yako nimeona kama nuts zako zimefunguka hutafakari bali unajijibia tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…