Nyinyi utopolo mbona ndo vinara wa uvunjifu wa kanuni za soka hapa nchini na mnafumbiwa macho?
Hili jambo viongozi wa utopolo wangetumia busara tu wakamuachia dogo akaenda na sio kufanya mambo kwa ajili kumkomoa ili wamuharibie kijana mdogo kama huyo , maana hata utopolo imekuwa ikivunja kanuni za soka lakini wamekuwa TFF imekuwa ikitumia busara na kuwastiri.
Kwani hiyo roho ya kichawi mmemfanyia feisal peke yake ,nyinyi wachawi simlisha haribu dili la ngasa kwenda Sudani ambalo linge mpatia pesa kibao ambazo zinge badilisha maisha yake?
Utopolo ni kikundi cha wachawi Mungu atasimama na fei mwisho atakishinda kikundi hichi kiovu cha kichawi na kilicho jaa fikra za kimasikini.