Feisal Salum Feitoto amekosa mzazi

Were ni mchawi maana hill neno limekukaa au labda huna elimu maana kwa MTU aliyeenda shule kwa alilotenda fei ni kosa kubwa na alipaswa akemewe na atafute njia sahihi ya kuondoka
 
Tusumsaha na msemaji manara kwamba pale jangwani wenyeakili wawili tuu baba yake na kikwete kwamba hata yeye aliekwenda yanga hana akili
 
Ndugu uwezo wako wa kupambanua mambo upo chini sana. Yanga wameingia gharama kubwa sana kumfikisha Fei hapo alipo, haiwezekani aondoke kihunihuni tu.
Kama kapata malisho bora awaambie hao wanaomtaka wakakae mezani na Yanga, nina imani utaratibu ukifuatwa ataondoka kirahisi tu maana yeye siyo tegemeo la Yanga kama alivyokuwa Msuva aliyeuzwa
 
Angechagua njia ya kuununua mkataba sidhani kama kungekuwa na vikwazo, tatizo limekuja baada ya kutaka kuvunja mkataba. Kuvunja mkataba siyo jambo rahisi kama mnavyolichukulia, kuna vigezo na masharti ambavyo lazima vifuatwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…