Feisal Salum kakosa Elimu na Akili

Shida ipi? wengi wajinga hamjielewi kuna mkataba ambao hauna kipengele cha kuvunjika ?


Rudi kasome kwanza ndo uje .
Haya tufanye Kipengele cha kuvunjika kipo!? Haya kitaje basi ambacho ilitakiwa kivunjwe na taratibu za kukivunja zipoje!?

Nasi Tumchangie aende Cas kukivunja kwa maana Yanga akivunjiki.....

Tukiwaambia mna Akili ndogo ....mtabisha
 
Haya tufanye Kipengele cha kuvunjika kipo!? Haya kitaje basi ambacho ilitakiwa kivunjwe na taratibu za kukivunja zipoje!?

Nasi Tumchangie aende Cas kukivunja kwa maana Yanga akivunjiki.....

Tukiwaambia mna Akili ndogo ....mtabisha
Huoni kama nyie mno hamna elimu hapo sasa.

Roho mbaya maana mnajua labda anaensa simba .
 

Kuamkia mihogo iliyolala & kuchacha. Ni mbaya sanah
 
Kwan ameishia form ngapi ?
 
Sijaelewa umeandika nini!

Ana passport Dubai nk.

Si ungekaa kimya ili ufiche ujinga wako!
 
Badala angekomaa na timu inayomtaka ikafanye mazungumzo na Yanga, yeye anataka kwenda CAS ambako ni dhahiri ataambiwa yale yale aloambiwa na TFF
 
Badala angekomaa na timu inayomtaka ikafanye mazungumzo na Yanga, yeye anataka kwenda CAS ambako ni dhahiri ataambiwa yale yale aloambiwa na TFF
Hapo pia amechemka ...mkataba wake ungebakisha miezi sita...timu zilikuwa zinaruhusiwa kuongea nae....

Yeye mkataba wake mpaka 2024 toka alivyozingua so anaogopa hili,
Timu zilizomrubuni zitashughulikiwa na FIFA+ TFF

Fei amechanganyikiwa......
 
fei kashindwa kuwatambua maadui wa ndoto zake.....na hili ni tatizo walilonalo watu wengi unamuona mtu anaishi na ndugu yake na anampenda kwelikweli na kila anachoshauriwa anafanya........lakini ukiisoma saikolojia ya huyu ndugu yake unaona kabisa hana nia njema na mwenzie kwa lugha ya kawaida anamchimbia mashimo kisirisiri ili amuangamize na mara nyingi watu kama faisal huwa wanashtuka mambo yameishaharibika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…