Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ipi? wengi wajinga hamjielewi kuna mkataba ambao hauna kipengele cha kuvunjika ?Hataki nini!? kwani alilazimishwa kuutumikia mkataba aliosaini??
Mambo kama hamuyaelewi ni shida...
Ndio unavunjwa kama kuni?Shida ipi? wengi wajinga hamjielewi kuna mkataba ambao hauna kipengele cha kuvunjika ?
Rudi kasome kwanza ndo uje .
Haya tufanye Kipengele cha kuvunjika kipo!? Haya kitaje basi ambacho ilitakiwa kivunjwe na taratibu za kukivunja zipoje!?Shida ipi? wengi wajinga hamjielewi kuna mkataba ambao hauna kipengele cha kuvunjika ?
Rudi kasome kwanza ndo uje .
Kwani mutual agreement hamna?Ndio unavunjwa kama kuni?
Huoni kama nyie mno hamna elimu hapo sasa.Haya tufanye Kipengele cha kuvunjika kipo!? Haya kitaje basi ambacho ilitakiwa kivunjwe na taratibu za kukivunja zipoje!?
Nasi Tumchangie aende Cas kukivunja kwa maana Yanga akivunjiki.....
Tukiwaambia mna Akili ndogo ....mtabisha
Mutual agreement inafanyika kwa pande Moja ya mkataba!? Yaani mtu mmoja anaweza fikia mutual agreement bila kukutana na pande nyingine na kufika muafaka....?![emoji16]Kwani mutual agreement hamna?
Mnakaza kichwa tu na roho mbaya ...Muacheni aende.
Taja kipengele.....Huoni kama nyie mno hamna elimu hapo sasa.
Roho mbaya maana mnajua labda anaensa simba .
Hakika elimu ni ukombozi wa maisha. Ukiwa umeelimika inakuwa sio rahisi mtu kukushikia akili, ukiwa na elimu sio rahisi kuendeshwa kama gari bovu, ukiwa na elimu sio rahisi kutumiwa kwa maslahi ya mtu bila wewe kujua.
Hata hivyo:
Unaweza kukosa Elimu ya kutosha lakini ukajaaliwa kuwa na Akili kubwa kuliko hata ya mwenye Elimu ,mfano mzuri ni kwa mchaga, mkinga na mpemba aliyeishia la nne ana akili kubwa ya biashara kuliko professor wa UDSM.
Na ndio maana wapo walioishia std 7 lakini wana akili kubwa sana na sio rahisi kushikiwa akili, sio rahisi kudanganywa, sio rahisi kuendeshwa.
Feisal yeye amekosa vyote, AKILI na ELIMU, ameshikiwa tu akili kwa maslahi ya hao waliomshikia akili. Nadhani angekuwa anacheza soka Ulaya angekuwa kama yule mchezaji nadhani anaitwa Eboue aliyefilisiwa mali na Mke. Eboue alikosa akili ya kujua dhamira ya ndani ya mke anayemuoa. Lakini tunashuhudia akili kubwa ya Hakhim jinsi alivyompiga chenga mke tapeli.
Kukosa Elimu ni bora kuliko Kukosa AKILI
Kwan ameishia form ngapi ?Hakika elimu ni ukombozi wa maisha. Ukiwa umeelimika inakuwa sio rahisi mtu kukushikia akili, ukiwa na elimu sio rahisi kuendeshwa kama gari bovu, ukiwa na elimu sio rahisi kutumiwa kwa maslahi ya mtu bila wewe kujua.
Hata hivyo:
Unaweza kukosa Elimu ya kutosha lakini ukajaaliwa kuwa na Akili kubwa kuliko hata ya mwenye Elimu ,mfano mzuri ni kwa mchaga, mkinga na mpemba aliyeishia la nne ana akili kubwa ya biashara kuliko professor wa UDSM.
Na ndio maana wapo walioishia std 7 lakini wana akili kubwa sana na sio rahisi kushikiwa akili, sio rahisi kudanganywa, sio rahisi kuendeshwa.
Feisal yeye amekosa vyote, AKILI na ELIMU, ameshikiwa tu akili kwa maslahi ya hao waliomshikia akili. Nadhani angekuwa anacheza soka Ulaya angekuwa kama yule mchezaji nadhani anaitwa Eboue aliyefilisiwa mali na Mke. Eboue alikosa akili ya kujua dhamira ya ndani ya mke anayemuoa. Lakini tunashuhudia akili kubwa ya Hakhim jinsi alivyompiga chenga mke tapeli.
Kukosa Elimu ni bora kuliko Kukosa AKILI
Sijaelewa umeandika nini!YANI WEWE NGUMBALU PANGU PAKAVU UNAJIFANANISHA NA FEISAL.
1. Mwenzio ana mawakili na wanasheriankibao.
2. Anazaidi ya Milioni m200 kwenye account yake.
3 Ana pasport Dubai nk.
WEWE HATA NDEGE HUJAWAHI KUPANDA.
ANHEKUWA TAHIRA ANGEKUBALI KULIPWA MILIONI 4 AZIZI KI MTOKEA BENCHI ALAMBE 24 SHAME ON U
Umesahu jingine kwamba ana 200m halafu anatembeza BAKULI.Sijaelewa umeandika nini!
Ana passport Dubai nk.
Si ungekaa kimya ili ufiche ujinga wako!
Nahisi chungu cha sita....[emoji1787]Kwan ameishia form ngapi ?
Mutual agreement inafanyika TFF? Kaambiwa aende klabuni kwake wakavunje mkataba hataki wamfanye nini?Kwani mutual agreement hamna?
Mnakaza kichwa tu na roho mbaya ...Muacheni aende.
Hapo pia amechemka ...mkataba wake ungebakisha miezi sita...timu zilikuwa zinaruhusiwa kuongea nae....Badala angekomaa na timu inayomtaka ikafanye mazungumzo na Yanga, yeye anataka kwenda CAS ambako ni dhahiri ataambiwa yale yale aloambiwa na TFF