Feisal Salumu: Nimeondoka Yanga kutokana na manyanyaso, nilizungumza na Rais wa Yanga kwa saa 6, nikamwambia nataka kuondoka

Mbele ya camera anajifanya mstaarabu na kumbe nyuma ya pazia anamnyanyasa sana kijana na inaelekea ndiyo chanzo cha Fei kugoma kabisa kurudi Yanga.Ile roho ya kikatili ya Kisomali iko damuni kwake.
Ila aliyomfanyia sio haya dogo anayoongea hapo, ni mengine kabisa.

Sababu anazotoa kwa kujikanyaga hapo ni wazi anadanganya
 
Kwani kuna ajabu gani,siku zote mwanzo wa mapatano ni pale mahasimu wawili wanapokutana na kuzungumza tofauti zao.Feisal aliamini wanaenda kuzungumzia tofauti zao na pia kusikilizwa matakwa yake na si vinginevyo
 
Ila aliyomfanyia sio haya dogo anayoongea hapo, ni mengine kabisa.

Sababu anazotoa kwa kujikanyaga hapo ni wazi anadanganya
Upo sahihi sana.Hapo atakuwa anajaribu kulinda heshima ya Rais wa Uto,ila akiamua kumwaga kila kitu hadharani pana watu watarudi Mogadishu bila kupenda kwa aibu
 
Chuki za kishamba hizi,
Huyu dogo Kuna watu wanampotosha kwa maslahi Yao BINAFSI[emoji3525]
Watanganyika wassenge sana ndio maana vilabu vinashindwa kwenye mashindano ya kimataifa na kombe la dunia kwa chuki na ubaguzi wa kipuuzi
 
Kua yeye hajui kusoma?
Walimuona anatoka Zanzibar ni ujinga wa kitanganyika tu na chuki binafsi kuuwa vipaji hasa kwa wazanzibari ambao kule bara wameshindwa kuvifikia sasa wanasajili kutoka burundi nk
 
Upo sahihi sana.Hapo atakuwa anajaribu kulinda heshima ya Rais wa Uto,ila akiamua kumwaga kila kitu hadharani pana watu watarudi Mogadishu bila kupenda kwa aibu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mogandishu tenaaaa?? Woiiiiiih
 
Fei kichaa kimemuanza
 
Najiuliza nkane na mzinze wao si itakua wameambiwa Tu wekeni dole gumba hapa mtalipwaga 950k kwa mwezi[emoji848]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mogandishu tenaaaa?? Woiiiiiih
Hii Somali ngoja ilete janja janja yake, wapemba watadeal nae atajikuta katikati ya Mogadishu akacheze na Al shabaab [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni kweli usemacho! Klobu za Kkoo janja janja sana. Refer issue ya RAMADHANI SINGANO na mkataba wake na SSC.

Leo akina Masoud wamemuuliza AMRI KIEMBA nn maoni yake ktk mahojiano haya ya FEISAL, akajibu kuwa anachosema FEISAL yeye anakielewa kwa undani sbb ameshafanyiwa hivo angali Mchezaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…