Feisal Salumu: Nimeondoka Yanga kutokana na manyanyaso, nilizungumza na Rais wa Yanga kwa saa 6, nikamwambia nataka kuondoka

Feisal Salumu: Nimeondoka Yanga kutokana na manyanyaso, nilizungumza na Rais wa Yanga kwa saa 6, nikamwambia nataka kuondoka

Tatizo sio hiyo miaka 3, tatizo lipo kwenye unyanyasaji uliendelea na amefanya kazi kwa shida.

Sikiliza mahojiano yake.

Fei yupo tayari arudi mtaani kuliko kufanya kazi na Eng Hersi. Alichofanyiwa na Eng. Hersi hataki kufanya naye kazi tena.

Unanyanyaswa na bado unasaini mkataba mwingine wa kuongeza miaka ya kuitumikia timu inayokunyanyasa.
 
Hivi huyu dogo ana elimu gani?
Ama kweli huyu ni bora angezaliwa mwanamke. Kuna faida gani kuzaliwa mwanaume halafu akili ni ya mama? Kila saa mama !
Aondoe ubin wa baba aweke wa mamake!
 
Tayari kuna uzi humu umeshafunguliwa Moderator walipaswa kuunganisha uzi

Kwani kuna kulipwa ada ya kuanzisha uzi? Relax brother
 
utoto rahaa ila utajuta ukifika umri wa uzee
So ukidhalilishiwa mama Yako saivi uitiwe wewe njoo hapa kwanini umechelewa ndio maana mama Yako ni mavi maana wewe ni mdogo bado unakaa hapo ukiwa mkubwa unakaa tu maana wewe ni upo yanga hivi ukionewa hela haiji Kwa wakati unatishiwa maisha,unateswa hupewi mahitaji unakaa tu unatukaniwa familia unakaa tu . Wewe ni wale ambao mke anamtusi na kumvua mama Yako nguo hujali walahuumii
 
"Baada ya kuwasumbua sana ndio wakaniongezea Million 20 zingine baaae."

Mazungumzo yalikua nilipwe signing fees million 100 Kwa mkupuo, baada ya kusaini wananiambia kua mkataba unasema nitalipwa Kwa mafungu. Mkataba ni wa Kingereza na mi sikijui".
Kingereza hajui masikini weee
 
Inawezekana upo sawa ila Dogo ameshasema tangu anasaini mkataba alisaini kwa kumuamini Hersi, hata mkataba hakuchukua Kumbe Hersi walichozungumza sicho alichokiandika kwenye mkataba.

Hili ni tatizo ambalo kisheria atashindwa ila ni wazi kuwa kuna kiongozi anafanya maisha ya Fei hapo Yanga kuwa magumu. Kama ni sahihi, Katika mazingira haya mchezaji anaweza kuamua potelea mbali,IMETOSHA ngoja nijaribu nikishindwa nitakaa mtaani.
Mbona alipokua anatangazwa kua kasaini miaka3 alikua akichekelea kwa pembeni na hakulalamika. Au na kiswahili nacho hajui
 
Nipo upande wake lakini hapo kwenye kutokujua mkataba unasemaje sababu ni wa kingeleza namlaumu. Kwanini asaini dili kubwa kama hii bila kuwa na mtalamu wa hata mambo
Shidaa ilianzia hapaaa...na ndo tatizo la wabongo hili
 
Kama mazingira hayakuwa favorable watamwambia harudi wakae chini na Yanga wavunje mkataba,hilo ndilo Yanga wanamtaka lakini yeye hataki.

Hata kama mazingira hayakuwa favourable huwezi kuvunja mkataba kihuni,ingekuwa hivyo kila siku tungekuwa tunaona wachezaji wanavunja mikataba wanaondoka kiholela,yeye anachopaswa ni kwenda kwenye uongozi wa Yanga na kukaa chini na kukubaliana wavunje mkataba kila mtu ashike hamsini zake.
Maelezo ya Fei umesoma lakini?? Kuna kitu mie nimekionaa hapa ndo kinacholeta huu mgogoro
 
Ingekuwa ndivyo angeondoka tangu siku alipokuwa analishwa ugali na sukari
Ni mara ngapi yanga imeshtakiwa na makocha na wachezaji Kwa kutofuata mkataba uliosainiwa? Unatanguliza ushabiki badala ya kutumia akili.
Samatta aliwahi kuwagomea Simba Kwa kutotekelza mkataba kama ulivyotaka. Klabu za kariakoo hasa Yanga sio ya kuiwekea dhamana.
 
Ndiyi ujibga wenyewe huo. Sheria haina jutokujuwa, angetafuta nwanasheria kabla hajasaini mkataba.

Huyo masikini ya Mungu alikuwa haijuwi dunia na hajuoata washauri waziri, ni wakuhurumiwa tu.


Salama yake huyo kijana amuombe GSM tu kama ataweza, maana nasikia siku hizi GSM kumuona ni vigumu kuliko hata kumuona Rais wa nchi.

CAS huko hawahukumu kihuruma, hana kesi huyo. Yanga waliwekeza kwa matumaini wavune faida, alikuwa hafahamu kama mpira ni biashara.

Huwezi kuwarudishia million 100 ya kusaini useme ndiyo umemalizana nao. Hapo ilitakiwa awalipe gharama zao zote na faida juu. Kwa uchache nahisi kama 1b.

Ushirikina uliopo kwenye mpira anafikiri kuna huruna huko? Maawe.

Awaambie viongozi wa timu anayotaka kuhamia wa "negotiate" na viongozi wa Yanga. Simpo.
Amesema hana team inayomtakaaa, sasa wee bibi unazungumza nn??
 
haaaa....eti alitoa pasi kwa Mayele akakosa goli akaambiwa anauza mechi...[emoji2][emoji2][emoji2]
Utoto huu
 
Back
Top Bottom