ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
elimu ya Baba yake Messi na Mama yake Feisal zipo level moja?Mkuu hata Messi anasimamiwa na Baba yake anayeitwa Jorge ndio agent wake,hilo sio tatizo,kuna interview moja,Baba yake Messi alisema; "Messi mpaka leo ananisikiliza mimi,hafanyi movement yeyote bila mimi Baba yake"
Sasa ndo anataka kuondokaaa, ila team haitaki yeye kutokaa afanyejee??Aondoke yeye, Engineer abaki
Siku zote humu tunasema Yanga ni wahuni watu wanatuona kama tuna spread chukiKilichopo ni kwamba makubaliano ya kuongea walipokutana ni tofauti na kilichopo kwenye mkataba, Fei hajui Kingereza yeye alienda kusaini tu.
Ndo maana yaliyotokea ni haya ya miaka mitatu kwa Hersi, na miwili kwa Feisal.
Sahihibongo wachezaji wengi sana hili linawakuta....
wao huwa wanaamini maneno waliyoambiwa, hawasomi mikataba au hawajui kusoma kingereza (au lugha ya kisheria),
umefika wakati wachezaji waanze kuwa na wawakilishi wao, maana kwa sasa ligi yetu ina pesa!
Wakiangalia mkataba yanga hawatoboi, CAS wataangalia kuna kipengele cha kuvunja mkataba na kama kipo kinamtaka fei afanye nini basi hawaangalii sababu za kuvunja mkataba, ndiomaana siku zote wachezaji huwa wanashinda huko CASHakuna kipengele kilichopo kwenye mkataba kilichovunjwa,CAS wataangalia mkataba unasemaje na unatekelezwaje
tena tusi lenyewe eti andazi [emoji2]Yani Hersi atume watu wamtukane Feisail na Mama?!
Nitakua wa mwisho kuamini hii. Kuhusu mkataba naweza kuamini, Bongo magumashi mengi.
Tusubiri upande wa pili kama wataona inafaa kujibu.
Kwani ww ndo unapangia mtu nani amsimamie kwny mambo yake?? Kijana wa kichaga wa darasa la 7 ana uwezo wa kusimamia biashara kuliko wa masters ya biashara..elimu ya Baba yake Messi na Mama yake Feisal zipo level moja?
Mbona ameshajibu hili. Fei anaipenda Yanga, na kuendelea kuwepo hapo halikuwa tatizo, tatizo ni kiongozi ambaye ana mambo yake anayoyajua na Fei, na amemnyanyasa sasa imefika sehemu kaamua bora kubaki mtaani kuliko kufanya naye kazi.Mbona alipokua anatangazwa kua kasaini miaka3 alikua akichekelea kwa pembeni na hakulalamika. Au na kiswahili nacho hajui
Ni kama kaelezea makosa yake. Kama angesaini mkataba ambao hauna maandishi sawa ila sio hiviHili limefanya hata hayo mengine nisimuamini
Mkataba anao hersiPicha ya huo mkataba
Anatafta kuungwa mkono na mashabiki wa SimbaHuyu dg haamiki, Kuna kipindi cha nyuma aliwahi kusema kwamba alichagua kucheza yanga kwa sababu yanga walimpa hela nyingi kuliko Simba LAKINI leo anaongea tofauti. Ana ndimi mbili haaminiki.
Leo wanayangaa kindaki ndakii mmasema Fei ana inamishwaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani kwa kifupi anasema waondoke GSM yeye ndio arudi Yanga.
Yani mtoto wa kiume akishaanza kuinamishwa basi kichwani kunabaki empty.
Hivi hii Kenge yeye ndio angekuwa Mayele ingekuwaje?
Labda unijuze,Baba yake Messi ana elimu gani na Mama yake Feisal ana elimu gani? na unatakiwa kua na elimu gani ili umuongoze mwanao?elimu ya Baba yake Messi na Mama yake Feisal zipo level moja?
Kwenye kunyanyasa ukute sijui aliombwa tigooo[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]Pia Kuna mahala kanyanyaswa
Mama yake ndie wakala wake.Huyu dogo boga kabisa, kunakuwaje na connection kati ya Mama yako na Yanga? Ina maana huwezi jisimamia au
Kwahiyo mtu wa michezo hukumuona pale?Kuna interview moja Feisal alifanya na Azam, akasema Simba walienda na dau dogo akakataa leo anasema Simba walitoa 25 Yanga akatoa 10, ni vile tuu hawa watangazaji wetu hua hawana taarifa za kutosha,
Ile interview ya leo Clouds walipaswa wawe na mtu wa michezo pia
Makosa bado ni yake kwa sababu kama angekua na mtu wa kumsaidia hili lisingetokeaWalishaongea kabla ya kusaini mkataba kwanza, kwahivyo yale mazungumzo Faisal ndo akayapeleka kwenye mkataba ambapo baadaye yaliyotokea ni kwa Hersi miaka mitatu na kwa Feisal ni miaka miwili.
Alikariri mazungumzo waliongea kabla ya kusaini mkataba wa Kingereza.
Ushabikii umekujaaa, tatizo hutaki kumuelewa Fei nn kazungumza na utafakari.Ingekuwa ndivyo angeondoka tangu siku alipokuwa analishwa ugali na sukari
Pepo Iko chini ya mama yake mzazi wamuache amsikilize mama yake Ndo kiumbe pekee mkweli ktk uso wa ardhimkuu Remember the name Achraf Hakimi