Feisal Salumu: Nimeondoka Yanga kutokana na manyanyaso, nilizungumza na Rais wa Yanga kwa saa 6, nikamwambia nataka kuondoka

Bongo ubabaishaji ni mkubwa sana .amini usiamini ukisikia mchezaji kapewa Milion 50 sijui ngapi .ujue kabisa ni uongo ni katika kupamba tu hayo magazeti Huwa yanapozwa yaongeze sifuri mbili kweli .

Wachezaji WA kitanzania Huwa wanapewa mwisho Milion 10 signing fees.

Magezeti sasa ndio mlipuko sio WA kawaida

Hata hiyo Milion 4 tunayosikia alikuwa akilipwa pia usikute sio kweli

Mshahara usikute ni laki 7 tu .

Bongo nyoso


Kama ni kweli feisal hiki ndicho kukuta basi nipo radhi kukuchangia uende cas


Yanga Kuna watu Wana roho mbaya sana ila kucha kutwa kuvaaa kanzu nyeupe kujifanya watu safi.
 
Huyu dg haamiki, Kuna kipindi cha nyuma aliwahi kusema kwamba alichagua kucheza yanga kwa sababu yanga walimpa hela nyingi kuliko Simba LAKINI leo anaongea tofauti. Ana ndimi mbili haaminiki.
Halafu swala 5.
 
Aende huko Man utd hapa Yanga hatuna huo utamaduni
 
Hutaki Hersi awe exposed?
 
Swali: Ni kwa nini kila Yanga inapokuwa na mechi ngumu ndio Feisal utokea mafichoni kuitowa Yanga kwenye mstari?
Mtakuwa wasengerema wa kiwango cha SGR kama maneno ya fei yatawatoa wachezaji kwenye reli, kwamfano kiaje mnatoka mchezoni?
 
Ukiacha mambo ya Usimba na Uyanga, binafsi namuunga mkono Feisal. Popote kwenye dhulma na dharau shetani yupo hapo ananawiri. Nimeshakuwa muhanga wa hayo mambo najua hisia zake.
Endelea hivyo hivyo anakuhitaji kipindi hiki
 
Pepo Iko chini ya mama yake mzazi wamuache amsikilize mama yake Ndo kiumbe pekee mkweli ktk uso wa ardhi
Nampenda Pia anamjua Mungu
Baadhi ya watu ishu kama hizi wanazitazama kishabiki! Kila upande hapo una mokosa na solution ni kukaa chini kuyamaliza kwa uzuri tu!
 
 
Nimemsikiliza Fei, ugomvi wake ni na Hersi, na kuliko afanye naye kazi ni bora abaki mtaani. Dah, sijui jamaa kamfanya nini.
Something huuuge behind curtains
 
Mbona ameshajibu hili. Fei anaipenda Yanga, na kuendelea kuwepo hapo halikuwa tatizo, tatizo ni kiongozi ambaye ana mambo yake anayoyajua na Fei, na amemnyanyasa sasa imefika sehemu kaamua bora kubaki mtaani kuliko kufanya naye kazi.
Kwa hiyo miaka3 alikubaliana nayo na sio aliwekewa bila kujua kama alivosema. Akae zake kitaa mpaka 2024. Na ile milioni 100 alio rudishiwa haitoshi kwenda cas au fatma karume kaimaliza yote.
 
Hivi huyu dogo ana elimu gani?
Ama kweli huyu ni bora angezaliwa mwanamke. Kuna faida gani kuzaliwa mwanaume halafu akili ni ya mama? Kila saa mama !
Aondoe ubin wa baba aweke wa mamake!
Mama yake Pepo yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…