Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Mimi najiuliza,huyu Hersi si ni mwajiriwa wa GSM? Kama yeye ni mwajiriwa huo mkataba wake wa ajira angekuwa anafanyiwa haya mazonge angeweza kudumu hapo GSM.Tunasahau point ya msing ya Fei kuwa anacholilia ni hatma ya maisha yake na watu wanatanguliza ushabiki na upenzi wao wa Team.Devil, Fei ni mjinga, na amekiri mwenyewe kuwa hajui hata kingereza. Yeye alichoambiwa ndo alichoamini kuwa kipo kwenye mkataba kwa ujinga wake akasaini.
Sasa anacholilia Fei ni kuondoka, aambiwe gharama ya ujinga wake ili ailipe aondoke kwa sababu pamoja na tatizo la kimkataba ameshimdwa kufanya kazi na kiongozi wake. Kama ikishindikana anaenda CAS na ikishindikana basi mpira wake umeishia hapo. Kweli hili ni gumu kiasi hichi?
Fei ana hoja asikilizwe.