EGF
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 387
- 986
watu wengi ambao mnauelewa mdogo wa kufikiri mnarukia kwenye cheap issues lakini hamtizami tatizo kuu. wachezaji wengi hasa wa kitanzania wana changamoto ya elimu kutokana na mfumo uliopo wa maisha yetu kwamba shule ikikushinda unakimbilia mpira na kipaombele ni kupata pesa tu bira kutizama mustakabari mzima wa maisha.
maana yake mpira haukua kama ajira rasmi. na hapo TFF na baraza la michezo liliunda sheria na kanuni za kulinda haki za wachezaji na vilabu. Lakini kwakua soka letu limeshakua TFF na baraza la michezo linatakiwa liunde chombo rasmi kinachojitegemea kwaajili ya kusikiliza kesi zinazowahusu wachezaji na vilabu vya mpira.
hilo halijafanyika hivyo ni kasoro kwasababu wachezaji wetu wandani hawana uwezo wa kumudu gharama za kwenda CAS badala yake wangeweza kufungua kesi katika mahakama za michezo hapahapa Tanzania.
wapo wachezaji wengi tu wanachangamoto kama alizonazo Feisal lakini kwasababu ya ukubwa wa Jina alilonalo Feisal ndio maana linatizamwa kwa ukubwa lakini ukweli wapo wengi.
so ni muda muafaka sasa wa Rais wa TFF kushirikiana na Waziri wa michezo kuanzisha mchakato wa mahakama ya michezo.
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
maana yake mpira haukua kama ajira rasmi. na hapo TFF na baraza la michezo liliunda sheria na kanuni za kulinda haki za wachezaji na vilabu. Lakini kwakua soka letu limeshakua TFF na baraza la michezo linatakiwa liunde chombo rasmi kinachojitegemea kwaajili ya kusikiliza kesi zinazowahusu wachezaji na vilabu vya mpira.
hilo halijafanyika hivyo ni kasoro kwasababu wachezaji wetu wandani hawana uwezo wa kumudu gharama za kwenda CAS badala yake wangeweza kufungua kesi katika mahakama za michezo hapahapa Tanzania.
wapo wachezaji wengi tu wanachangamoto kama alizonazo Feisal lakini kwasababu ya ukubwa wa Jina alilonalo Feisal ndio maana linatizamwa kwa ukubwa lakini ukweli wapo wengi.
so ni muda muafaka sasa wa Rais wa TFF kushirikiana na Waziri wa michezo kuanzisha mchakato wa mahakama ya michezo.
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app