Feisala Salum Shtuka Mapema Mdogo wangu!

Kwenye kesi feisal halipi chochote pale kuna watu wanalipa na kumsimamia mpaka sakata linaisha mshahara wa million nne unaweza ukapata hela za kumlipa jasmine abdulrazak kweli hapo wanamsaidia tu.
 
Kutokuwepo kambini miezi 3 ni sababu tosha ya kumfukuza mchezaji, ila kwa Fei hali imekuwa tofauti sababu anahitajika.

Sheria hii imeandikwa wappi?

Hebu weka picha ya ushahidi hapa...wanajanvi wajifunze.[emoji23]
 
Acha uongo anatakiwa alipe mshahara wake mpaka mkataba unaisha hela yenyewe million nne hyo pesa ndogo kwa AZAM safari hii mmeyakanyaga.
Kama anatakiwa alipe iyo milioni 4 kuvunja mkataba si aende sasa afanye ivyo asepe, mbona anawakwepa yanga shida yake nini?
 
Hiyo miezi 3 kulikuwa na kesi zinaendelea hivo sio rahisi kufanyakazi kwasasa.
Wanasema miezi 3 kutokuwa kazini inatosha kumfanya afukuzwe.

Inafaa adhabu ya faini. PSG hawawezi kumfukuza Mbappe eti kwa sababbu hajahudhuria ofisini siku 3.
 
Simba waliihandle vzr sana ile ishu na haikuwa na mjadala. Huenda sababu hawakumhitaji sana. Imagine Simba ingekimbilia TFF kama Yanga.
Ilikuwa ni Simba Vs Dejan.

Ingekuwa Simba Vs Chama ingekuwa issue nyingine.[emoji23]
 
Sheria hii imeandikwa wappi?

Hebu weka picha ya ushahidi hapa...wanajanvi wajifunze.[emoji23]
Sheria ipi inasema akiwa mtoro aendelee kulipwa.
 
Kosa la viongozi ni moja tu, kuruhusu mkataba wa mchezaji aina ya fei kuwa na udhaifu na thamani ndogo.

Kama kweli mkataba una udhaifu basi tulitegemea Azam FC wamtangaze dirisha lile dogo.

Kwanini hawakumtangaza ikiwa mkataba unasema Fei akilipa Milion 100 tu anaruhusiwa kuondoka?

Azam FC sio wajinga.

Mara 2 mfululizo TFF wametoa hukumu ya kuwa mkaataba wa mchezaji na klabu yake ni halali. Tunapata vipi uhalali wa kubishana na TFF na kusema mkataba una mapungufu?
 
Njia ipi? Kwa kawaida usipoonekana eneo la kazi yako kwa miezi 3 si unafukuzwa tu? Ila huyu imekuwa tofauti sababu anahitajika.
Sheria ipi ya TFF au ya CLUB imedema hivyo?

Au unatumiaa sheria za TAMISEMI?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama anatakiwa alipe iyo milioni 4 kuvunja mkataba si aende sasa afanye ivyo asepe, mbona anawakwepa yanga shida yake nini?
Jiongeze mbona unadandia treni kwa mbele million times remaining contract period hivi shule ulikuwa unaingia kweli kipindi cha hesabu
 
Kwa ramadhani kessi na buswita mlifuata utaratibu upi.
 
Wachezaji wetu tatizo elimu. Kwa akili ya kawaida tu mkataba umebaki mfupi Kuna ugumu gani wa kuvumilia uishe aondoke bure hasa ukizingatia umri bado. Kiburi kisichokuwa na maana.
 
kwa wanasheria wenu wale vilaza pale yanga mapema tu mnapigwa knockouts

Ukitumia akili kidogo utagundua kuwa Feisal na Wanasheria wake wote wamepigwa Knockouts za kutosha.


Ona sasa wamekuja wakipiga magoti kuomba wavunjiwe mkataba.

Mwanasheria wa kwanza kamkimbia.


Mwanasheria wa pili kamkimbia.


Huyi wa tatu atamkimbia nayeye...
 
Jiongeze mbona unadandia treni kwa mbele million times remaining contract period hivi shule ulikuwa unaingia kweli kipindi cha hesabu
Wanaojua thamani ya mkataba wa mchezaji ni yanga wenyewe, izo blah blah unazoandika hapo mnazijua wenyewe madunduka, Thamani ya mkataba wake ataijua siku akienda kutajiwa dau la kuvunja mkataba full stop
 
Azam kwann unawaingiza hapa? Kwani wao ndo wamesema wanahusika na muamala?
 
Yanga wanamtega pia Fei, asiwe na hoja hata CAS, ataenda kusema nini? anavunja mkataba kwa shida gani?
 
kwa hiyo ukiwa mchezaji unapotea tu miezi mitatu ufukuzwe ili uhamie timu ingine ,we kashabikie vitu vingine mpira huulewi!
Akipotea miezi 3 unafanyaje? 6 je?
 
Acha uongo anatakiwa alipe mshahara wake mpaka mkataba unaisha hela yenyewe million nne hyo pesa ndogo kwa AZAM safari hii mmeyakanyaga.
Mkuu unaelewa maswala ya mikataba? Hatukatai anaweza kulipa ila Unataka kuhama nyumba unayoishi si uongee na mwenye nyumba Sasa unaenda kushtaki kwa mwenyekiti inakaaje hiyo , kuweni waungwana asaidike afanikiwe acheni chuki na club

Hata kama anaweza kulipa Kuna taratibu za kulipa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…