residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Point ya muhimu sana hii.Wafuasi mna imani sana. Hapa sio mambo ya emotional mkuu ni swala la mpunga na kutumia akili.
Mtaani watu kama jpm wapo wengi sana. Akipata kidogo tu anaamini anaweza kufanya kila kitu kwa hicho hicho kidogo mwisho wa siku anapitia wakati mgumu sana mambo yoote yanakwama.
Mfano kama angeanzisha Bwawa pekee sasa hivi tungekuwa tunasubiri Ufunguzi tu. One at a time.
Jambo moja likikamilika,linaanza lingine.