Ferre Gola: Mfalme asiye na nyota

Ferre Gola: Mfalme asiye na nyota

Huyu ndo msanii wangu namba 3 ninayemkubali hapa duniani.
1. Koffi Olomide (Genius)
2. Madillu system (Mzee wa masauti)
3. Ferre gola (Fundi wa Rhumba)
4. Fally ipupa (Mkali wa Genre zote)

Hizi ndo nyimbo 76 za ferre gola ninazozipenda na kuziimba mwanzo mwisho. View attachment 2508375View attachment 2508376View attachment 2508377View attachment 2508378

REGARDE MOI jamaa kafanya balaa kubwa sana kwenye kuimba aisee
Amepiga vocal moja hatari kweny very high peak
 
Huyu jamaa ni Mfalma we Rhumba za kweli. Ni mwanamuziki ambaye ukiwa mpenzi wa Rhumba lazima utenge siku maalum ya kusikiliza mziki wake. Bahati mbaya Dunia ya Sasa inataka vitu feki kuliko original.

Kama Dunia ingetenda haki, basi FERRE GOLA angekua juuu sana. Mfalme huyu hajapata heshima anayo stahili na wala nyote yake haiwaki inavyopaswa.

Gola anazo nyimbo nzuri zenye ushauri na kukupa maadili ya maisha. Mungu amtunze huyu Franco wa kizazi hiki.
Leo nimeamka na Rhuma ya Gola, nilipofika kwenye ngoma inaitwa "Qui vivra verra" imebidi niweke repeat mode.

Jamaa amelalamika sana juu ya haya maisha ya kubangaiza huku akiamua kumuachia Mungu aamue hatma yake.

Imejikimbusha ngoma zake zingine kama Maboko Pamba, hii nayo ni balaa lingine.

Jaribu kusikiliza Qui vivra verra, sikiliza mwanaume analia sababu ya maisha magumu, sikiliza guitar rhythm na Bass tulivu. Sikiliza solo yenye heskima na heshima.

Wimbo wa mwaka 2013 lakini utadhani umetoka Jana.

Team Golla kula Tano mwanangu.
Nitaendelea kumpenda na kusikilizia nyimbo zake lepadre ferre gola, katika siku zote nitazoishi duniani nikiwa hai.
 
Huyu ndo msanii wangu namba 3 ninayemkubali hapa duniani.
1. Koffi Olomide (Genius)
2. Madillu system (Mzee wa masauti)
3. Ferre gola (Fundi wa Rhumba)
4. Fally ipupa (Mkali wa Genre zote)

Hizi ndo nyimbo 76 za ferre gola ninazozipenda na kuziimba mwanzo mwisho. View attachment 2508375View attachment 2508376View attachment 2508377View attachment 2508378
Kuna dude nimeliona hapo la kuitwa Jugement jamaa kalamika humo, huwa nairudia hata mara mia.... jamaa ndo mkali wangu kwa Wacongo!!
 
Sijawahi kuielewa mizik ya bolingo kutoka congo huko au hapa bongo ..nipo sanaa kwen R&B na kidogo kweny Regge
 
Huyu jamaa ni Mfalma we Rhumba za kweli. Ni mwanamuziki ambaye ukiwa mpenzi wa Rhumba lazima utenge siku maalum ya kusikiliza mziki wake. Bahati mbaya Dunia ya Sasa inataka vitu feki kuliko original.

Kama Dunia ingetenda haki, basi FERRE GOLA angekua juuu sana. Mfalme huyu hajapata heshima anayo stahili na wala nyote yake haiwaki inavyopaswa.

Gola anazo nyimbo nzuri zenye ushauri na kukupa maadili ya maisha. Mungu amtunze huyu Franco wa kizazi hiki.
Leo nimeamka na Rhuma ya Gola, nilipofika kwenye ngoma inaitwa "Qui vivra verra" imebidi niweke repeat mode.

Jamaa amelalamika sana juu ya haya maisha ya kubangaiza huku akiamua kumuachia Mungu aamue hatma yake.

Imejikimbusha ngoma zake zingine kama Maboko Pamba, hii nayo ni balaa lingine.

Jaribu kusikiliza Qui vivra verra, sikiliza mwanaume analia sababu ya maisha magumu, sikiliza guitar rhythm na Bass tulivu. Sikiliza solo yenye heskima na heshima.

Wimbo wa mwaka 2013 lakini utadhani umetoka Jana.

Team Golla kula Tano mwanangu.
Moja kati ya wanamzuki wazuri sana ndani ya DRC, na hana kibengo jamaa .
 
Back
Top Bottom