Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Huyu ndo msanii wangu namba 3 ninayemkubali hapa duniani.
1. Koffi Olomide (Genius)
2. Madillu system (Mzee wa masauti)
3. Ferre gola (Fundi wa Rhumba)
4. Fally ipupa (Mkali wa Genre zote)
Hizi ndo nyimbo 76 za ferre gola ninazozipenda na kuziimba mwanzo mwisho. View attachment 2508375View attachment 2508376View attachment 2508377View attachment 2508378
REGARDE MOI jamaa kafanya balaa kubwa sana kwenye kuimba aisee
Amepiga vocal moja hatari kweny very high peak