Fezza Kessy ajinadi live live

Kama kichwa cha panzi bangi ina kubangua.
 
Huyo dada anajulikana anakula mmea
Ndo maana nimeandika hivyo
Kama haujui story yake ....jioni njema.
 

Ninachofahamu ni kuwa kila mwanamke anatakiwa kujiamini kuwa yeye ni mzuri. Kisaikolojia ni muhimu sana. HIVYO FEZA YUKO RIGHT.
 
Ila yule phucker anakula bangi ukichangan ya na ugumu wa maisha mmh..sijui nini kinajili
 
Hahahhahaa uchebe kumbe na yeye ni manager wa herbs/hashishi
 
hivi kwanini watu wote wanaoenda BBA wakirudi huwa vichwani wanakuwa empty? kuna uchawi gani kule, hata wakikupatia milioni nyingi sana ukirudi unafilisika kuzidi hata kabla haujaenda....kuna agano na shetani gani kwenye zile hela za BBA? angalia mwisho, nando, idriss, feza, yule aliyoonyesha mbooooo hadharani aliitwa Richard sijui...nilimkutaga sehemu moja kaolewa na mzungu wa kike anajisikiaaa? shida tupu.
 
Mwacheni mchumba wangu fezza kessy ,wole wake mtu amseme vibaya ama zake ama zangu,
 
Mkuu upo sahihi %,,,yaani idrissa nashindwa kumuelewa kabisa wakitoka kule wawe wanapitia kwanza mirembe wakafanyiwe mental checkup..wasije kufanya vitu vya ajabu ajabu
 
Mkuu upo sahihi %,,,yaani idrissa nashindwa kumuelewa kabisa wakitoka kule wawe wanapitia kwanza mirembe wakafanyiwe mental checkup..wasije kufanya vitu vya ajabu ajabu
sasa hili jamaa nilielewe ni jinsia gani sasa? kwa mapigo kama hayo kwa umri wake huo, tuseme ni mwanaume au mwanamke? BBA inaharibu sana vijana.
 
Duh... mngejua kuna watu tunashindia majani kupata huo mwili. Feza ana mwili mzuri sana.
 
Hiyo paragraph ya mwisho hamjatofautiana mawazo na Don Clericuzio aliposema kunuia nadhani hujamwelewa, enzi za wahenga bangi ulikuwa unanuia...kwa hiyo Don Clericuzio amehisi "labda alinuia aonekane mrembo" ni sawa na wewe ulivyosema ukiwa mjanja unazidi kuwa mjanjahttps://www.jamiiforums.com/members/don-clericuzio.467482/
 

Halafu mkuu usisahau kwamba unaweza kuvuta ikaufanya chizi halafu ukawa unawaona wenzio ndo machizi, nilihisi tu jamaa itakuwa tayari naye.

Jamaa kashindwa hata kusoma mstari kwa mstari nini nilichomaanisha, ikabidi nimwombe tu samahani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…