Fid Q : The King of Plagiarism of all the time

Tell them bro
 
Hata yeye Mtoa mada amecop hii mada,maana fid hajaanza shutumiwa Leo kuhusu Hilo jambo kwa hyo alete shutuma mpya au ataje amemquot nan
 
Ndo nlitaka nimuone yeye akitoa ngoma zake kisimpo simpo km anavyodhan kua rahis C n P huyu jmaa[emoji38]
 
Huyu jamaa hadi maisha yake mwenyewe ni ya Kucopy...binafsi simkubali Fid sababu hiyo. Kwa sisi tuliosikiliza Hip Hop tangu 80,s hana jipya zaidi ya kutafsiri mashairi ya watu. Kiukweli FiD he is not Real MC. He's just a "Wanna Be".
 
Nilijuaga jamaa anijiamini sana ila kwa hili la vs wasafi nikagundua jamaa nae kumbe ni wale wale wakukunjia mkia nyuma
 
Kuna thread ipo humu jf inaonyesha jinsi Fid Q anavyo iba nyimbo za wasanii wa zamani wa Marekani na kuzi translate kwa kiswahili, huo uzi unamchambua vibaya sana mshkaji, sina mb ningewaweeken link, Fid yule ni mzee wa kucopy, kuna mashairi aliya copy hadi aibu, link naitafuta nitaiweka baadae
 
Sanaa ni Ubunifu,sanaa yaweza kua kama asali/kachumbali,ni mchanyato wa vitu vingi,ndio maana kupitia kazi za sanaa tunapata ladha/burudani na pia tunapata ujumbe.
Ukifikiria kuiba ubunifu wa mwenzio omba lidhaa yake kwanza/au acknowledge wazo uliloliiba ndio uungwana katika sanaa..
 
mnahangaika nae!!..hebu wekeni hit tracks za fid tuone alikokopi..anzeni na propaganda
 
Huyu jamaa hadi maisha yake mwenyewe ni ya Kucopy...binafsi simkubali Fid sababu hiyo. Kwa sisi tuliosikiliza Hip Hop tangu 80,s hana jipya zaidi ya kutafsiri mashairi ya watu. Kiukweli FiD he is not Real MC. He's just a "Wanna Be".
hebu tuwekee hayo mashairi aliyotafsiri,kwenye ngoma yake yoyote ile uijuayo..na isiwe msemo mmoja
 
mpaka tunakwenda mitamboni Fid Q pamoja na uzuri wake ktk mistari hajamfikia Moko wa Miujiza hata kwa mita 200. Fid aliwai kutoka na Kuwait kupewa heshima na nyimbo zake huzitoa kwa muda mrefu kutengeneza public demand lakini miujiza ya uandishi ipo kwa Moko na flow ipo Stereo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…