Fid Q : The King of Plagiarism of all the time

Fid Q ni mwizi wa kazi za watu kweli. Niliwahi kujaribu kuwaonyesha watu humu jinsi jamaa alivyoiba wimbo wa KRS-1 mpaka baadhi ya bars na puns kama zilivyo na kujifanya ni mawazo yake. Ila uzi wako umelenga kumshambulia jamaa personally, na sio sanaa yake.
 
kuna ajali mbaya sana iliwahi mtokea,akanusurika kupona ,tangu siku hiyo akasema hatokaa amiliki gari
Mbona watu wanafia kwenye ndege, meli mabasi ambayo sio miliki yao. Hizo sababu uchwara tu
 
Akili ndogo, we c umemkopi Luck dube naye itabidi afanye hivyo
 
Mkuu umesema ukweli kwa sehemu kubwa, lakini swali la kujiuliza je kati ya wasanii ni Did Q peke yake anaye iba mistari au idea za watu wengine bila kuwatambua (acknowledge)?

I know I can (Nas), idea yake imetumiwa na wasanii wengi tu akiwemo Kala Jeremiah (Wana Ndoto), Jikubali (Ben Pol) n.k

My Gal (R Kelly na Usher), Ngwea (RIP) na ........) idea imetumiwa kwenye wimbo wao wa Demu huyu ni wa kwangu

Nikumbushe lini Diamond amewa acknowledge wasanii anao wa copy, wa bongo na wa nje, mfano Zilipendwa

Ney wa Mitego anaingiza vikorombwezo vingi tu vya Wasanii wenzake, mfano kwenye wimbo wake wa Moto. Kibwagizo cha Wengi walikuwepo ......., pia ameingiza kibwagizo cha hili game hili ....... Je kuna sehemu ame wa appreciate Balozi na Sir Nature?

Huyo Joe Makini mwenyewe, ana m copy sana Nas, Mase na wengine

Hiyo ni mifano ya wasanii wa mziki wachache kati ya wengi wanao copy sehemu za mashairi ya wengine, je ni wangapi wanao copy kazi nyingine (sio mashairi) ikiwemo Vitabu na Misemo?
 
Wimbo upi wa krs
 
thats just the way it is,things will never be the same...huyo tupac,wale madem wakaimba na "thingd will never be the same again".. hapo wameiga au ni sentensi ya kawaida tu!!?..tukiwaambia muweke ngoma alizokopi mnarukaruka tu
 
Reactions: Pep
thats just the way it is,things will never be the same...huyo tupac,wale madem wakaimba na "thingd will never be the same again".. hapo wameiga au ni sentensi ya kawaida tu!!?..tukiwaambia muweke ngoma alizokopi mnarukaruka tu
Hakuna unachokijua katika HipHop...HipHop ni Culture...FiD ni Big Failure katika Culture ya HipHop pamoja na Nguzo zake!
 
Hakuna unachokijua katika HipHop...HipHop ni Culture...FiD ni Big Failure katika Culture ya HipHop pamoja na Nguzo zake!
mi nipo na hiphop bongo tangu sele jabir anaiba beat za watu..kipindi hicho mama yako bdo msichana na maziwa yamemsimama..jibu ulichoulizwa
 
huyo gosha wenu mchovu fid q huwa namfananisha na pdiddy kwa kupeleka mambo kiujanja ujanja!
 
Wajitokeze wana hip hop ambao hawakopy kaz wa wengine
 
achana nae huyo katumwa
 
Wewe sio kichwa, wewe unaweza fichwa

huo ni mstari kwenye ngoma yake ya Kiberiti alofanya na Saida Karoli na ilikua ni moja ya Diss alizopata kutoka kwa mashabiki wa timKiba baada ya kufanya Fresh remix na Mond

Jamaa anauwezo mkubwa sana lakini haya mambo ya kuingilia kati kati ya pande mbili zinazoshindana yamemkuta yakimcost siku za hivi karibuni, hii hali inawezachangia kushuka kwa heshima yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…