Mi nataka kujua kwanini wenzetu wanajaza viwanja mashabiki halafu huku kwetu wanazuia?Nakusamehe kwa Upumbavu wako, ila nikusaidie tu kwa Kukuambia kuwa hakuna Nchi ambayo ndiyo Walimu Wazuri na Waanzilishi wa Fitina zote na Umafia wote ( Kitaalam inaitwa 4-4-2 ) katika Soka la Afrika kama Misri ( Egypt ) na hata hicho ambacho unakiona wamekifanya hao Raia wa Senegal na chenyewe pia Wamejifunza na Kukiiga kutoka kwa Mafarao ( Wamisri ) Wenyewe.
Mkisikia Muosha Huoshwa muelewe!!!!!
Aliyekudanganya kuwa hata Egypt nae huwa habebwi ni nani? Kuna Watu ni Wapuuzi sana hadi nashangaa kwanini Covid-19 haikuondoka tu nanyi ili mpungue duniani na tupumzike pia.Kuna kitu kimefanyika pale sio bure, kuna lipumbafu limeshika laser lakini polisi wala referee hawakuthubutu kusema chochote,ni dhahiri senegal amebebwa.
Huenda tuna Akili chache hivyo wanataka hata huko Viwanjani pia tuwe tunaingia Wachache hivyo hivyo.Mi nataka kujua kwanini wenzetu wanajaza viwanja mashabiki halafu huku kwetu wanazuia?
Unateseka ukiwa wapiNimetizama mpira kati ya Senegal vs Egypt, licha ya mchezo mzuri ulioonyeshwa na timu zote lakini mashabiki wa Senegal wametia aibu
Walikuwa wakiwalenga machoni wachezaji wa Egypt na mwanga mkali wa laser kipindi wanacheza na walipokuwa wakipiga penalti
Hili limewaathiri sana wachezaji wa Egypt hasa kwenye upigaji penalti.. FIFA haipaswi kuruhusu uhuni huu, Senegal waondolewe au mechi irudiwe bila mashabiki ili kukomesha tabia hii chafuView attachment 2168687
Ndizo fitina zenyewe hizo ChifuMi nataka kujua kwanini wenzetu wanajaza viwanja mashabiki halafu huku kwetu wanazuia?
Hata Misri walifanya kule kwao na Senegal wamewaiga tu walichofanyiwaNimetizama mpira kati ya Senegal vs Egypt, licha ya mchezo mzuri ulioonyeshwa na timu zote lakini mashabiki wa Senegal wametia aibu
Walikuwa wakiwalenga machoni wachezaji wa Egypt na mwanga mkali wa laser kipindi wanacheza na walipokuwa wakipiga penalti
Hili limewaathiri sana wachezaji wa Egypt hasa kwenye upigaji penalti.. FIFA haipaswi kuruhusu uhuni huu, Senegal waondolewe au mechi irudiwe bila mashabiki ili kukomesha tabia hii chafu
Yaani leo uwanjani kulikuwa hivi...Dunia nzima imeshangaa
View attachment 2168706
Isije kuwa Utopolo Wamekufundisha ' jinsi ya Kulia lia na KulalamikaInasikitisha sana....hapa nacheki game ya Algeria na cameroon, penalty mbili za wazi kwa Algeria referee amegoma kuangalia var.
Imewaathiri zaidi kwenye penalti, golkipa anajiandaa kudaka anapigwa na tochi ta machoni...mchezaji anajiandaa kupiga nae anapigwa na tochi machoniAcha uboya basi Senegal wanastahili kufuzu haya mashindano.. kama hujuma ya mataa si wangefungwa mapema Toka dakika 90 za Mwanzo.. tuache tusherehekee ushindi wetu
Kiufupi unataka tu uzi uende basiImewaathiri zaidi kwenye penalti, golkipa anajiandaa kudaka anapigwa na tochi ta machoni...mchezaji anajiandaa kupiga nae anapigwa na tochi machoni
Corona ikawaondoa wa maana ikatuachia hawa mashudu.Aliyekudanganya kuwa hata Egypt nae huwa habebwi ni nani? Kuna Watu ni Wapuuzi sana hadi nashangaa kwanini Covid-19 haikuondoka tu nanyi ili mpungue duniani na tupumzike pia.