BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Kuna watu hawakosi sababu, watamtafutia kila aina ya kasoro, kwanza ilikua oh hana kombe la dunia/timu ya taifa, jamaa akawaonyeshea akabeba makombe matatu ndani ya mwaka mmoja
World cup🏆france kadundwa
Copa America 🏆Brazil kadundwa
Kombe la mabara🏆Italy kadundwa
Sasa wamebaki na msemo ballon za mchongo 😄
Maradona na Messi wamenifanya niupende Mpira....
World cup🏆france kadundwa
Copa America 🏆Brazil kadundwa
Kombe la mabara🏆Italy kadundwa
Sasa wamebaki na msemo ballon za mchongo 😄
Maradona na Messi wamenifanya niupende Mpira....