NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
hata uingereza zilicheza hivyo,na kuna kipindi ilikuwa zamu ya ac milan.bado ujifunze kwanza kutofautisha timu nzuri na ligi nzuri.ligi nzuri ni uwiano wa upinzani baina ya timu na timu.sio upinzani wa timu mbili miaka mingi.Ya kipuuzi kivipi wakati kama miaka mitatu mfululizo timu zao zinacheza both Europa na CL finals??
EPL hakuna mpira wowote.. Mitimu yao inalingana viwango ndio maana wanamenyana ovyohata uingereza zilicheza hivyo,na kuna kipindi ilikuwa zamu ya ac milan.bado ujifunze kwanza kutofautisha timu nzuri na ligi nzuri.ligi nzuri ni uwiano wa upinzani baina ya timu na timu.sio upinzani wa timu mbili miaka mingi.
ungekua unafatilia mpira na upeo japo wa mtoto wa darasa la 7 usingeongea hivo,juzi xavi kasema kama barcelona na madrid wangehamia epl wasingechukua ubingwa msimu wao wa kwanzaEPL hakuna mpira wowote.. Mitimu yao inalingana viwango ndio maana wanamenyana ovyo
ila ligi ya hispania haisisimui hutaki unaacha.EPL hakuna mpira wowote.. Mitimu yao inalingana viwango ndio maana wanamenyana ovyo
Hata ambao sio washabiki wa EPL wanaona haisisimuiila ligi ya hispania haisisimui hutaki unaacha.
lol....matic nafasi ya modric,koscielny,kompany nafas ya ramos,chagua mwenyewe ozil utamuweka namba gani
lol....epl hata mechi ya everton na spurs tamu,kuna mechi nying tam kuliko la liga ambako el clasico tu ndo nzuri
hahahahahahaha, we jamaa wa wapi???ukitoa messi,ronaldo,neymar kuna wachezaj gan wa ajabu la liga?
ukitoa messi,ronaldo,neymar kuna wachezaj gan wa ajabu la liga?
sasa iweje ujaze wachezaj wa la liga ambao hawawazid chochote wa epl?wa EPL wa ajabu ni wapi
wa wapi ndo mchezaj gani dada?hahahahahahaha, we jamaa wa wapi???
kwahyo La liga nzima umewaona Messi, ronaldo na Neymar tu we pimbi?wa wapi ndo mchezaj gani dada?
Duh we jamaa haya si maajabu mengine ya dunia kweli!!matic nafasi ya modric,koscielny,kompany nafas ya ramos,chagua mwenyewe ozil utamuweka namba gani
ligi haibebi kombe,timu ndiyo inabeba kombe,mashindano ya mtoano ni tofauti na ligiTusibishane kwa maneno matupu kwani kila mtu anajua kuongea
Tuangalie takwim tokea mwaka 2000 hadi 2015
Ni ligi ipi timu zao zimechukua Champion league mara nyingi
Ni ligi ipi imetoa mchezaji bora wa dunia mara nyingi
Ni ligi ipi kati ya hizo imebeba kombe la Uropa league mara nyingi
Ni ligi ipi kati ya hizo imebeba kombe la super cup mara nyingi
Ni nchi ipi kati ya hizo imechukua kombe la dunia na euro
hapo tutakata mzizi wa fitina
Huyo jamaa ana mapenzi ya ajabu sana!!hahahahahahaha, we jamaa wa wapi???
Hilo nalo neno..!Kwahiyo logic yako ni kwamba EPL hawanyanyui UEFA Cup kwasababu wanaonewa? Teh teh teh embu taja timu ya uingereza kwa sasa unayoiona wewe inastahili kubeba UEFA cup
Suarez,Nolito,Bale,Benzema,Iniesta,Ramos,Marcelo,Alves,Turan,Vidal,Serg roberto,asee ni wengi mno bado sijataja makipaukitoa messi,ronaldo,neymar kuna wachezaj gan wa ajabu la liga?