Fuatilia komments zake nyingi masuala ya kisheria kuhusu wachezaji wanaohusishwa na migogoro ya Utopolo utajua namaanisha nini.Kwamba yeye ndo alitakiwa kumlipa au yeye kushauri.. kazi ya mwanasheria ni kutoa ushauri lkn maboss wanauwezo wa kufuata mitazamo yao..
Well saidπ€Kwamba yeye ndo alitakiwa kumlipa au yeye kushauri.. kazi ya mwanasheria ni kutoa ushauri lkn maboss wanauwezo wa kufuata mitazamo yao..
Bado wanadai na lile goli Lao Vs Mamelod?. Timu INA vituko hii wakati haishiriki Makombe ya CAF ilikuwa na kazi ya kupokea wapinzani WA SimbaππYanga wanajina baya huko Fifa
Huyu sio msonsli origino.Kachangia na kabila moja la Dodoma ndio maana mgumu kwenye haki za watu.Mpaka atishiwe ndio anashika adabu.Msomali anataka kuleta ujeuri wa kisomali kwenye haki ya mtu? Huyo wtakuwa ni mzigua siyo Msomali.
Msomali orijino ni mtenda haki.
Mwanasheria anaandika mkataba hajui tofauti ya buyer na seller unategemea nini?You are expecting too much from that novice.Niliwahi kusema na leo narudia kena kwamba idara ya sheria ya Yanga inacheza chini ya kiwango. Wanachojua ni kuita press alaf wanaeleza utopolo. Angalia idara ya sheria ya Simba yani hata mkuu wa idara humfahamu. Lkn huyu wa Yanga anashinda kesi za kina Magoma lkn ukienda internationalwise ambako ndio kuna kesi za maana ni mdogo sana.
Na wakati mwingine labda anafikiri kuwa mwanasheria ni kusimama mahakamani. Wakati kazi yake inapaswa kuanza kwa kutoa ushauri wa kisheria ili wasifike huko mahakamani.
Haiwezekani kila mchezaji akipeleka kesi nyie mnashindwa tu
Kwa hiki ulichoandika basi yanga kuna shida,Kwamba yeye ndo alitakiwa kumlipa au yeye kushauri.. kazi ya mwanasheria ni kutoa ushauri lkn maboss wanauwezo wa kufuata mitazamo yao..
π€£π€£Naamini wanajua kuwa alitakiwa kumlipa Okra baada ya kumuacha.......dawa deni kulipa acha walipa tuuu
πππInawezekana pana mtu ananufaika na hizi faini wanazolipa mambo ya Afrika magumu sana..
Shida ya ni kwamba kufanya mambo ya kufurahisha fans na media attention..Hizi timu za Kkoo, hasa Uto, mbona zinatabia ya kujiaibusha sana, Hela ndogo to hiyo mpka mtangazwe kwenye magazeti Habari kutoka fifa. TFF inabidi wawe wakari sana, otherwise itaanza kueleta ukakasi, wachezaji wa nje wataanza kuiweka League ya bongo kama last option, yaani mtu akikosa Kwa kwenda ndio atakuja bongo. Haya Matatizo yamekuwa yanajirudia rudia sana.
Hawa hawa wala mirungu au?Msomali anataka kuleta ujeuri wa kisomali kwenye haki ya mtu? Huyo wtakuwa ni mzigua siyo Msomali.
Msomali orijino ni mtenda haki.