wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,046
- 2,453
Hii kashfa na dharau za reja reja kwa CEO wetu.Mwanamke akiwa 🌙 hatakiwi kuangalia mpira. Alizuiwa ili kulinda mkebe wake wa kuhidhia watoto usiharibike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kashfa na dharau za reja reja kwa CEO wetu.Mwanamke akiwa 🌙 hatakiwi kuangalia mpira. Alizuiwa ili kulinda mkebe wake wa kuhidhia watoto usiharibike
ni VVIP Mkuu...wewe ni GT?VVP ndio nini mkuu?
Sikieni hili chizi.. Akili zingine Kama hizi zimeozaInabidi tuwazuie mechi zetu za kimataifa
Hivi hii tabia ya kuabudu wahindi na waarabu mtaacha lini?Hii kashfa na dharau za reja reja kwa CEO wetu.
Tofautisha Airport na uwanjani, wanafamilia wanaoongozana na viongozi wa kiserikali huku wakiwa hawana hata hizo kadi kwa nini wasizuiliwe. TIEFUEFU na genge lenu jitafakarini, najua mmetafuta kijisababu baada ya barua yetu kujibiwa chapu na CAF na mkapewa maelekezo yanayohitaji utekelezaji na sio maelezo yakuunga unga Oh mkataba wa GSM usiongelewe na yeyote enzi za kulazimishana zimepitwa na wakatiKwakuwa mashabiki wengi wa Simba ni mbumbumbu ngoja nikuelimishe.
Hata Airport anayepita VIP ni yule tu mwenye diplomatic passport na siyo familia yake.
Muache upuuzi kuabudu wahindi pumbavu kabisa.
View attachment 2040807
yanga mwenye akili ni kikwete na baba yake Manara hao wengine wapo kukamilisha msemo wa LucyIla hii nchi hakuna mashabiki mbumbumbu kama wa utopolo.
Kesi ya Morrison walidanganywa sana,mwaka jana walidanganywa na GSM kuwa wao niabingwa wavimbe,mwaka huu GSM anataka ubingwa wa mchongo amehonga TFF,waamuzi na bodi ya ligi hadi mmeanza figisu za kuzuia viongozi wa Simba.
Mbumbumbu wa utopolo mnashabikia ujinga
HatutishikiNa bado kuna kitu kizito kinakuja kwa babura ........huwezi shinda vita na watu wakubwa
Kama hujui hizi mambo ni vyema uwe unauliza, Ulisha wahi kuona timu yeyote mwenyewe anauza tiketi za VVIP, Zile zipo chini ya TFF na Bodi ya Ligi.AIPORT ni mali ya serikali na kila kitu kinakuwa controlled na serikali ndio maana Job au Kassim anaweza fika pale VVP na watoto wake wamchemko bila kuulizwa maswali yoyote tofauti na kama ingekuwa kampuni binafsi...kukusaidi mechi ya leo ilikuwa chini ya miliki ya Simba na ndio walikuwa na uwezo wa kuamua watu wangapi waingie bure na wangapi walipe zwazwa wewe
Simba ni kubwa kuliko TFF,waulize jana walivyobandua matangazo ya GSM , uzuri Simba wako smart na kila kitu wanafanya kwa kusimamia sheria,huo mkataba wa GSM isije ikatokea tu TFF wakapewa za uso na CAFNa bado kuna kitu kizito kinakuja kwa babura ........huwezi shinda vita na watu wakubwa
mbona Simba mwaka juzi na Jana kimataifa walikuwa wanatangaza wenyewe,ukinunua unapata hadi usafiri kutoka Serena na unashiriki hadi dinner na wachezajiKama hujui hizi mambo ni vyema uwe unauliza, Ulisha wahi kuona timu yeyote mwenyewe anauza tiketi za VVIP, Zile zipo chini ya TFF na Bodi ya Ligi.
Aisee kumbe tunajadili na bumunda, i am sorry.Tofautisha Airport na uwanjani, wanafamilia wanaoongozana na viongozi wa kiserikali huku wakiwa hawana hata hizo kadi kwa nini wasizuiliwe. TIEFUEFU na genge lenu jitafakarini, najua mmetafuta kijisababu baada ya barua yetu kujibiwa chapu na CAF na mkapewa maelekezo yanayohitaji utekelezaji na sio maelezo yakuunga unga Oh mkataba wa GSM usiongelewe na yeyote enzi za kulazimishana zimepitwa na wakati
Mkiitwa mbumbumbu mnakasirika, ile barua ni fake na TFF imeikana jana.Tofautisha Airport na uwanjani, wanafamilia wanaoongozana na viongozi wa kiserikali huku wakiwa hawana hata hizo kadi kwa nini wasizuiliwe. TIEFUEFU na genge lenu jitafakarini, najua mmetafuta kijisababu baada ya barua yetu kujibiwa chapu na CAF na mkapewa maelekezo yanayohitaji utekelezaji na sio maelezo yakuunga unga Oh mkataba wa GSM usiongelewe na yeyote enzi za kulazimishana zimepitwa na wakati
Simba wamekua malalamiko fc.Kwakuwa mashabiki wengi wa Simba ni mbumbumbu ngoja nikuelimishe.
Hata Airport anayepita VIP ni yule tu mwenye diplomatic passport na siyo familia yake.
Muache upuuzi kuabudu wahindi pumbavu kabisa.
View attachment 2040807
Mbona mabango mmeondoaMkiitwa mbumbumbu mnakasirika, ile barua ni fake na TFF imeikana jana.
Simple logic tu CAF ijiingize kwenye upumbavu kama huu hiyo itakuwa ni CUF ya Lipumba.
VVIP ni mali ya TFF na BODI ya Ligi kwenye mechi yeyote ile.mbona Simba mwaka juzi na Jana kimataifa walikuwa wanatangaza wenyewe,ukinunua unapata hadi usafiri kutoka Serena na unashiriki hadi dinner na wachezaji
Anadhani tff ni mali ya gabachori.hilo Dada ni lipumbavu linadhani tff ya baba yake..
safi sana