Figisu figisu za TFF dhidi ya CEO wa SIMBA (Barbra) mechi ya leo zawavua nguo

Figisu figisu za TFF dhidi ya CEO wa SIMBA (Barbra) mechi ya leo zawavua nguo

Na bado kuna kitu kizito kinakuja kwa babura ........huwezi shinda vita na watu wakubwa
 
Kwakuwa mashabiki wengi wa Simba ni mbumbumbu ngoja nikuelimishe.

Hata Airport anayepita VIP ni yule tu mwenye diplomatic passport na siyo familia yake.

Muache upuuzi kuabudu wahindi pumbavu kabisa.

View attachment 2040807
Tofautisha Airport na uwanjani, wanafamilia wanaoongozana na viongozi wa kiserikali huku wakiwa hawana hata hizo kadi kwa nini wasizuiliwe. TIEFUEFU na genge lenu jitafakarini, najua mmetafuta kijisababu baada ya barua yetu kujibiwa chapu na CAF na mkapewa maelekezo yanayohitaji utekelezaji na sio maelezo yakuunga unga Oh mkataba wa GSM usiongelewe na yeyote enzi za kulazimishana zimepitwa na wakati
 
Ila hii nchi hakuna mashabiki mbumbumbu kama wa utopolo.

Kesi ya Morrison walidanganywa sana,mwaka jana walidanganywa na GSM kuwa wao niabingwa wavimbe,mwaka huu GSM anataka ubingwa wa mchongo amehonga TFF,waamuzi na bodi ya ligi hadi mmeanza figisu za kuzuia viongozi wa Simba.
Mbumbumbu wa utopolo mnashabikia ujinga
yanga mwenye akili ni kikwete na baba yake Manara hao wengine wapo kukamilisha msemo wa Lucy
 
AIPORT ni mali ya serikali na kila kitu kinakuwa controlled na serikali ndio maana Job au Kassim anaweza fika pale VVP na watoto wake wamchemko bila kuulizwa maswali yoyote tofauti na kama ingekuwa kampuni binafsi...kukusaidi mechi ya leo ilikuwa chini ya miliki ya Simba na ndio walikuwa na uwezo wa kuamua watu wangapi waingie bure na wangapi walipe zwazwa wewe
Kama hujui hizi mambo ni vyema uwe unauliza, Ulisha wahi kuona timu yeyote mwenyewe anauza tiketi za VVIP, Zile zipo chini ya TFF na Bodi ya Ligi.
 
Na bado kuna kitu kizito kinakuja kwa babura ........huwezi shinda vita na watu wakubwa
Simba ni kubwa kuliko TFF,waulize jana walivyobandua matangazo ya GSM , uzuri Simba wako smart na kila kitu wanafanya kwa kusimamia sheria,huo mkataba wa GSM isije ikatokea tu TFF wakapewa za uso na CAF
 
Kama hujui hizi mambo ni vyema uwe unauliza, Ulisha wahi kuona timu yeyote mwenyewe anauza tiketi za VVIP, Zile zipo chini ya TFF na Bodi ya Ligi.
mbona Simba mwaka juzi na Jana kimataifa walikuwa wanatangaza wenyewe,ukinunua unapata hadi usafiri kutoka Serena na unashiriki hadi dinner na wachezaji
 
Tofautisha Airport na uwanjani, wanafamilia wanaoongozana na viongozi wa kiserikali huku wakiwa hawana hata hizo kadi kwa nini wasizuiliwe. TIEFUEFU na genge lenu jitafakarini, najua mmetafuta kijisababu baada ya barua yetu kujibiwa chapu na CAF na mkapewa maelekezo yanayohitaji utekelezaji na sio maelezo yakuunga unga Oh mkataba wa GSM usiongelewe na yeyote enzi za kulazimishana zimepitwa na wakati
Aisee kumbe tunajadili na bumunda, i am sorry.

Yaan pamoja na u-fake wa moja kwa moja uliojitokeza lkn bado mamlaka husika zikathibitisha kuwa ni fake wewe bado haijatosha wewe unaendelea kuubeba u-fake na kujengea hoja?
 
Tofautisha Airport na uwanjani, wanafamilia wanaoongozana na viongozi wa kiserikali huku wakiwa hawana hata hizo kadi kwa nini wasizuiliwe. TIEFUEFU na genge lenu jitafakarini, najua mmetafuta kijisababu baada ya barua yetu kujibiwa chapu na CAF na mkapewa maelekezo yanayohitaji utekelezaji na sio maelezo yakuunga unga Oh mkataba wa GSM usiongelewe na yeyote enzi za kulazimishana zimepitwa na wakati
Mkiitwa mbumbumbu mnakasirika, ile barua ni fake na TFF imeikana jana.

Simple logic tu CAF ijiingize kwenye upumbavu kama huu hiyo itakuwa ni CUF ya Lipumba.
 
mbona Simba mwaka juzi na Jana kimataifa walikuwa wanatangaza wenyewe,ukinunua unapata hadi usafiri kutoka Serena na unashiriki hadi dinner na wachezaji
VVIP ni mali ya TFF na BODI ya Ligi kwenye mechi yeyote ile.
 
Back
Top Bottom