Figisu Hatimae kufukuzwa kazi

Figisu Hatimae kufukuzwa kazi

Hakikisha hawakujui mimi nina heshima hata mkurugenzi hajui aniulize vip😅😅hii ni special power yaani upo serious kinoma..Mwaka wa tatu sijuani na wati ninao kaa nao ofisi moja.
Hii ndio Siri mkubwa or else unajichimbia kaburi zuri tu and co worker push in it... No team work in private life only in office damn shit 🤣🤣
 
Bila kupoteza wakati maana nina mengi ya kuwaza baada ya hili

Nilikuwa nikiona watu wanao timuliwa kazi ni wazembe na mara nyingine tukikaa vijiweni tunawazungumzia vibaya hawa mara kafukuzwa kazi sababu ya wizi mara alikuwa jeuri sana mambo mengi mabaya tunawazungumzia bila kujari upande wake upo vipi

Leo plus yamenikuta nilikuwa najiona ni mfanyakazi bora kumbe sio nilikuwa nafanya vitu kumfurahisha boss wangu kumbe hajari natumia nguvu zangu nyingi kuinyanyua hii kampuni lakini jitihada zangu hazijafua dafu hatimae leo naondoka nikiwa sijuhi naanzia wapi na naanza na nini nachoshukuru ni kodi ya nyumba nililipa mwaka mzima jambo nalo shukuru sana maan itanisaidia kupunguza msongo wa mawazo ninao anza nao mdaa huu

tukate long story short mikakati ya mimi kuondoka hapa ofisini kwa njia ya figisu ilianza mapema mwaka huu mwezi wa pili kama sikosei kuna deal lilitua ofisini lilikuwa la moto boss akatukabizi hili deal mimi na wafanyakazi wenzangu wa wili jumla watatu ilikuwa ni biashara ya ku export na ku import hili deal tulilimaliza vzr sana lakini kama ujuavyo katika fursa lazima maslahi binafsi yazingatiwe bc hapa ndipo nilipo bugi baada ya kuleta idea kwa wenzangu kwamba hapa tunaweza ongezea na mali zetu binafsi zikaingia kirahisi alfu tutazimbaza kimya kimya baada ya ku discuss ikaonekana ni ngumu ko idea yangu ikafa bila kutendeka kumbe hizi taarifa zimefika kwa boss bila kujua nani kafikisha ila boss aligusia tu aka tulia hakuwai lizungumzia tena mbaka leo napo pewa barua ya kusimamishwa naingia ofisini baada ya mapumziko ya sikuku za eid naitwa kwa boss naambiwa kuna mfanyakazi atakuja leo kwenye ofisi yako mpe maelekezo ya muhimu ya kiutendaji then uje ofisini.

nimekuja kwenu wana jukwa nikiamini nyie mnasuruhisho kwa sasa nifanye nini kama mpango wa kuingiza bidhaa zangu kupitia mgongo wa ofisi ni kweli nakili nilifanya kosa nasioni kufanya kosa moja na faa kuitwa shetani na hata boss nilishwai ongea nae private jambo hili nili kosa tulifix
pole unanikumbusha tar 6/12/2022 nipo kampuni flan kubwa sana hapa bongo na mmiliki wake ni muhindi anakaa mitaa ya masaki(buzurugwa) karibia na ubalozi flan wa nchi ya africa nilifukuzwa kazi hata sikutegemea ambapo mm ndio niliekuw nasifiwa ktk kujali muda na utiifu ktk maswala flan hv na bado kampuni ile ikanitapeli pesa zangu.

hadi na leo ninavyoongea sijapata kazi nipo tu japo Alhamdulillah tunakaza hivyo hvyo ila usichoke mkuu shukur Mungu kwa yote hakika ipo siku Mungu atakujalia sehem tulivu ila cha kuongezea..........

TUKIWA MAKAZINI TUJITAHID TUFANYE KAZI KWA BIDII TAMAA NDIO CHANZO CHA WATU WENGI KUPOTEZA AJIRA ZAO UKIWA KAZINI TAMBUA HAKUNA RAFIK WA KWEL USIJE KUMUAMIN MTU USHIRIKIANE NAE KTK DILI[emoji724]
 
Sasa hata kama ndo hivyo kashafukuzwa kazi unadhani kipi kifanyike? Ajiue au?,hata kama huna kitu hard times zikifika lazima ukubaliane nazo
Watu hua mnaongea kirahisi.

What if mleta uzi kazi yake ni zile zetu za anatarajia mahitaji yote yalipwe na mshahara?
 
Bila kupoteza wakati maana nina mengi ya kuwaza baada ya hili

Nilikuwa nikiona watu wanao timuliwa kazi ni wazembe na mara nyingine tukikaa vijiweni tunawazungumzia vibaya hawa mara kafukuzwa kazi sababu ya wizi mara alikuwa jeuri sana mambo mengi mabaya tunawazungumzia bila kujari upande wake upo vipi

Leo plus yamenikuta nilikuwa najiona ni mfanyakazi bora kumbe sio nilikuwa nafanya vitu kumfurahisha boss wangu kumbe hajari natumia nguvu zangu nyingi kuinyanyua hii kampuni lakini jitihada zangu hazijafua dafu hatimae leo naondoka nikiwa sijuhi naanzia wapi na naanza na nini nachoshukuru ni kodi ya nyumba nililipa mwaka mzima jambo nalo shukuru sana maan itanisaidia kupunguza msongo wa mawazo ninao anza nao mdaa huu

tukate long story short mikakati ya mimi kuondoka hapa ofisini kwa njia ya figisu ilianza mapema mwaka huu mwezi wa pili kama sikosei kuna deal lilitua ofisini lilikuwa la moto boss akatukabizi hili deal mimi na wafanyakazi wenzangu wa wili jumla watatu ilikuwa ni biashara ya ku export na ku import hili deal tulilimaliza vzr sana lakini kama ujuavyo katika fursa lazima maslahi binafsi yazingatiwe bc hapa ndipo nilipo bugi baada ya kuleta idea kwa wenzangu kwamba hapa tunaweza ongezea na mali zetu binafsi zikaingia kirahisi alfu tutazimbaza kimya kimya baada ya ku discuss ikaonekana ni ngumu ko idea yangu ikafa bila kutendeka kumbe hizi taarifa zimefika kwa boss bila kujua nani kafikisha ila boss aligusia tu aka tulia hakuwai lizungumzia tena mbaka leo napo pewa barua ya kusimamishwa naingia ofisini baada ya mapumziko ya sikuku za eid naitwa kwa boss naambiwa kuna mfanyakazi atakuja leo kwenye ofisi yako mpe maelekezo ya muhimu ya kiutendaji then uje ofisini.

nimekuja kwenu wana jukwa nikiamini nyie mnasuruhisho kwa sasa nifanye nini kama mpango wa kuingiza bidhaa zangu kupitia mgongo wa ofisi ni kweli nakili nilifanya kosa nasioni kufanya kosa moja na faa kuitwa shetani na hata boss nilishwai ongea nae private jambo hili nili kosa tulifix
Tafuta mwanasheria fungua kesi ya unfair termination. Utalipwa hela za kutosha
 
Niliwahi kufukuzwa kwenye kampuni moja nikiwa kama salesman baada ya miaka saba ya kuipigania kampuni katika hali na mali nikikabidhiwa piki piki tu kufanya shughuli zangu.......

Nilikuwa nafanya mauzo makubwa makubwa kwa faida ya kampuni kwa malipo kiduchu Sana........

Mwisho wa siku nikapewa barua ya kufukuzwa kazi kama kibaka..........

Iliniuma sana lakini nikapiga moyo konde........

Wateja wakawa bado wananitafuta kutoa oda zao.....nikawaa nakwambia ukweli......kutokana na uaminifu wangu na uchapakazi baadhi ya wateja walisikitika sana na baadhi Yao wakanipa kazi ya kuwakusanyia mizigo Yao wakija kufunga mzigo huku mjini.......wananiwekea pesa kwenye akaunti yangu na mimi nazunguka kuwatafutia bidhaa na kuwapelekea kwa transporter wao......

Nashukuru Mungu mpaka leo naishi vizuri bila kero wala bughudha na muda mwingi niko free na napata pesa mara kumi ya ule mshahara wangu nikiwa nimeajiriwa.........

Rai yangu ni kwamba kila changamoto ni mlango wa mafanikio, kaza moyo endelea na harakati za maisha, huzuni na majuto vinakufanya usione mlango uliowazi mbele yako.......
Faida ya uaminifu
 
Fanya kama insider kama una akiba kidogo Anza Uber au fungua duka Anza kuuza kama huna akiba tuliza kichwa wakumbuke watu wako wa karibu uone watakusaidia vipi
 
Pole Sana Ila katika safari yako ya MAISHA zingatia uaminifu


Embrace HONEST faida zake huwa ni kubwa Sana .

Our certainty is in faith ,
Uhakika wa MAISHA yetu upo Katika imani na sio ktk kazi au WATU.

Shukuru kwa kila jambo na uanze kufatilia kazi mpya. na utapata.

Then ukipata kazi yoyote don't get complacent (usiridhike)

Kuwa MTU wa kujiboresha katika Eneo la kazi kuna kipindi utakuwa hautafuti fursa Ila fursa zitakuwa zinakutafuta.


Keep knocking more doors. And God bless you.
 
Bila kupoteza wakati maana nina mengi ya kuwaza baada ya hili

Nilikuwa nikiona watu wanao timuliwa kazi ni wazembe na mara nyingine tukikaa vijiweni tunawazungumzia vibaya hawa mara kafukuzwa kazi sababu ya wizi mara alikuwa jeuri sana mambo mengi mabaya tunawazungumzia bila kujari upande wake upo vipi

Leo plus yamenikuta nilikuwa najiona ni mfanyakazi bora kumbe sio nilikuwa nafanya vitu kumfurahisha boss wangu kumbe hajari natumia nguvu zangu nyingi kuinyanyua hii kampuni lakini jitihada zangu hazijafua dafu hatimae leo naondoka nikiwa sijuhi naanzia wapi na naanza na nini nachoshukuru ni kodi ya nyumba nililipa mwaka mzima jambo nalo shukuru sana maan itanisaidia kupunguza msongo wa mawazo ninao anza nao mdaa huu

tukate long story short mikakati ya mimi kuondoka hapa ofisini kwa njia ya figisu ilianza mapema mwaka huu mwezi wa pili kama sikosei kuna deal lilitua ofisini lilikuwa la moto boss akatukabizi hili deal mimi na wafanyakazi wenzangu wa wili jumla watatu ilikuwa ni biashara ya ku export na ku import hili deal tulilimaliza vzr sana lakini kama ujuavyo katika fursa lazima maslahi binafsi yazingatiwe bc hapa ndipo nilipo bugi baada ya kuleta idea kwa wenzangu kwamba hapa tunaweza ongezea na mali zetu binafsi zikaingia kirahisi alfu tutazimbaza kimya kimya baada ya ku discuss ikaonekana ni ngumu ko idea yangu ikafa bila kutendeka kumbe hizi taarifa zimefika kwa boss bila kujua nani kafikisha ila boss aligusia tu aka tulia hakuwai lizungumzia tena mbaka leo napo pewa barua ya kusimamishwa naingia ofisini baada ya mapumziko ya sikuku za eid naitwa kwa boss naambiwa kuna mfanyakazi atakuja leo kwenye ofisi yako mpe maelekezo ya muhimu ya kiutendaji then uje ofisini.

nimekuja kwenu wana jukwa nikiamini nyie mnasuruhisho kwa sasa nifanye nini kama mpango wa kuingiza bidhaa zangu kupitia mgongo wa ofisi ni kweli nakili nilifanya kosa nasioni kufanya kosa moja na faa kuitwa shetani na hata boss nilishwai ongea nae private jambo hili nili kosa tulifix
Mkuu karbu kwenye ulimwengu wa kujiajiri , huku unatakiwa uwe na roho ngumu kidog
 
Bila kupoteza wakati maana nina mengi ya kuwaza baada ya hili

Nilikuwa nikiona watu wanao timuliwa kazi ni wazembe na mara nyingine tukikaa vijiweni tunawazungumzia vibaya hawa mara kafukuzwa kazi sababu ya wizi mara alikuwa jeuri sana mambo mengi mabaya tunawazungumzia bila kujari upande wake upo vipi

Leo plus yamenikuta nilikuwa najiona ni mfanyakazi bora kumbe sio nilikuwa nafanya vitu kumfurahisha boss wangu kumbe hajari natumia nguvu zangu nyingi kuinyanyua hii kampuni lakini jitihada zangu hazijafua dafu hatimae leo naondoka nikiwa sijuhi naanzia wapi na naanza na nini nachoshukuru ni kodi ya nyumba nililipa mwaka mzima jambo nalo shukuru sana maan itanisaidia kupunguza msongo wa mawazo ninao anza nao mdaa huu

tukate long story short mikakati ya mimi kuondoka hapa ofisini kwa njia ya figisu ilianza mapema mwaka huu mwezi wa pili kama sikosei kuna deal lilitua ofisini lilikuwa la moto boss akatukabizi hili deal mimi na wafanyakazi wenzangu wa wili jumla watatu ilikuwa ni biashara ya ku export na ku import hili deal tulilimaliza vzr sana lakini kama ujuavyo katika fursa lazima maslahi binafsi yazingatiwe bc hapa ndipo nilipo bugi baada ya kuleta idea kwa wenzangu kwamba hapa tunaweza ongezea na mali zetu binafsi zikaingia kirahisi alfu tutazimbaza kimya kimya baada ya ku discuss ikaonekana ni ngumu ko idea yangu ikafa bila kutendeka kumbe hizi taarifa zimefika kwa boss bila kujua nani kafikisha ila boss aligusia tu aka tulia hakuwai lizungumzia tena mbaka leo napo pewa barua ya kusimamishwa naingia ofisini baada ya mapumziko ya sikuku za eid naitwa kwa boss naambiwa kuna mfanyakazi atakuja leo kwenye ofisi yako mpe maelekezo ya muhimu ya kiutendaji then uje ofisini.

nimekuja kwenu wana jukwa nikiamini nyie mnasuruhisho kwa sasa nifanye nini kama mpango wa kuingiza bidhaa zangu kupitia mgongo wa ofisi ni kweli nakili nilifanya kosa nasioni kufanya kosa moja na faa kuitwa shetani na hata boss nilishwai ongea nae private jambo hili nili kosa tulifix
Maofisini huwa tunaishi kinafki sana!!!
Tuongeze umakini!!!
 
Faida ya uaminifu
Uaminifu ni kitu kikubwa sana hasa kwenye nyakati hizi za tamaa.......

Imagine oda da ya kwanza nakuta mtu ameniwekea milioni kumi kwenye akaunti yangu....mtu hata kwa sura hatujuani zaidi ya simu tu

Siku ile nilikuwa nawaza siku nzima.......

Uaminifu ni kitu kikubwa sana.......

Sina wateja wengi lakini wateja wangu hawa watano wananifanya naishi kwa raha na starehe.....kila oda Yao moja faida yake inanitosha kuishi zaidi ya miezi miwili bila kazi..........


UAMINIFU NI MTAJI.......
 
Kama umekuwa terminated twenzetu CMA tukamkomoe boss Mkuu. Huwezi fukuzwa kazi kienyeji ivyo.
 
Uaminifu ni kitu kikubwa sana hasa kwenye nyakati hizi za tamaa.......

Imagine oda da ya kwanza nakuta mtu ameniwekea milioni kumi kwenye akaunti yangu....mtu hata kwa sura hatujuani zaidi ya simu tu

Siku ile nilikuwa nawaza siku nzima.......

Uaminifu ni kitu kikubwa sana.......

Sina wateja wengi lakini wateja wangu hawa watano wananifanya naishi kwa raha na starehe.....kila oda Yao moja faida yake inanitosha kuishi zaidi ya miezi miwili bila kazi..........


UAMINIFU NI MTAJI.......
Angekuwa mwingine angewaza kukimbia nazo kumbe kuna maisha mazuri unajiharibia.
 
Back
Top Bottom