Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio Siri mkubwa or else unajichimbia kaburi zuri tu and co worker push in it... No team work in private life only in office damn shit 🤣🤣Hakikisha hawakujui mimi nina heshima hata mkurugenzi hajui aniulize vip😅😅hii ni special power yaani upo serious kinoma..Mwaka wa tatu sijuani na wati ninao kaa nao ofisi moja.
nimekuwa replaced
WAsukuma watoe kwenye hii list,ongeza wahaKama deal ulifanya na mhaya,jaluo au msukuma hapa Sina Cha kukushauri mkuu...hustle tu upate mishe nyingine
pole unanikumbusha tar 6/12/2022 nipo kampuni flan kubwa sana hapa bongo na mmiliki wake ni muhindi anakaa mitaa ya masaki(buzurugwa) karibia na ubalozi flan wa nchi ya africa nilifukuzwa kazi hata sikutegemea ambapo mm ndio niliekuw nasifiwa ktk kujali muda na utiifu ktk maswala flan hv na bado kampuni ile ikanitapeli pesa zangu.Bila kupoteza wakati maana nina mengi ya kuwaza baada ya hili
Nilikuwa nikiona watu wanao timuliwa kazi ni wazembe na mara nyingine tukikaa vijiweni tunawazungumzia vibaya hawa mara kafukuzwa kazi sababu ya wizi mara alikuwa jeuri sana mambo mengi mabaya tunawazungumzia bila kujari upande wake upo vipi
Leo plus yamenikuta nilikuwa najiona ni mfanyakazi bora kumbe sio nilikuwa nafanya vitu kumfurahisha boss wangu kumbe hajari natumia nguvu zangu nyingi kuinyanyua hii kampuni lakini jitihada zangu hazijafua dafu hatimae leo naondoka nikiwa sijuhi naanzia wapi na naanza na nini nachoshukuru ni kodi ya nyumba nililipa mwaka mzima jambo nalo shukuru sana maan itanisaidia kupunguza msongo wa mawazo ninao anza nao mdaa huu
tukate long story short mikakati ya mimi kuondoka hapa ofisini kwa njia ya figisu ilianza mapema mwaka huu mwezi wa pili kama sikosei kuna deal lilitua ofisini lilikuwa la moto boss akatukabizi hili deal mimi na wafanyakazi wenzangu wa wili jumla watatu ilikuwa ni biashara ya ku export na ku import hili deal tulilimaliza vzr sana lakini kama ujuavyo katika fursa lazima maslahi binafsi yazingatiwe bc hapa ndipo nilipo bugi baada ya kuleta idea kwa wenzangu kwamba hapa tunaweza ongezea na mali zetu binafsi zikaingia kirahisi alfu tutazimbaza kimya kimya baada ya ku discuss ikaonekana ni ngumu ko idea yangu ikafa bila kutendeka kumbe hizi taarifa zimefika kwa boss bila kujua nani kafikisha ila boss aligusia tu aka tulia hakuwai lizungumzia tena mbaka leo napo pewa barua ya kusimamishwa naingia ofisini baada ya mapumziko ya sikuku za eid naitwa kwa boss naambiwa kuna mfanyakazi atakuja leo kwenye ofisi yako mpe maelekezo ya muhimu ya kiutendaji then uje ofisini.
nimekuja kwenu wana jukwa nikiamini nyie mnasuruhisho kwa sasa nifanye nini kama mpango wa kuingiza bidhaa zangu kupitia mgongo wa ofisi ni kweli nakili nilifanya kosa nasioni kufanya kosa moja na faa kuitwa shetani na hata boss nilishwai ongea nae private jambo hili nili kosa tulifix
Watu hua mnaongea kirahisi.
What if mleta uzi kazi yake ni zile zetu za anatarajia mahitaji yote yalipwe na mshahara?
Tafuta mwanasheria fungua kesi ya unfair termination. Utalipwa hela za kutoshaBila kupoteza wakati maana nina mengi ya kuwaza baada ya hili
Nilikuwa nikiona watu wanao timuliwa kazi ni wazembe na mara nyingine tukikaa vijiweni tunawazungumzia vibaya hawa mara kafukuzwa kazi sababu ya wizi mara alikuwa jeuri sana mambo mengi mabaya tunawazungumzia bila kujari upande wake upo vipi
Leo plus yamenikuta nilikuwa najiona ni mfanyakazi bora kumbe sio nilikuwa nafanya vitu kumfurahisha boss wangu kumbe hajari natumia nguvu zangu nyingi kuinyanyua hii kampuni lakini jitihada zangu hazijafua dafu hatimae leo naondoka nikiwa sijuhi naanzia wapi na naanza na nini nachoshukuru ni kodi ya nyumba nililipa mwaka mzima jambo nalo shukuru sana maan itanisaidia kupunguza msongo wa mawazo ninao anza nao mdaa huu
tukate long story short mikakati ya mimi kuondoka hapa ofisini kwa njia ya figisu ilianza mapema mwaka huu mwezi wa pili kama sikosei kuna deal lilitua ofisini lilikuwa la moto boss akatukabizi hili deal mimi na wafanyakazi wenzangu wa wili jumla watatu ilikuwa ni biashara ya ku export na ku import hili deal tulilimaliza vzr sana lakini kama ujuavyo katika fursa lazima maslahi binafsi yazingatiwe bc hapa ndipo nilipo bugi baada ya kuleta idea kwa wenzangu kwamba hapa tunaweza ongezea na mali zetu binafsi zikaingia kirahisi alfu tutazimbaza kimya kimya baada ya ku discuss ikaonekana ni ngumu ko idea yangu ikafa bila kutendeka kumbe hizi taarifa zimefika kwa boss bila kujua nani kafikisha ila boss aligusia tu aka tulia hakuwai lizungumzia tena mbaka leo napo pewa barua ya kusimamishwa naingia ofisini baada ya mapumziko ya sikuku za eid naitwa kwa boss naambiwa kuna mfanyakazi atakuja leo kwenye ofisi yako mpe maelekezo ya muhimu ya kiutendaji then uje ofisini.
nimekuja kwenu wana jukwa nikiamini nyie mnasuruhisho kwa sasa nifanye nini kama mpango wa kuingiza bidhaa zangu kupitia mgongo wa ofisi ni kweli nakili nilifanya kosa nasioni kufanya kosa moja na faa kuitwa shetani na hata boss nilishwai ongea nae private jambo hili nili kosa tulifix
Faida ya uaminifuNiliwahi kufukuzwa kwenye kampuni moja nikiwa kama salesman baada ya miaka saba ya kuipigania kampuni katika hali na mali nikikabidhiwa piki piki tu kufanya shughuli zangu.......
Nilikuwa nafanya mauzo makubwa makubwa kwa faida ya kampuni kwa malipo kiduchu Sana........
Mwisho wa siku nikapewa barua ya kufukuzwa kazi kama kibaka..........
Iliniuma sana lakini nikapiga moyo konde........
Wateja wakawa bado wananitafuta kutoa oda zao.....nikawaa nakwambia ukweli......kutokana na uaminifu wangu na uchapakazi baadhi ya wateja walisikitika sana na baadhi Yao wakanipa kazi ya kuwakusanyia mizigo Yao wakija kufunga mzigo huku mjini.......wananiwekea pesa kwenye akaunti yangu na mimi nazunguka kuwatafutia bidhaa na kuwapelekea kwa transporter wao......
Nashukuru Mungu mpaka leo naishi vizuri bila kero wala bughudha na muda mwingi niko free na napata pesa mara kumi ya ule mshahara wangu nikiwa nimeajiriwa.........
Rai yangu ni kwamba kila changamoto ni mlango wa mafanikio, kaza moyo endelea na harakati za maisha, huzuni na majuto vinakufanya usione mlango uliowazi mbele yako.......
Mkuu karbu kwenye ulimwengu wa kujiajiri , huku unatakiwa uwe na roho ngumu kidogBila kupoteza wakati maana nina mengi ya kuwaza baada ya hili
Nilikuwa nikiona watu wanao timuliwa kazi ni wazembe na mara nyingine tukikaa vijiweni tunawazungumzia vibaya hawa mara kafukuzwa kazi sababu ya wizi mara alikuwa jeuri sana mambo mengi mabaya tunawazungumzia bila kujari upande wake upo vipi
Leo plus yamenikuta nilikuwa najiona ni mfanyakazi bora kumbe sio nilikuwa nafanya vitu kumfurahisha boss wangu kumbe hajari natumia nguvu zangu nyingi kuinyanyua hii kampuni lakini jitihada zangu hazijafua dafu hatimae leo naondoka nikiwa sijuhi naanzia wapi na naanza na nini nachoshukuru ni kodi ya nyumba nililipa mwaka mzima jambo nalo shukuru sana maan itanisaidia kupunguza msongo wa mawazo ninao anza nao mdaa huu
tukate long story short mikakati ya mimi kuondoka hapa ofisini kwa njia ya figisu ilianza mapema mwaka huu mwezi wa pili kama sikosei kuna deal lilitua ofisini lilikuwa la moto boss akatukabizi hili deal mimi na wafanyakazi wenzangu wa wili jumla watatu ilikuwa ni biashara ya ku export na ku import hili deal tulilimaliza vzr sana lakini kama ujuavyo katika fursa lazima maslahi binafsi yazingatiwe bc hapa ndipo nilipo bugi baada ya kuleta idea kwa wenzangu kwamba hapa tunaweza ongezea na mali zetu binafsi zikaingia kirahisi alfu tutazimbaza kimya kimya baada ya ku discuss ikaonekana ni ngumu ko idea yangu ikafa bila kutendeka kumbe hizi taarifa zimefika kwa boss bila kujua nani kafikisha ila boss aligusia tu aka tulia hakuwai lizungumzia tena mbaka leo napo pewa barua ya kusimamishwa naingia ofisini baada ya mapumziko ya sikuku za eid naitwa kwa boss naambiwa kuna mfanyakazi atakuja leo kwenye ofisi yako mpe maelekezo ya muhimu ya kiutendaji then uje ofisini.
nimekuja kwenu wana jukwa nikiamini nyie mnasuruhisho kwa sasa nifanye nini kama mpango wa kuingiza bidhaa zangu kupitia mgongo wa ofisi ni kweli nakili nilifanya kosa nasioni kufanya kosa moja na faa kuitwa shetani na hata boss nilishwai ongea nae private jambo hili nili kosa tulifix
Maofisini huwa tunaishi kinafki sana!!!Bila kupoteza wakati maana nina mengi ya kuwaza baada ya hili
Nilikuwa nikiona watu wanao timuliwa kazi ni wazembe na mara nyingine tukikaa vijiweni tunawazungumzia vibaya hawa mara kafukuzwa kazi sababu ya wizi mara alikuwa jeuri sana mambo mengi mabaya tunawazungumzia bila kujari upande wake upo vipi
Leo plus yamenikuta nilikuwa najiona ni mfanyakazi bora kumbe sio nilikuwa nafanya vitu kumfurahisha boss wangu kumbe hajari natumia nguvu zangu nyingi kuinyanyua hii kampuni lakini jitihada zangu hazijafua dafu hatimae leo naondoka nikiwa sijuhi naanzia wapi na naanza na nini nachoshukuru ni kodi ya nyumba nililipa mwaka mzima jambo nalo shukuru sana maan itanisaidia kupunguza msongo wa mawazo ninao anza nao mdaa huu
tukate long story short mikakati ya mimi kuondoka hapa ofisini kwa njia ya figisu ilianza mapema mwaka huu mwezi wa pili kama sikosei kuna deal lilitua ofisini lilikuwa la moto boss akatukabizi hili deal mimi na wafanyakazi wenzangu wa wili jumla watatu ilikuwa ni biashara ya ku export na ku import hili deal tulilimaliza vzr sana lakini kama ujuavyo katika fursa lazima maslahi binafsi yazingatiwe bc hapa ndipo nilipo bugi baada ya kuleta idea kwa wenzangu kwamba hapa tunaweza ongezea na mali zetu binafsi zikaingia kirahisi alfu tutazimbaza kimya kimya baada ya ku discuss ikaonekana ni ngumu ko idea yangu ikafa bila kutendeka kumbe hizi taarifa zimefika kwa boss bila kujua nani kafikisha ila boss aligusia tu aka tulia hakuwai lizungumzia tena mbaka leo napo pewa barua ya kusimamishwa naingia ofisini baada ya mapumziko ya sikuku za eid naitwa kwa boss naambiwa kuna mfanyakazi atakuja leo kwenye ofisi yako mpe maelekezo ya muhimu ya kiutendaji then uje ofisini.
nimekuja kwenu wana jukwa nikiamini nyie mnasuruhisho kwa sasa nifanye nini kama mpango wa kuingiza bidhaa zangu kupitia mgongo wa ofisi ni kweli nakili nilifanya kosa nasioni kufanya kosa moja na faa kuitwa shetani na hata boss nilishwai ongea nae private jambo hili nili kosa tulifix
Uaminifu ni kitu kikubwa sana hasa kwenye nyakati hizi za tamaa.......Faida ya uaminifu
Angekuwa mwingine angewaza kukimbia nazo kumbe kuna maisha mazuri unajiharibia.Uaminifu ni kitu kikubwa sana hasa kwenye nyakati hizi za tamaa.......
Imagine oda da ya kwanza nakuta mtu ameniwekea milioni kumi kwenye akaunti yangu....mtu hata kwa sura hatujuani zaidi ya simu tu
Siku ile nilikuwa nawaza siku nzima.......
Uaminifu ni kitu kikubwa sana.......
Sina wateja wengi lakini wateja wangu hawa watano wananifanya naishi kwa raha na starehe.....kila oda Yao moja faida yake inanitosha kuishi zaidi ya miezi miwili bila kazi..........
UAMINIFU NI MTAJI.......