Figisu Hatimae kufukuzwa kazi

Figisu Hatimae kufukuzwa kazi

Niliwahi kufukuzwa kwenye kampuni moja nikiwa kama salesman baada ya miaka saba ya kuipigania kampuni katika hali na mali nikikabidhiwa piki piki tu kufanya shughuli zangu.......

Nilikuwa nafanya mauzo makubwa makubwa kwa faida ya kampuni kwa malipo kiduchu Sana........

Mwisho wa siku nikapewa barua ya kufukuzwa kazi kama kibaka..........

Iliniuma sana lakini nikapiga moyo konde.

Rai yangu ni kwamba kila changamoto ni mlango wa mafanikio, kaza moyo endelea na harakati za maisha, huzuni na majuto vinakufanya usione mlango uliowazi mbele yako.......
🙏🙏🙏
 
Bila kupoteza wakati maana nina mengi ya kuwaza baada ya hili

Nilikuwa nikiona watu wanao timuliwa kazi ni wazembe na mara nyingine tukikaa vijiweni tunawazungumzia vibaya hawa mara kafukuzwa kazi sababu ya wizi mara alikuwa jeuri sana mambo mengi mabaya tunawazungumzia bila kujari upande wake upo vipi

Leo plus yamenikuta nilikuwa najiona ni mfanyakazi bora kumbe sio nilikuwa nafanya vitu kumfurahisha boss wangu kumbe hajari natumia nguvu zangu nyingi kuinyanyua hii kampuni lakini jitihada zangu hazijafua dafu hatimae leo naondoka nikiwa sijuhi naanzia wapi na naanza na nini nachoshukuru ni kodi ya nyumba nililipa mwaka mzima jambo nalo shukuru sana maan itanisaidia kupunguza msongo wa mawazo ninao anza nao mdaa huu

tukate long story short mikakati ya mimi kuondoka hapa ofisini kwa njia ya figisu ilianza mapema mwaka huu mwezi wa pili kama sikosei kuna deal lilitua ofisini lilikuwa la moto boss akatukabizi hili deal mimi na wafanyakazi wenzangu wa wili jumla watatu ilikuwa ni biashara ya ku export na ku import hili deal tulilimaliza vzr sana lakini kama ujuavyo katika fursa lazima maslahi binafsi yazingatiwe bc hapa ndipo nilipo bugi baada ya kuleta idea kwa wenzangu kwamba hapa tunaweza ongezea na mali zetu binafsi zikaingia kirahisi alfu tutazimbaza kimya kimya baada ya ku discuss ikaonekana ni ngumu ko idea yangu ikafa bila kutendeka kumbe hizi taarifa zimefika kwa boss bila kujua nani kafikisha ila boss aligusia tu aka tulia hakuwai lizungumzia tena mbaka leo napo pewa barua ya kusimamishwa naingia ofisini baada ya mapumziko ya sikuku za eid naitwa kwa boss naambiwa kuna mfanyakazi atakuja leo kwenye ofisi yako mpe maelekezo ya muhimu ya kiutendaji then uje ofisini.

nimekuja kwenu wana jukwa nikiamini nyie mnasuruhisho kwa sasa nifanye nini kama mpango wa kuingiza bidhaa zangu kupitia mgongo wa ofisi ni kweli nakili nilifanya kosa nasioni kufanya kosa moja na faa kuitwa shetani na hata boss nilishwai ongea nae private jambo hili nili kosa tulifix
Pole.... Punguza tabia za kike mkuu, acha tabia za kukaa na wanawake kuwateta wanaume wenzio, kumbuka mwanamke hawezi kuchimba kaburi
 
Minaona unastahili kufukuzwa mkuu, maana mwenye ofisi yake alitumia muda mwingi na gharama kubwa kuifikisha kampuni yake hapo ilipo then wewe unakuja kuleta michongo ya hovyo ya kuihujumu kamuni.... hili ni kosa na wewe ni kama msaliti.
Lakini kwa upande mwingine uongozi wa kampuni umekufukuza kihuni maana ilitakiwa upewe notice kwamba nafasi yako inafutwa kwahivyo ulipaswa upewe mwezi mmoja (28days) za ufahamu na kisha baada ya hapo walipaswa wakulipe malipo stahiki kama mkataba wenu ulivyo elekeza.
Lakini pia sheria ya kazi ilimtaka mwenye kampuni yenu asilete mtu wa kuireplace nafasi yako nadhani walau ingekaa wazi kwa muda wa miezi sita. Kama hivyo ndivyo basi unaweza ukawapeleka kwenye mahakama ya kazi ili mkapate suluhisho ama mkishindwana kabisa mnaingia kwenye mgogoro.
 
Minaona unastahili kufukuzwa mkuu, maana mwenye ofisi yake alitumia muda mwingi na gharama kubwa kuifikisha kampuni yake hapo ilipo then wewe unakuja kuleta michongo ya hovyo ya kuihujumu kamuni.... hili ni kosa na wewe ni kama msaliti.
Lakini kwa upande mwingine uongozi wa kampuni umekufukuza kihuni maana ilitakiwa upewe notice kwamba nafasi yako inafutwa kwahivyo ulipaswa upewe mwezi mmoja (28days) za ufahamu na kisha baada ya hapo walipaswa wakulipe malipo stahiki kama mkataba wenu ulivyo elekeza.
Lakini pia sheria ya kazi ilimtaka mwenye kampuni yenu asilete mtu wa kuireplace nafasi yako nadhani walau ingekaa wazi kwa muda wa miezi sita. Kama hivyo ndivyo basi unaweza ukawapeleka kwenye mahakama ya kazi ili mkapate suluhisho ama mkishindwana kabisa mnaingia kwenye mgogoro.
sawa mkuu nimekueelewa
 
Bila kupoteza wakati maana nina mengi ya kuwaza baada ya hili

Nilikuwa nikiona watu wanao timuliwa kazi ni wazembe na mara nyingine tukikaa vijiweni tunawazungumzia vibaya hawa mara kafukuzwa kazi sababu ya wizi mara alikuwa jeuri sana mambo mengi mabaya tunawazungumzia bila kujari upande wake upo vipi

Leo plus yamenikuta nilikuwa najiona ni mfanyakazi bora kumbe sio nilikuwa nafanya vitu kumfurahisha boss wangu kumbe hajari natumia nguvu zangu nyingi kuinyanyua hii kampuni lakini jitihada zangu hazijafua dafu hatimae leo naondoka nikiwa sijuhi naanzia wapi na naanza na nini nachoshukuru ni kodi ya nyumba nililipa mwaka mzima jambo nalo shukuru sana maan itanisaidia kupunguza msongo wa mawazo ninao anza nao mdaa huu

tukate long story short mikakati ya mimi kuondoka hapa ofisini kwa njia ya figisu ilianza mapema mwaka huu mwezi wa pili kama sikosei kuna deal lilitua ofisini lilikuwa la moto boss akatukabizi hili deal mimi na wafanyakazi wenzangu wa wili jumla watatu ilikuwa ni biashara ya ku export na ku import hili deal tulilimaliza vzr sana lakini kama ujuavyo katika fursa lazima maslahi binafsi yazingatiwe bc hapa ndipo nilipo bugi baada ya kuleta idea kwa wenzangu kwamba hapa tunaweza ongezea na mali zetu binafsi zikaingia kirahisi alfu tutazimbaza kimya kimya baada ya ku discuss ikaonekana ni ngumu ko idea yangu ikafa bila kutendeka kumbe hizi taarifa zimefika kwa boss bila kujua nani kafikisha ila boss aligusia tu aka tulia hakuwai lizungumzia tena mbaka leo napo pewa barua ya kusimamishwa naingia ofisini baada ya mapumziko ya sikuku za eid naitwa kwa boss naambiwa kuna mfanyakazi atakuja leo kwenye ofisi yako mpe maelekezo ya muhimu ya kiutendaji then uje ofisini.

nimekuja kwenu wana jukwa nikiamini nyie mnasuruhisho kwa sasa nifanye nini kama mpango wa kuingiza bidhaa zangu kupitia mgongo wa ofisi ni kweli nakili nilifanya kosa nasioni kufanya kosa moja na faa kuitwa shetani na hata boss nilishwai ongea nae private jambo hili nili kosa tulifix
Sioni kosa kwa boss wako kumbuka tayari taarifa zilimfikia yeye kupitia watu wa chini yake inawezekana aliona akilifumbia macho kuna uwezekano wa yeye pia kumgharimu kwani labda lingefikishwa kwa ngazi ya juu yake.

Unapaswa kusonga mbele, chukulia hilo kama funzo, stay positive kama una mwamini Mungu basi ndio wakati wako wa kupimwa imani, ukiichukulia kama funzo na ukaweza stay positive trust me kupitia dhiki utazokumbana nazo kipindi hiki zitakujenga zaidi persistency, stamina na integrity vitakuwa na wewe.

Wakati mwingine wale wanaodhani wanatushusha ndio wanatupandisha bila kujua, hivyo muda ndo husema, narudia tena stay positive.
 
Sioni kosa kwa boss wako kumbuka tayari taarifa zilimfikia yeye kupitia watu wa chini yake inawezekana aliona akilifumbia macho kuna uwezekano wa yeye pia kumgharimu kwani labda lingefikishwa kwa ngazi ya juu yake.

Unapaswa kusonga mbele, chukulia hilo kama funzo, stay positive kama una mwamini Mungu basi ndio wakati wako wa kupimwa imani, ukiichukulia kama funzo na ukaweza stay positive trust me kupitia dhiki utazokumbana nazo kipindi hiki zitakujenga zaidi persistency, stamina na integrity vitakuwa na wewe.

Wakati mwingine wale wanaodhani wanatushusha ndio wanatupanfisha bila kujua, hivyo muda ndo husema, narudia tena stay positive.
shukrani sana ntajitahid kuwa positive mdaa wote
 
Bila kupoteza wakati maana nina mengi ya kuwaza baada ya hili

Nilikuwa nikiona watu wanao timuliwa kazi ni wazembe na mara nyingine tukikaa vijiweni tunawazungumzia vibaya hawa mara kafukuzwa kazi sababu ya wizi mara alikuwa jeuri sana mambo mengi mabaya tunawazungumzia bila kujari upande wake upo vipi

Leo plus yamenikuta nilikuwa najiona ni mfanyakazi bora kumbe sio nilikuwa nafanya vitu kumfurahisha boss wangu kumbe hajari natumia nguvu zangu nyingi kuinyanyua hii kampuni lakini jitihada zangu hazijafua dafu hatimae leo naondoka nikiwa sijuhi naanzia wapi na naanza na nini nachoshukuru ni kodi ya nyumba nililipa mwaka mzima jambo nalo shukuru sana maan itanisaidia kupunguza msongo wa mawazo ninao anza nao mdaa huu

tukate long story short mikakati ya mimi kuondoka hapa ofisini kwa njia ya figisu ilianza mapema mwaka huu mwezi wa pili kama sikosei kuna deal lilitua ofisini lilikuwa la moto boss akatukabizi hili deal mimi na wafanyakazi wenzangu wa wili jumla watatu ilikuwa ni biashara ya ku export na ku import hili deal tulilimaliza vzr sana lakini kama ujuavyo katika fursa lazima maslahi binafsi yazingatiwe bc hapa ndipo nilipo bugi baada ya kuleta idea kwa wenzangu kwamba hapa tunaweza ongezea na mali zetu binafsi zikaingia kirahisi alfu tutazimbaza kimya kimya baada ya ku discuss ikaonekana ni ngumu ko idea yangu ikafa bila kutendeka kumbe hizi taarifa zimefika kwa boss bila kujua nani kafikisha ila boss aligusia tu aka tulia hakuwai lizungumzia tena mbaka leo napo pewa barua ya kusimamishwa naingia ofisini baada ya mapumziko ya sikuku za eid naitwa kwa boss naambiwa kuna mfanyakazi atakuja leo kwenye ofisi yako mpe maelekezo ya muhimu ya kiutendaji then uje ofisini.

nimekuja kwenu wana jukwa nikiamini nyie mnasuruhisho kwa sasa nifanye nini kama mpango wa kuingiza bidhaa zangu kupitia mgongo wa ofisi ni kweli nakili nilifanya kosa nasioni kufanya kosa moja na faa kuitwa shetani na hata boss nilishwai ongea nae private jambo hili nili kosa tulifix
Kuna msemo unasema Ampigae chura teke amemwongezea hatua. Usilaumu kwa kufukuzwa kazi hiyo ni one step ahead na wewe fungua kampuni yako tu Mkuu.
 
Bila kupoteza wakati maana nina mengi ya kuwaza baada ya hili

Nilikuwa nikiona watu wanao timuliwa kazi ni wazembe na mara nyingine tukikaa vijiweni tunawazungumzia vibaya hawa mara kafukuzwa kazi sababu ya wizi mara alikuwa jeuri sana mambo mengi mabaya tunawazungumzia bila kujari upande wake upo vipi

Leo plus yamenikuta nilikuwa najiona ni mfanyakazi bora kumbe sio nilikuwa nafanya vitu kumfurahisha boss wangu kumbe hajari natumia nguvu zangu nyingi kuinyanyua hii kampuni lakini jitihada zangu hazijafua dafu hatimae leo naondoka nikiwa sijuhi naanzia wapi na naanza na nini nachoshukuru ni kodi ya nyumba nililipa mwaka mzima jambo nalo shukuru sana maan itanisaidia kupunguza msongo wa mawazo ninao anza nao mdaa huu

tukate long story short mikakati ya mimi kuondoka hapa ofisini kwa njia ya figisu ilianza mapema mwaka huu mwezi wa pili kama sikosei kuna deal lilitua ofisini lilikuwa la moto boss akatukabizi hili deal mimi na wafanyakazi wenzangu wa wili jumla watatu ilikuwa ni biashara ya ku export na ku import hili deal tulilimaliza vzr sana lakini kama ujuavyo katika fursa lazima maslahi binafsi yazingatiwe bc hapa ndipo nilipo bugi baada ya kuleta idea kwa wenzangu kwamba hapa tunaweza ongezea na mali zetu binafsi zikaingia kirahisi alfu tutazimbaza kimya kimya baada ya ku discuss ikaonekana ni ngumu ko idea yangu ikafa bila kutendeka kumbe hizi taarifa zimefika kwa boss bila kujua nani kafikisha ila boss aligusia tu aka tulia hakuwai lizungumzia tena mbaka leo napo pewa barua ya kusimamishwa naingia ofisini baada ya mapumziko ya sikuku za eid naitwa kwa boss naambiwa kuna mfanyakazi atakuja leo kwenye ofisi yako mpe maelekezo ya muhimu ya kiutendaji then uje ofisini.

nimekuja kwenu wana jukwa nikiamini nyie mnasuruhisho kwa sasa nifanye nini kama mpango wa kuingiza bidhaa zangu kupitia mgongo wa ofisi ni kweli nakili nilifanya kosa nasioni kufanya kosa moja na faa kuitwa shetani na hata boss nilishwai ongea nae private jambo hili nili kosa tulifix
Wakati mwingine kwenye maisha una weza dhani unapoteza kumbe una gain

Huenda kuondoka kwako hapo kukawa ndiyo mwanzo wa kufanya makubwa Zaid ambayo usinge weza kufanya hapo

So be strong
 
Bila kupoteza wakati maana nina mengi ya kuwaza baada ya hili

Nilikuwa nikiona watu wanao timuliwa kazi ni wazembe na mara nyingine tukikaa vijiweni tunawazungumzia vibaya hawa mara kafukuzwa kazi sababu ya wizi mara alikuwa jeuri sana mambo mengi mabaya tunawazungumzia bila kujari upande wake upo vipi

Leo plus yamenikuta nilikuwa najiona ni mfanyakazi bora kumbe sio nilikuwa nafanya vitu kumfurahisha boss wangu kumbe hajari natumia nguvu zangu nyingi kuinyanyua hii kampuni lakini jitihada zangu hazijafua dafu hatimae leo naondoka nikiwa sijuhi naanzia wapi na naanza na nini nachoshukuru ni kodi ya nyumba nililipa mwaka mzima jambo nalo shukuru sana maan itanisaidia kupunguza msongo wa mawazo ninao anza nao mdaa huu

tukate long story short mikakati ya mimi kuondoka hapa ofisini kwa njia ya figisu ilianza mapema mwaka huu mwezi wa pili kama sikosei kuna deal lilitua ofisini lilikuwa la moto boss akatukabizi hili deal mimi na wafanyakazi wenzangu wa wili jumla watatu ilikuwa ni biashara ya ku export na ku import hili deal tulilimaliza vzr sana lakini kama ujuavyo katika fursa lazima maslahi binafsi yazingatiwe bc hapa ndipo nilipo bugi baada ya kuleta idea kwa wenzangu kwamba hapa tunaweza ongezea na mali zetu binafsi zikaingia kirahisi alfu tutazimbaza kimya kimya baada ya ku discuss ikaonekana ni ngumu ko idea yangu ikafa bila kutendeka kumbe hizi taarifa zimefika kwa boss bila kujua nani kafikisha ila boss aligusia tu aka tulia hakuwai lizungumzia tena mbaka leo napo pewa barua ya kusimamishwa naingia ofisini baada ya mapumziko ya sikuku za eid naitwa kwa boss naambiwa kuna mfanyakazi atakuja leo kwenye ofisi yako mpe maelekezo ya muhimu ya kiutendaji then uje ofisini.

nimekuja kwenu wana jukwa nikiamini nyie mnasuruhisho kwa sasa nifanye nini kama mpango wa kuingiza bidhaa zangu kupitia mgongo wa ofisi ni kweli nakili nilifanya kosa nasioni kufanya kosa moja na faa kuitwa shetani na hata boss nilishwai ongea nae private jambo hili nili kosa tulifix
Kwenye barua ya kufukuzwa kazi, sababu iliyoandikwa ya/za wewe kufukuzwa kazi ni ipi/zipi?
 
Ukiwa mwajiriwa tambua kuwa
1. Boss sio ndugu wala rafiki yako
2. Wafanyakazi wenzako ndyo washindani wako
3. Cheo ulichonacho ni cha mpito
4. Kazi uliyonayo inaweza kwisha wakati wowote hta kama una mkataba wa kudumu
5. Hakuna urafiki wa kweli kazini.

Yanatosha kwa leo karibu kitaa ulikokuwa unatupita bila kutusalimia ukiwahi kazini na kutuita sisi jobless
 
Back
Top Bottom