Figisu Hatimae kufukuzwa kazi

Figisu Hatimae kufukuzwa kazi

Mshukuru Mungu kwa Yote.....

Yawezekana ni kwa namna ya kipekee sana, Mungu anakuelekeza unakostahili zaidi 🐒

usikate tamaa na wala usilaumu sana.
Take it as an opportunity ya kukufanya vizur na kwa bidii zaidi kwenye maisha, kazi na majukumu mengine 🐒
Uko sahihi mkuu.na mimi ilinitokea nikawa naona giza ila saiv niko zangu NGO nzuri tu life linaenda.
 
Angekuwa mwingine angewaza kukimbia nazo kumbe kuna maisha mazuri unajiharibia.
Hakika ndugu......

Ukiudhibiti moyo wa tamaa utajiepusha na mengi na utafaidi vingi Sana.......

Kuna ndugu yangu alikuwa anabeba zege kwenye kampuni ya ujenzi ya kichina.......

Kwenye ile kampuni kuna mchina alikuwa na wazo la kufungua kampuni yake ya kuuza piki piki.... kipindi hiko piki piki so nyingi........

Nyota ikamuangukia ndugu yangu..... uaminifu, upole na uchapakazi vikamuongezea sifa.......

Yule mchina alifungua kampuni kubwa ya kuuza piki piki na spare zake maeneo ya Arusha kwa jina la yule ndugu kwenye kila document.....akiwa kama mmiliki mwenza......

Biashara ilivyo kuwa inakwenda vizuri mchina akaamua kurudi China kazi yake ikawa kutuma mzigo na anakuja kwa mwaka mara mbili tu..... imagine maisha yanavyo change.........

Sasa hivi jamaa ni miongoni mwa watu wanaojiweza Arusha........
 
Niliwahi kufukuzwa kwenye kampuni moja nikiwa kama salesman baada ya miaka saba ya kuipigania kampuni katika hali na mali nikikabidhiwa piki piki tu kufanya shughuli zangu.......

Nilikuwa nafanya mauzo makubwa makubwa kwa faida ya kampuni kwa malipo kiduchu Sana........

Mwisho wa siku nikapewa barua ya kufukuzwa kazi kama kibaka..........

Iliniuma sana lakini nikapiga moyo konde........

Wateja wakawa bado wananitafuta kutoa oda zao.....nikawaa nakwambia ukweli......kutokana na uaminifu wangu na uchapakazi baadhi ya wateja walisikitika sana na baadhi Yao wakanipa kazi ya kuwakusanyia mizigo Yao wakija kufunga mzigo huku mjini.......wananiwekea pesa kwenye akaunti yangu na mimi nazunguka kuwatafutia bidhaa na kuwapelekea kwa transporter wao......

Nashukuru Mungu mpaka leo naishi vizuri bila kero wala bughudha na muda mwingi niko free na napata pesa mara kumi ya ule mshahara wangu nikiwa nimeajiriwa.........

Rai yangu ni kwamba kila changamoto ni mlango wa mafanikio, kaza moyo endelea na harakati za maisha, huzuni na majuto vinakufanya usione mlango uliowazi mbele yako.......
Kampuni ni ultravetis?
 
Hakika ndugu......

Ukiudhibiti moyo wa tamaa utajiepusha na mengi na utafaidi vingi Sana.......

Kuna ndugu yangu alikuwa anabeba zege kwenye kampuni ya ujenzi ya kichina.......

Kwenye ile kampuni kuna mchina alikuwa na wazo la kufungua kampuni yake ya kuuza piki piki.... kipindi hiko piki piki so nyingi........

Nyota ikamuangukia ndugu yangu..... uaminifu, upole na uchapakazi vikamuongezea sifa.......

Yule mchina alifungua kampuni kubwa ya kuuza piki piki na spare zake maeneo ya Arusha kwa jina la yule ndugu kwenye kila document.....akiwa kama mmiliki mwenza......

Biashara ilivyo kuwa inakwenda vizuri mchina akaamua kurudi China kazi yake ikawa kutuma mzigo na anakuja kwa mwaka mara mbili tu..... imagine maisha yanavyo change.........

Sasa hivi jamaa ni miongoni mwa watu wanaojiweza Arusha........
Na ukitaka kumuwin mchina akupe maisha kuwa muaminifu aisee utaona hii dunia hakunaga shida, wakati wenzio wanalalamika pesa hakuna unawasapoti kuongea ila unachekea pembeni..!!
 
Bila kupoteza wakati maana nina mengi ya kuwaza baada ya hili

Nilikuwa nikiona watu wanao timuliwa kazi ni wazembe na mara nyingine tukikaa vijiweni tunawazungumzia vibaya hawa mara kafukuzwa kazi sababu ya wizi mara alikuwa jeuri sana mambo mengi mabaya tunawazungumzia bila kujari upande wake upo vipi

Leo plus yamenikuta nilikuwa najiona ni mfanyakazi bora kumbe sio nilikuwa nafanya vitu kumfurahisha boss wangu kumbe hajari natumia nguvu zangu nyingi kuinyanyua hii kampuni lakini jitihada zangu hazijafua dafu hatimae leo naondoka nikiwa sijuhi naanzia wapi na naanza na nini nachoshukuru ni kodi ya nyumba nililipa mwaka mzima jambo nalo shukuru sana maan itanisaidia kupunguza msongo wa mawazo ninao anza nao mdaa huu

tukate long story short mikakati ya mimi kuondoka hapa ofisini kwa njia ya figisu ilianza mapema mwaka huu mwezi wa pili kama sikosei kuna deal lilitua ofisini lilikuwa la moto boss akatukabizi hili deal mimi na wafanyakazi wenzangu wa wili jumla watatu ilikuwa ni biashara ya ku export na ku import hili deal tulilimaliza vzr sana lakini kama ujuavyo katika fursa lazima maslahi binafsi yazingatiwe bc hapa ndipo nilipo bugi baada ya kuleta idea kwa wenzangu kwamba hapa tunaweza ongezea na mali zetu binafsi zikaingia kirahisi alfu tutazimbaza kimya kimya baada ya ku discuss ikaonekana ni ngumu ko idea yangu ikafa bila kutendeka kumbe hizi taarifa zimefika kwa boss bila kujua nani kafikisha ila boss aligusia tu aka tulia hakuwai lizungumzia tena mbaka leo napo pewa barua ya kusimamishwa naingia ofisini baada ya mapumziko ya sikuku za eid naitwa kwa boss naambiwa kuna mfanyakazi atakuja leo kwenye ofisi yako mpe maelekezo ya muhimu ya kiutendaji then uje ofisini.

nimekuja kwenu wana jukwa nikiamini nyie mnasuruhisho kwa sasa nifanye nini kama mpango wa kuingiza bidhaa zangu kupitia mgongo wa ofisi ni kweli nakili nilifanya kosa nasioni kufanya kosa moja na faa kuitwa shetani na hata boss nilishwai ongea nae private jambo hili nili kosa tulifix
Kujari, hajari, sijuhi, akatukabizi, alfu, ko, mbaka..... hata kama ni mimi ningekufukuza tu kazi. Kuandika huwezi halafu unataka kuleta janjajanja kwenye biashara ya boss... kosa ulilotaka kufanya sio wizi bali ni UHUJUMU WA BIASHARA. Kosa la uhujumu ni kubwa kuliko wizi. Boss ana akili nyingi sana kuondoa kirusi kama wewe kwenye biashara yake.
 
Niliwahi kufukuzwa kwenye kampuni moja nikiwa kama salesman baada ya miaka saba ya kuipigania kampuni katika hali na mali nikikabidhiwa piki piki tu kufanya shughuli zangu.......

Nilikuwa nafanya mauzo makubwa makubwa kwa faida ya kampuni kwa malipo kiduchu Sana........

Mwisho wa siku nikapewa barua ya kufukuzwa kazi kama kibaka..........

Iliniuma sana lakini nikapiga moyo konde........

Wateja wakawa bado wananitafuta kutoa oda zao.....nikawaa nakwambia ukweli......kutokana na uaminifu wangu na uchapakazi baadhi ya wateja walisikitika sana na baadhi Yao wakanipa kazi ya kuwakusanyia mizigo Yao wakija kufunga mzigo huku mjini.......wananiwekea pesa kwenye akaunti yangu na mimi nazunguka kuwatafutia bidhaa na kuwapelekea kwa transporter wao......

Nashukuru Mungu mpaka leo naishi vizuri bila kero wala bughudha na muda mwingi niko free na napata pesa mara kumi ya ule mshahara wangu nikiwa nimeajiriwa.........

Rai yangu ni kwamba kila changamoto ni mlango wa mafanikio, kaza moyo endelea na harakati za maisha, huzuni na majuto vinakufanya usione mlango uliowazi mbele yako.......
Pole sana. Watu wa sales huwa wanapigwa sana fitina. Ukikuta kampuni ina ndugu na watoto wa boss hali huwa mbaya zaidi. Mimi nishawahi kuwa mtu wa sales nikawa napigwa fitina na ndugu wa boss ikabidi siku moja boss aniite na kunisomea tuhuma zangu zote kama alivyopelekewa.. nikamwambia boss mimi siwezi kujitetea lolote ila bank statement ya kampuni ndo initetee. Kiukweli mauzo kupitia mimi yalikuwa makubwa kwahiyo boss akaniambia wewe endelea na kazi. Ila haikupita miezi mingi niliacha kazi mwenyewe.
 
Kujari, hajari, sijuhi, akatukabizi, alfu, ko, mbaka..... hata kama ni mimi ningekufukuza tu kazi. Kuandika huwezi halafu unataka kuleta janjajanja kwenye biashara ya boss... kosa ulilotaka kufanya sio wizi bali ni UHUJUMU WA BIASHARA. Kosa la uhujumu ni kubwa kuliko wizi. Boss ana akili nyingi sana kuondoa kirusi kama wewe kwenye biashara yake.
haya
 
Bila kupoteza wakati maana nina mengi ya kuwaza baada ya hili

Nilikuwa nikiona watu wanao timuliwa kazi ni wazembe na mara nyingine tukikaa vijiweni tunawazungumzia vibaya hawa mara kafukuzwa kazi sababu ya wizi mara alikuwa jeuri sana mambo mengi mabaya tunawazungumzia bila kujari upande wake upo vipi

Leo plus yamenikuta nilikuwa najiona ni mfanyakazi bora kumbe sio nilikuwa nafanya vitu kumfurahisha boss wangu kumbe hajari natumia nguvu zangu nyingi kuinyanyua hii kampuni lakini jitihada zangu hazijafua dafu hatimae leo naondoka nikiwa sijuhi naanzia wapi na naanza na nini nachoshukuru ni kodi ya nyumba nililipa mwaka mzima jambo nalo shukuru sana maan itanisaidia kupunguza msongo wa mawazo ninao anza nao mdaa huu

tukate long story short mikakati ya mimi kuondoka hapa ofisini kwa njia ya figisu ilianza mapema mwaka huu mwezi wa pili kama sikosei kuna deal lilitua ofisini lilikuwa la moto boss akatukabizi hili deal mimi na wafanyakazi wenzangu wa wili jumla watatu ilikuwa ni biashara ya ku export na ku import hili deal tulilimaliza vzr sana lakini kama ujuavyo katika fursa lazima maslahi binafsi yazingatiwe bc hapa ndipo nilipo bugi baada ya kuleta idea kwa wenzangu kwamba hapa tunaweza ongezea na mali zetu binafsi zikaingia kirahisi alfu tutazimbaza kimya kimya baada ya ku discuss ikaonekana ni ngumu ko idea yangu ikafa bila kutendeka kumbe hizi taarifa zimefika kwa boss bila kujua nani kafikisha ila boss aligusia tu aka tulia hakuwai lizungumzia tena mbaka leo napo pewa barua ya kusimamishwa naingia ofisini baada ya mapumziko ya sikuku za eid naitwa kwa boss naambiwa kuna mfanyakazi atakuja leo kwenye ofisi yako mpe maelekezo ya muhimu ya kiutendaji then uje ofisini.

nimekuja kwenu wana jukwa nikiamini nyie mnasuruhisho kwa sasa nifanye nini kama mpango wa kuingiza bidhaa zangu kupitia mgongo wa ofisi ni kweli nakili nilifanya kosa nasioni kufanya kosa moja na faa kuitwa shetani na hata boss nilishwai ongea nae private jambo hili nili kosa tulifix


Kazini kuna maadui sana, pole
 
Pole sana. Watu wa sales huwa wanapigwa sana fitina. Ukikuta kampuni ina ndugu na watoto wa boss hali huwa mbaya zaidi. Mimi nishawahi kuwa mtu wa sales nikawa napigwa fitina na ndugu wa boss ikabidi siku moja boss aniite na kunisomea tuhuma zangu zote kama alivyopelekewa.. nikamwambia boss mimi siwezi kujitetea lolote ila bank statement ya kampuni ndo initetee. Kiukweli mauzo kupitia mimi yalikuwa makubwa kwahiyo boss akaniambia wewe endelea na kazi. Ila haikupita miezi mingi niliacha kazi mwenyewe.
Kazi ya sales ni kazi ya kitumwa sana iliyojaa lawama, matusi na masimango huku mshahara ukiwa kiduchu.........cha ajabu wewe ndio unaendesha kampuni kwa juhudi zako huko mtaani.........

Mimi niliacha na nikaapa sitofanya tena kazi ya kuajiriwa......nikaamua kuwa mtu wa kati kwa kuwa nayajua machimbo mengi ya bidhaa kwa bei nafuu na nina wateja wa mikoani.....mtaji wangu ni uaminifu tu
 
Bila kupoteza wakati maana nina mengi ya kuwaza baada ya hili

Nilikuwa nikiona watu wanao timuliwa kazi ni wazembe na mara nyingine tukikaa vijiweni tunawazungumzia vibaya hawa mara kafukuzwa kazi sababu ya wizi mara alikuwa jeuri sana mambo mengi mabaya tunawazungumzia bila kujari upande wake upo vipi

Leo plus yamenikuta nilikuwa najiona ni mfanyakazi bora kumbe sio nilikuwa nafanya vitu kumfurahisha boss wangu kumbe hajari natumia nguvu zangu nyingi kuinyanyua hii kampuni lakini jitihada zangu hazijafua dafu hatimae leo naondoka nikiwa sijuhi naanzia wapi na naanza na nini nachoshukuru ni kodi ya nyumba nililipa mwaka mzima jambo nalo shukuru sana maan itanisaidia kupunguza msongo wa mawazo ninao anza nao mdaa huu

tukate long story short mikakati ya mimi kuondoka hapa ofisini kwa njia ya figisu ilianza mapema mwaka huu mwezi wa pili kama sikosei kuna deal lilitua ofisini lilikuwa la moto boss akatukabizi hili deal mimi na wafanyakazi wenzangu wa wili jumla watatu ilikuwa ni biashara ya ku export na ku import hili deal tulilimaliza vzr sana lakini kama ujuavyo katika fursa lazima maslahi binafsi yazingatiwe bc hapa ndipo nilipo bugi baada ya kuleta idea kwa wenzangu kwamba hapa tunaweza ongezea na mali zetu binafsi zikaingia kirahisi alfu tutazimbaza kimya kimya baada ya ku discuss ikaonekana ni ngumu ko idea yangu ikafa bila kutendeka kumbe hizi taarifa zimefika kwa boss bila kujua nani kafikisha ila boss aligusia tu aka tulia hakuwai lizungumzia tena mbaka leo napo pewa barua ya kusimamishwa naingia ofisini baada ya mapumziko ya sikuku za eid naitwa kwa boss naambiwa kuna mfanyakazi atakuja leo kwenye ofisi yako mpe maelekezo ya muhimu ya kiutendaji then uje ofisini.

nimekuja kwenu wana jukwa nikiamini nyie mnasuruhisho kwa sasa nifanye nini kama mpango wa kuingiza bidhaa zangu kupitia mgongo wa ofisi ni kweli nakili nilifanya kosa nasioni kufanya kosa moja na faa kuitwa shetani na hata boss nilishwai ongea nae private jambo hili nili kosa tulifix
Ni muda Sasa wa kuweka focus kwenye mambo yako binafsi uliokuwa unafanya kujipatia kipato nje na ajira uliokuwa nayo.
 
Hajari=Hajali,,kutukabizi=kutukabidhi,,,Sijuhi=Sijui nk nk,,,Songa mbele,,pole kwa changamoto iliyojitokeza katika mlolongo mzima wa Maisha yako
 
Kiswahili sahihi ni kipi? Mbaka au Mpaka? Maana watu wa mbeya kiujumla mnanichanganya sana.
 
Kazi ya sales ni kazi ya kitumwa sana iliyojaa lawama, matusi na masimango huku mshahara ukiwa kiduchu.........cha ajabu wewe ndio unaendesha kampuni kwa juhudi zako huko mtaani.........

Mimi niliacha na nikaapa sitofanya tena kazi ya kuajiriwa......nikaamua kuwa mtu wa kati kwa kuwa nayajua machimbo mengi ya bidhaa kwa bei nafuu na nina wateja wa mikoani.....mtaji wangu ni uaminifu tu
Kweli kabisa sales mate wangu wengine walipelekwa polisi.
 
Kuwa replaced is not a reason. Kwa namna hii muajili anaweza akamleta yeyote wakati wowote kum-replace mtu. Lazima barua iseme makosa yako
Hiyo sababu alio isema kamwe muajiri hawezi akaiandika maana anajua jamaa akienda CMA muajiri ataahindwa kuthibitisha hilo kosa then itamgarimu.
Hapo saaana watamuandikia Unhonest/Dishonest.
Kumbuka mahakama/tume ya usiluhishi hua inataka muajiri athibitishe kosa la kumfukuza kazi mhusika
 
Back
Top Bottom