Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Uko sahihi mkuu.na mimi ilinitokea nikawa naona giza ila saiv niko zangu NGO nzuri tu life linaenda.Mshukuru Mungu kwa Yote.....
Yawezekana ni kwa namna ya kipekee sana, Mungu anakuelekeza unakostahili zaidi 🐒
usikate tamaa na wala usilaumu sana.
Take it as an opportunity ya kukufanya vizur na kwa bidii zaidi kwenye maisha, kazi na majukumu mengine 🐒