Figisu Hatimae kufukuzwa kazi

Figisu Hatimae kufukuzwa kazi

Bila kupoteza wakati maana nina mengi ya kuwaza baada ya hili

Nilikuwa nikiona watu wanao timuliwa kazi ni wazembe na mara nyingine tukikaa vijiweni tunawazungumzia vibaya hawa mara kafukuzwa kazi sababu ya wizi mara alikuwa jeuri sana mambo mengi mabaya tunawazungumzia bila kujari upande wake upo vipi

Leo plus yamenikuta nilikuwa najiona ni mfanyakazi bora kumbe sio nilikuwa nafanya vitu kumfurahisha boss wangu kumbe hajari natumia nguvu zangu nyingi kuinyanyua hii kampuni lakini jitihada zangu hazijafua dafu hatimae leo naondoka nikiwa sijuhi naanzia wapi na naanza na nini nachoshukuru ni kodi ya nyumba nililipa mwaka mzima jambo nalo shukuru sana maan itanisaidia kupunguza msongo wa mawazo ninao anza nao mdaa huu

tukate long story short mikakati ya mimi kuondoka hapa ofisini kwa njia ya figisu ilianza mapema mwaka huu mwezi wa pili kama sikosei kuna deal lilitua ofisini lilikuwa la moto boss akatukabizi hili deal mimi na wafanyakazi wenzangu wa wili jumla watatu ilikuwa ni biashara ya ku export na ku import hili deal tulilimaliza vzr sana lakini kama ujuavyo katika fursa lazima maslahi binafsi yazingatiwe bc hapa ndipo nilipo bugi baada ya kuleta idea kwa wenzangu kwamba hapa tunaweza ongezea na mali zetu binafsi zikaingia kirahisi alfu tutazimbaza kimya kimya baada ya ku discuss ikaonekana ni ngumu ko idea yangu ikafa bila kutendeka kumbe hizi taarifa zimefika kwa boss bila kujua nani kafikisha ila boss aligusia tu aka tulia hakuwai lizungumzia tena mbaka leo napo pewa barua ya kusimamishwa naingia ofisini baada ya mapumziko ya sikuku za eid naitwa kwa boss naambiwa kuna mfanyakazi atakuja leo kwenye ofisi yako mpe maelekezo ya muhimu ya kiutendaji then uje ofisini.

nimekuja kwenu wana jukwa nikiamini nyie mnasuruhisho kwa sasa nifanye nini kama mpango wa kuingiza bidhaa zangu kupitia mgongo wa ofisi ni kweli nakili nilifanya kosa nasioni kufanya kosa moja na faa kuitwa shetani na hata boss nilishwai ongea nae private jambo hili nili kosa tulifix
Sasa wewe unafanya deal na Muhaya, au Msukuma
 
Alafu watu humu mnaongea mambo kirahisi eeehhhh[emoji1787][emoji1787]

Mbona hiyo kesi yake rahisi sana. Kwenye maelezo yake inaonekana kabisa ofisi haijafuata utaratibu wa kumuondosha kazini.

Kama hakupewa nafasi ya kujitetea wakamlima barua kwa kosa alilosema basi unfair termination inahusika ya wazi wazi
 
Kitendo cha mfanyakazi kutumia mgongo wa kampuni ni KOSA kisheria maana linavunja UAMINIFU

Na moja ya reason for termination ni Gross Dishonest (Kukosa uaminifu kwa kiwango cha juu)
Pia umekiri kutenda kosa husika halafu tambua uaminifu haujalishi umevunja kwa mara moja au tatu

Wanaokushauri uende CMA utapoteza muda tu halafu tambua kwenye maisha hatujui kesho yetu.

Kikubwa boss hajakurupuka na pia umetenda kosa lililovunja uaminifu kwake hivyo kwa maslahi mapana ya kampuni hufai tena kuwa member wa kampuni husika.

Funzo: Vijana tupunguze tamaa
 
Bila kupoteza wakati maana nina mengi ya kuwaza baada ya hili

Nilikuwa nikiona watu wanao timuliwa kazi ni wazembe na mara nyingine tukikaa vijiweni tunawazungumzia vibaya hawa mara kafukuzwa kazi sababu ya wizi mara alikuwa jeuri sana mambo mengi mabaya tunawazungumzia bila kujari upande wake upo vipi

Leo plus yamenikuta nilikuwa najiona ni mfanyakazi bora kumbe sio nilikuwa nafanya vitu kumfurahisha boss wangu kumbe hajari natumia nguvu zangu nyingi kuinyanyua hii kampuni lakini jitihada zangu hazijafua dafu hatimae leo naondoka nikiwa sijuhi naanzia wapi na naanza na nini nachoshukuru ni kodi ya nyumba nililipa mwaka mzima jambo nalo shukuru sana maan itanisaidia kupunguza msongo wa mawazo ninao anza nao mdaa huu

tukate long story short mikakati ya mimi kuondoka hapa ofisini kwa njia ya figisu ilianza mapema mwaka huu mwezi wa pili kama sikosei kuna deal lilitua ofisini lilikuwa la moto boss akatukabizi hili deal mimi na wafanyakazi wenzangu wa wili jumla watatu ilikuwa ni biashara ya ku export na ku import hili deal tulilimaliza vzr sana lakini kama ujuavyo katika fursa lazima maslahi binafsi yazingatiwe bc hapa ndipo nilipo bugi baada ya kuleta idea kwa wenzangu kwamba hapa tunaweza ongezea na mali zetu binafsi zikaingia kirahisi alfu tutazimbaza kimya kimya baada ya ku discuss ikaonekana ni ngumu ko idea yangu ikafa bila kutendeka kumbe hizi taarifa zimefika kwa boss bila kujua nani kafikisha ila boss aligusia tu aka tulia hakuwai lizungumzia tena mbaka leo napo pewa barua ya kusimamishwa naingia ofisini baada ya mapumziko ya sikuku za eid naitwa kwa boss naambiwa kuna mfanyakazi atakuja leo kwenye ofisi yako mpe maelekezo ya muhimu ya kiutendaji then uje ofisini.

nimekuja kwenu wana jukwa nikiamini nyie mnasuruhisho kwa sasa nifanye nini kama mpango wa kuingiza bidhaa zangu kupitia mgongo wa ofisi ni kweli nakili nilifanya kosa nasioni kufanya kosa moja na faa kuitwa shetani na hata boss nilishwai ongea nae private jambo hili nili kosa tulifix
Rule #1 do not outshine the master.
 
Niliwahi kufukuzwa kwenye kampuni moja nikiwa kama salesman baada ya miaka saba ya kuipigania kampuni katika hali na mali nikikabidhiwa piki piki tu kufanya shughuli zangu.......

Nilikuwa nafanya mauzo makubwa makubwa kwa faida ya kampuni kwa malipo kiduchu Sana........

Mwisho wa siku nikapewa barua ya kufukuzwa kazi kama kibaka..........

Iliniuma sana lakini nikapiga moyo konde........

Wateja wakawa bado wananitafuta kutoa oda zao.....nikawaa nakwambia ukweli......kutokana na uaminifu wangu na uchapakazi baadhi ya wateja walisikitika sana na baadhi Yao wakanipa kazi ya kuwakusanyia mizigo Yao wakija kufunga mzigo huku mjini.......wananiwekea pesa kwenye akaunti yangu na mimi nazunguka kuwatafutia bidhaa na kuwapelekea kwa transporter wao......

Nashukuru Mungu mpaka leo naishi vizuri bila kero wala bughudha na muda mwingi niko free na napata pesa mara kumi ya ule mshahara wangu nikiwa nimeajiriwa.........

Rai yangu ni kwamba kila changamoto ni mlango wa mafanikio, kaza moyo endelea na harakati za maisha, huzuni na majuto vinakufanya usione mlango uliowazi mbele yako.......
Nliwahi kufanya Kaz kampuni flan hiv bos ni zaidi ya muhindi.. miezi nane kwenye benki hakuna akiba hata ya laki 3 nkajichenga bila kufukuzwa. Nikaja kupata sehem miez minne tu Nina milion na nusu...

Sometimes huwez kupat kazi/fursa nzuri kama ile mbaya hujaicha
 
Mkuu ni bora umefukuzwa kazi kwa sababu sasa ni wakati wako kupanda viwango na kupata cheo kikubwa... Mkuu ikiwezekana gombea urais 2025 maaana mama Samia ni msengeer tu..
 
Kwa maelezo yako wewe ni jambazi na msaliti ambaye masilahi yako unayaweka juu kuliko usitawi wa kampuni au taasisi.
Ufisadi uliotaka kufanya kama ungefanikiwa huenda ungesababisha kampuni kupigwa faini kubwa au kufutiwa vibali kwa sababu tu ya wewe mkora mmoja.
Upo kwenye kampuni unapanga ufisadi kiasi hicho, hali itakuwaje ukipewa ukurugenzi au uwaziri? Si utaingiza hata madawa ya kulevya kwa tamaa zako?
Boss wako amefanya kosa moja tu,ambalo ni kukufukuza kazi bila kukutia makofi.
 
Alafu watu humu mnaongea mambo kirahisi eeehhhh[emoji1787][emoji1787]
Nakuambia ,yani mtu anaongea kama Tanzani ni ulaya vile wanajali haki ya wafanya kazi.HUKU MWANASHERIA WAKO ANAYEKUTETEA ANAPOKEA HONGO ,HAKIMU,KARANI WA HAKIMU WOTE WANAPOKEA HONGO NA KESI UNASHINDWA ...*****..

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Bila kupoteza wakati maana nina mengi ya kuwaza baada ya hili

Nilikuwa nikiona watu wanao timuliwa kazi ni wazembe na mara nyingine tukikaa vijiweni tunawazungumzia vibaya hawa mara kafukuzwa kazi sababu ya wizi mara alikuwa jeuri sana mambo mengi mabaya tunawazungumzia bila kujari upande wake upo vipi

Leo plus yamenikuta nilikuwa najiona ni mfanyakazi bora kumbe sio nilikuwa nafanya vitu kumfurahisha boss wangu kumbe hajari natumia nguvu zangu nyingi kuinyanyua hii kampuni lakini jitihada zangu hazijafua dafu hatimae leo naondoka nikiwa sijuhi naanzia wapi na naanza na nini nachoshukuru ni kodi ya nyumba nililipa mwaka mzima jambo nalo shukuru sana maan itanisaidia kupunguza msongo wa mawazo ninao anza nao mdaa huu

tukate long story short mikakati ya mimi kuondoka hapa ofisini kwa njia ya figisu ilianza mapema mwaka huu mwezi wa pili kama sikosei kuna deal lilitua ofisini lilikuwa la moto boss akatukabizi hili deal mimi na wafanyakazi wenzangu wa wili jumla watatu ilikuwa ni biashara ya ku export na ku import hili deal tulilimaliza vzr sana lakini kama ujuavyo katika fursa lazima maslahi binafsi yazingatiwe bc hapa ndipo nilipo bugi baada ya kuleta idea kwa wenzangu kwamba hapa tunaweza ongezea na mali zetu binafsi zikaingia kirahisi alfu tutazimbaza kimya kimya baada ya ku discuss ikaonekana ni ngumu ko idea yangu ikafa bila kutendeka kumbe hizi taarifa zimefika kwa boss bila kujua nani kafikisha ila boss aligusia tu aka tulia hakuwai lizungumzia tena mbaka leo napo pewa barua ya kusimamishwa naingia ofisini baada ya mapumziko ya sikuku za eid naitwa kwa boss naambiwa kuna mfanyakazi atakuja leo kwenye ofisi yako mpe maelekezo ya muhimu ya kiutendaji then uje ofisini.

nimekuja kwenu wana jukwa nikiamini nyie mnasuruhisho kwa sasa nifanye nini kama mpango wa kuingiza bidhaa zangu kupitia mgongo wa ofisi ni kweli nakili nilifanya kosa nasioni kufanya kosa moja na faa kuitwa shetani na hata boss nilishwai ongea nae private jambo hili nili kosa tulifix
Mafanikio yanaundugu wa karibu dana na usiri. Ulishindwa kuzingatia hilo. Kazini hakuna rafiki. Mafanikio hayana rafiki
.
 
Kufanya kazi na majaamaa ya kichaga Raha sana machapa kazi Yana akili na hayakai kindezi...Sina ukabila na siupendi ila huo ni ukweli wachaga ni watu poa sana...asikiaye na afahamu.....
 
Kwa maelezo yako wewe ni jambazi na msaliti ambaye masilahi yako unayaweka juu kuliko usitawi wa kampuni au taasisi.
Ufisadi uliotaka kufanya kama ungefanikiwa huenda ungesababisha kampuni kupigwa faini kubwa au kufutiwa vibali kwa sababu tu ya wewe mkora mmoja.
Upo kwenye kampuni unapanga ufisadi kiasi hicho, hali itakuwaje ukipewa ukurugenzi au uwaziri? Si utaingiza hata madawa ya kulevya kwa tamaa zako?
Boss wako amefanya kosa moja tu,ambalo ni kukufukuza kazi bila kukutia makofi.
[emoji16][emoji16]
 
Umestahili kufukuzwa aisee wala hamna figisu hapo,watu Wanatoil kuanzisha kampuni alafu wew kirahisi tu unataka kuhujumu
 
Kwa maelezo yako wewe ni jambazi na msaliti ambaye masilahi yako unayaweka juu kuliko usitawi wa kampuni au taasisi.
Ufisadi uliotaka kufanya kama ungefanikiwa huenda ungesababisha kampuni kupigwa faini kubwa au kufutiwa vibali kwa sababu tu ya wewe mkora mmoja.
Upo kwenye kampuni unapanga ufisadi kiasi hicho, hali itakuwaje ukipewa ukurugenzi au uwaziri? Si utaingiza hata madawa ya kulevya kwa tamaa zako?
Boss wako amefanya kosa moja tu,ambalo ni kukufukuza kazi bila kukutia makofi.
Alafu anasingizia figisu, kuna figisu gani hapo zaidi ya wizi wake!
 
Hakuna FIGISU yoyote uliyofanyiwa bali DILI lako halijafanikiwa kama ulivyotaka.

Lengo lako halikuwa nzuri kwa ustawi wa kampuni au taasisi ila ulijitanguliza ww mbele bila kuangalia maslahi mapana ya kampuni iliyokupa platform hiyo

Wewe unawakilisha vijana wengi wanaotaka Mafanikio makubwa ndani ya muda mfupi bila kujali Owner's wanavyotoil kurun business,

Kukuterminate bila kukufungulia mashtaka ya KUHUJUMU kampuni inabidi umshukuru Mungu na Boss wako pia

Boss wako amepoteza Uaminifu na wewe na hata ukienda CMA, Labor court au utafute wakili utapoteza muda wako na pesa tu.

Muda huu ulistahili uwe Mahabusu unasubiri kusomwa kesi yako Makahamani kwa kuhujumu Kampuni sio unalalamika umefanyiwa FIGISU.
 
Back
Top Bottom