Fiji: Nchi inayokaliwa na Watanganyika wa kale

Hivi wewe ina maana ulikuwa uielewi historia hata ya darasa la tano?? Au hukusoma kabisa historia?
Kwani Wale wareno wakina ibn batuta waliizungurukaje dunia? Na historia inatuambia walisafiri kwa bahari. Wakati huo wala hakukuwa na meli zaidi ya mitumbwi na majahazi.
Wafanyabiashara wa kiarabu walikuja kuleta viungo (spices ) Afrika mashariki kutoka mashariki ya kati kwa kutumia majahazi.
Hebu jaribu hata kuisoma historia ya darasa la tano utayakuta haya, maana nikikuambia uisome ya Form 2 inaweza ikakutatiza sababu ya lugha inayotumika maana hata hiyo lugha pia ilikuja na majahazi...
 
Wacha habari hii!!!kwani akina Livingston na Stanley walipokuwa wanasafiri kutoka sehemu moja kwenda nyingine walitumia usafiri gani?
wakati huo waafrica walikuwa wanatumia mitumbwi tu, hata jahazi hawakulijua, walikuwa wanayashangaa tu, na ujue majahazi kipindi hicho yalikuwa ndio kama cruiser v8 za siku hizi ambazo ni ndogo kwa mkulima wa koromija kumiliki. hao kina livingstone walipokuja babu zako walikuwa wanawakimbia mwanzoni hawakujua kama ni wanadamu walijua ni aina nyingine tu ya wanyama wageni, au majini. no tv, no education, nothing, kuwinda, kutafunana mbunyee, kulala, kulima, kuoa mitara na uchawi tu.
 
Mkuu,nilijua tu nitakukuta kwenye uzi huu,mambo vipi lakini?
 
Yaaa, mimi nilikaa visiwa vya Fiji from 2001 to 2008,kuna eneo linaitwa ABHACHU, yaani lugha yao ni KIHA, ila Wazungu wanawabagua sana, nilirudi bongo kwa kazi maalum. Ikiwa ni pamoja na shule.
Vipi hali yao ya kiuchumi?demokrasia?
 
Hao wabantu kwa kusins majina yao, wametoka hapo pembeni ya Madagascar kuna kakisiwa kadoogo jina sikumbuki ila hao ndo kwao hapo ni waswahili kabisa wengine nafkiri wangazija.hapo kilichofanyika Mauritius waliuza hicho kisiwa kwa US&UK kujenga military base zao,zipo hapo na nnafkiri ndio kubwa kwa Africa avhaka na Chad wakahamisha wakazi wote kisiwani,wengine walipelekwa Mauritious wengine Wako UK Mpaka Leo wanadai nchi yao wanataka kurudi kwao.
So nahisi hao walioko Fiji ni kizazi chao cha kwanza kabisa kuzamia huko kabla kisiwa chao nchi yao haijauzwa.
Majina yao ni hayo hayo na wale waliopelekwa UK,
"Vuzi letu"sana sana"vuzile"
 
Wametoka Chagos Island hapo mbere tu ya Zanzibar kwenye visiwa vya Diego Garcia,visiwa hivyo sasa ni military base ya US na UK.
Wakazi waliobaki baada ya hao waliokwenda Fiji nao walihamishwa wote wakapewa uraia UK,wengine waliokataa Mauritious.
Kwa ujumla watakua wanatoka huko kumbuka zamani Tanzania ilikua Tanganyika,na Madai yao ancestor waliwaambia wametoka pembezoni mwa Tanganyika sio lake Tanganyika.
 
niliwahi kuona kwenye nat Geo Wild, hao na wale wa visiwa vya Tonga wana cannibalism, na kuzikwa unapelekwa milimani juu unafungwa kwenye miti mpaka unaoza na kukauka, na hata hivyo niliwahi kuonana na hawa watu nikiwa UK, nikawauliza hicho kitu wakakiri kuwa ni kweli, hiyo kitu ipo, ilibidi niogope aisee,
 
uongo mtupu, ukiangalia hao jamaa, sura zao ni nyeusi lakini nywele zao ni ndefu na laini kama za kihindi, huwezi kusema hao asili yao Tanganyika, hapa hatupo hivyo.
Kwa kuwa we una kipilipili basi unadhani wote tupo kama wewe eeeeh? Nenda Katesh ukaone nywele za Sheba
 
geeeez basiii hapa fai ...hilo tabasamu LA kwenye picha zao ...ni siri ya mtungi kumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…