Fikiria haya kuhusu mchezo wa Yanga na Monastir majibu baki nayo mwenyewe

Kaangalie kwanza highlights za ule mchezo alafu urudi hapa..
Endelea kuamini katika bahati, mpira ni mbinu na ufundi. Mechi zote mbili Berkane kashindwa ku score mbele ya Monastir halafu unakuja kuleta wimbo wa bahati. Mpira haujui wewe
 
Horoya = Dodoma Jiji
Vipers = Coastal Union
Raja Casablanca = Young African

Kama kupongeza huwezi kaa kimya maana kwako ndio mteremko kabisa. Unakutana na vitimu vibovu unakuja hapa kupayuka tu
 
Horoya = Dodoma Jiji
Vipers = Coastal Union
Raja Casablanca = Young African

Kama kupongeza huwezi kaa kimya maana kwako ndio mteremko kabisa. Unakutana na vitimu vibovu unakuja hapa kupayuka tu
[emoji23][emoji23] ona aibu basi mkuu, wewe na Caf champions league wapi na wapi ??
 
Acha wivu Thimbaa weweπŸ˜‚
 
[emoji23][emoji23] ona aibu basi mkuu, wewe na Caf champions league wapi na wapi ??
Anza kwanza kuona aibu wewe maana nataka uniambie ni lini Mbeya kwanza na Polisi TZ walikua kwenye Confederation Cup
 
Anza kwanza kuona aibu wewe maana nataka uniambie ni lini Mbeya kwamza na Polisi TZ walikua kwenye Confederation Cup
Poa haina noma

Us Monastir = Namungo fc
Real Bamako = KMC fc
Tp mazembe = Biashara United
 
Kwenye Match Fixing yote yawezekana ingawa sababu zako ulizotoa hakuna hata moja inayoweza kuthibitisha kuwa kulikuwa na upangaji wa matokeo. Hata mchezo wa Simba na Horoya ungeingizwa kwenye upangaji wa matokeo, kilichowanusuru Simba ni kwamba Timu zote 2 (Simba na Horoya) zilikuwa zinahitaji matokeo ili zisonge mbele. Sasa fikiria kama Horoya ndiye angekuwa nafasi ya kwanza kwenye kundi halafu amefuzu kucheza robo fainali kama Raja, hapo lazima CAF wangesema kuna kupanga matokeo ili kumsaidia Simba aende robo fainali. Kwa hiyo tufike mahali tuzipongeze timu zetu pale zinapojipanga na kushinda mechi zao, tusiwe bias kufikiria kuwa kuna kupanga matokeo.
 
We umeona hizi mbili ila zile saba ni sahihi nadhani usilaumiwe hayo ni matokeo ya matumizi ya Nganda
 
Makolo huwa mnapewa sh ngap mnapokitana na KALALA MAYELE?
Kalala Mayele anaongea na mkongo mwenzake Inonga anampa posho asimkabe sana..

Unakumbuka ile mechi alikabwa mpaka akatolewa sub. Baada ya pale ndio akaanza michezo ya kuongea na mkongo mwinzie awe anamwachia..
 
1. Job
2. Mudathir
3. Kibwana
4. Kisinda
5. Mauya
6. Mzize
7. Farid Mussa

Hao wote jana walikuwa benchi. Ila kuna timu inapatikana mtaa wa Msimbazi, hao panga pangua hawakosi first 11 ya ile timu.
Ikiwekwa bench Chama timu imekufa
 
Mtoa mada amka usingizini
 
Jokate amegawa mataulo kule...umepata ya kwako?
 
Yetu macho......
 
WIVU WA KIKE UTAWAUA
 
Tutakavyo wafyonkonoa hiyo April mseme pia tulihonga Manula na Babu Onyango na mtafute mapema kiongozi mmoja wa kumtupia lawama za kuwahujumu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umevurugwaa wee, sio kila siku ni alhamc, kuna j4.
Mxxxxiiiieeeeeww
 
Kwa shirikisho hakuna ugumu wowote, team zote zilizoingia Robo ni za kawaida tyuuh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…