Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Tutakavyo wafyonkonoa hiyo April mseme pia tulihonga Manula na Babu Onyango na mtafute mapema kiongozi mmoja wa kumtupia lawama za kuwahujumu.Simba iliposhinda 7 si nyie utopoloo mkaja wima wima, eti Horoyaa mbovu na alikuja kukamilisha ratibaa? Mara tulihonga 38m,
Leo mmegeuziwa nyie mnapanick, vipi kwemaaaaa????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]