- Thread starter
- #281
Sema mamiiAlooooh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema mamiiAlooooh!
Huwez amini nilikosaNa katumia 70m kwa njia ya surrogate kwa huo mkwanja asingekosa demu wa kumzalia
Mkuu kwani ukitaja hata jina la hospital unapungua kilo?SMHSio kila jambo la kuweka wazi Ila hospital zinazotoa IVF service ziko Tanzania
Zipo usipende kutafuniwa na siwez kutajia hospital niliyofanyia surrogateMkuu kwani ukitaja hata jina la hospital unapungua kilo?SMH
Yaani uwe na uwezo wa kutoa mpunga wote huu halafu wanawake wakukatae!hata wa kuzugia tuu! No way..kuna kitu hakipo sawaMillion 70
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani uwe na uwezo wa kutoa mpunga wote huu halafu wanawake wakukatae!hata wa kuzugia tuu! No way..kuna kitu hakipo sawa
Intravert ninini bhana acha u cho ko,wew sema hudindi tujue moja umeamua kujiongezaWewe umeshaonaga wapi introvert anajichanganya na watu, haimaanishi shiishi na watu vizuri naishi nao vizuri
Najua vizuri sana mkuu,hapo ndio kiini cha tatizo lako,hata mimi zamani nilikuwa hivyo ila kilichonisaidia nilisafiri sana na kukutana na watu wa aina mbalimbali ikanibadilisha kiasi kikubwa nikafunguka sasa hivi wanawake si tatizo kabisa kwangu.Wewe umeshaonaga wapi introvert anajichanganya na watu, haimaanishi shiishi na watu vizuri naishi nao vizuri
Duuuh! Haya mzee baba. Ngoja niishie hapaHuwez amini nilikosa
Mim Sina aibu ya kuongea na mwanamke Ila ndo hivyo sasahivi Niko na plan bNajua vizuri sana mkuu,hapo ndio kiini cha tatizo lako,hata mimi zamani nilikuwa hivyo ila kilichonisaidia nilisafiri sana na kukutana na watu wa aina mbalimbali ikanibadilisha kiasi kikubwa nikafunguka sasa hivi wanawake si tatizo kabisa kwangu.
Kitu kingine inatakiwa ukijue siku hizi hatutongozi wanawake kwa kuwavizia barabarani kama zamani,siku hizi kuna mitandao facebook,instagram na mingine mingi unaitumia hiyo kuchat nao unamaliza kila kitu kabla ya kuonana hii ni rahisi sana kwa watu wazito na wenye aibu ya kuongea laivu.
Hilo umesema weweIntravert ninini bhana acha u cho ko,wew sema hudindi tujue moja umeamua kujiongeza
Na kwahilo tutakupa pongenzi
Hiyo plan yako sio suluhisho,itakuletea stress mara 2 zaidi huko mbeleniMim Sina aibu ya kuongea na mwanamke Ila ndo hivyo sasahivi Niko na plan b
How nawakati plan a technically imefail alafu ukilazimisha mapenzi yatakufanya kitu mbayaHiyo plan yako sio suluhisho,itakuletea stress mara 2 zaidi huko mbeleni
Mim ni mkubwa sio dogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muamshe dogo asijekojoa kitandani.
Tangazo la biasharaBaada ya kukataliwa na wanawake wote nilio-waaproach, finally niliamua kutumia surrogate ili kujenga familia upinzani ulikua mgumu Ila finally nimefanikiwa Ila ndio hivyo watoto hawatakua na mama sababu mbegu za kike nilinunua
Life is good kama ukikubali ukweli kwamba love relationship is not for everyone
Surrogate ni mkombozi kwa sisi wanaume ambao tuna damu za kunguni/kunguni a.k.a za kukataliwa na wanawake
The positive things Sina kinyogo au chuki dhidi ya wanawake kabisa hadi wale walionikataa, Maisha haya ni mafupi na kamwe huwezi nikuta nikiwaponda wanawake naheshimu maamuzi yao hata kama mimi sikuyapenda
Gharama nilizotumia ni million 70 zinajumuisha gharama za hospital, kumlipa mwanasheria, kumlipa surrogate mother na kununua Yai la kike
Lengo la uzi halina maana ya kujikweza kwamba ni tajiri hapana, kutumia million 70 kwenye surrogate haina maana kwamba ni tajiri ni mpambanaji wa kawaida hata wakiambiwa matajiri watoke siwez toka, na mwisho lengo la uzi halina maana ya kutafuta wanawake nimeshaire na nyie sababu hii ni forum
Na wewe weka inarusiwaTangazo la biashara
Nilimtafuta mwanamke nikampa ela kupitia mwanasheria akabeba mimba miez Tisa baada ya kujifungua watoto mapacha nikachukua watoto wangu nikampa hela tuliyokubaliana kila mtu Akala hamsin zake.
Ni mwanamke anayejiheshimuMmmh labda kahaba tena wa mbali kabisa ndo anaweza fanya ujinga huo