Umesoma vizuri uzi wa jamaa???Mi nnachoona ushoga unashamiri kwa kasi sana maana mtu anajisifia kabisa kuchukia wanawake, kwa kigezo cha kwamba ni stress mara fyoko fyoko sasa ndg ukichukia wanawake manake unapenda wanaume wenzio wakupe kampani na wakufirimbe,, huu uzi una mashoga wengi kinoma
Wengine wanashadadia ooh ndo dawa yao,, [emoji23][emoji23][emoji23] surrogate sio matako eti, hela mnazo au mnabwata tu
Hajasema hana hisia na mademu isipokua mademu ndo hawana hisia nae ndo maana kaamua kufanya ivo..
Kila chanzo kina chanzo mkuu