Finally nimepata watoto mapacha kwa njia ya surrogate

Finally nimepata watoto mapacha kwa njia ya surrogate

Faraja kwenye familia ni jambo la mtambuka,,, mnaweza mkatimiza akidi na bado faraja ikawa kizungumkuti..

Sema wazazi wote wakiwepo mtoto anapata kusoma maisha kwa vitendo.
Umeona enh!!!

Ni vizuri kuwepo wote wawili lakini isiwe ndo formula kwamba anything else is WRONG!
 
Wanahaki ya kuchallenge maamuzi yangu since nimeamua kushare kwao kwenye hii forum, ntakua sio muungwana kutokubali challenge zao ndo maana najitahidi kuzijibu
Kuwa challenged na kupangiwa ni vitu viwili tofauti!

Of course, sehemu kama hii challenge ni lazima, na haipukiki!!
 
Uwe na hela mingi, wanawake wakukatae[emoji848] so Kweli kuna harufu ya upigaji hapa.
Uvuvi haramu unafanyika.
Kukataliwa na kutopendwa ni vitu viwili tofauti...

Ukiwa na pesa, chance ya kukubaliwa ni kubwa... the question is: unakubaliwa kwavile unapendwa au unakubaliwa kwavile una pesa!!
'
Mwamba anatafuta kupendwa...
 
Ila mwanaume naye akiwa too honest nako kunafikirisha 😂😂😂
Yes Niko sana honest may ndo weakness unajua wanawake wanapenda wanaume ambao sio honest nikimaanisha inabid utumie uongo ili uweze kupata mwanamke hiki kitu siwezi
 
Kukataliwa na kutopendwa ni vitu viwili tofauti...

Ukiwa na pesa, chance ya kukubaliwa ni kubwa... the question is: unakubaliwa kwavile unapendwa au unakubaliwa kwavile una pesa!!
'
Mwamba anatafuta kupendwa...
Mim vyote vilikua vinanikuta nakataliwa na sipendwi at the same time
 
Mim vyote vilikua vinanikuta nakataliwa na sipendwi at the same time
Kukataliwa kunajulikana, but how do you know kwamba hupendwi?!

Shaka yangu ni kwamba, isiwe ikawa you're looking for too much...

Kwamba, mapenzi ya kideo...

OR, fantasizing what a real love ought to be...
 
@keisangora Ahsante, shukran Mkuu.
Maneno umeyatema kwa ukuu wa ufahamu wako Mwalim.

Hivi sasa ni saa 11:20 pm nimesoma maneno yako mara kadhaa nakahisi faraja kwa yanayonikuta. Kwangu imekuwa sababu ya kujipa moyo na kuacha kutafakari malimwengu.

Mimi nalala. Akipenda Mungu kuniamsha salama nahakika nitaamka mpya keisangora.

Mungu aibarike JF na lejendi kama wewe mkuu.
Don't try to figure out what's about life but rather fall in love with something and do it repeatedly. Don't ever try because none ever figured out what's life is.
Thank you.

Maisha mkuu Ni just repeatable fashion mode. Kama tulalavyo na kuamka everyday.
Birds wanaamka kila siku na kurudi kulala,dunia inazunguka the same way,fundi anajenga the same,tunazaliwa na kukua na kufa the same way,mto una flow the same,mti unakuwa the same way. Majira ya mwaka Ni Yale Yale the same way the same time. Teacher ana approach kazi yake the same way , hajawahi change,hakimu ,jaji ,wakili Wana the same methodology ya ku approach kazi zao,mhasibu,hr the same way, predators Wana hunt the same way prey wao. Mfano puma ana winda by patiently waiting and ambush na Ni solo Hunter,akishindwa anakubaliana fasta anarudi kutega hapotezi Sana yaani Hana hasara Kama African Savana lion anayewinda kwa stalking and seeking opportunity anakimbiza na kupata a lot of injuries and losses.
Kila kiumbe kina adaptive features zake in that environment.
Hata kutongoza we approach the same technique so Ile mhubiri kusema kuwa hakuna jipya chini ya jua Ni kweli na Suleiman akadai yote Ni mbatili tupu akakazia kuwa ukimpa mwanamke hela yako ukitoka kwake Ni majuto so ni nature.
Yaank we act/react/response the same way in the same stimuli binadamu wote dunia nzima.
Ukipata hela like jackpot all we feel the same,ubongo wetu ukiomyeshwa sex nude photo,spicy food or Money ukiu scan kwa MRI wote dunia nzima ubongo unaonyesha the same morphology.


Wote we're driven by envy,greed,fear, hope ,our decisions Zina base on these human emotions hakuna kingine zaidi.
Mtu anakatalia kwenye salary ama kuishi sehemu fulani Mana ana fear hajui huko aendako patakuwaje. So ana stuck hapo hapo hasogei mwishowe tunazeekea hapo hapo.
 
Kukataliwa kunajulikana, but how do you know kwamba hupendwi?!

Shaka yangu ni kwamba, isiwe ikawa you're looking for too much...

Kwamba, mapenzi ya kideo...

Fantasizing what a real love is...
"Am always look for less still I don't get, my expectations was very low but it doesn't help me" sometimes love sucks
 
Hii chai ya mchana, haiwezekani uwe na pesa kiasi cha 70M halafu ukose pisi kali.
Kwa pesa hiyo mbona unajichagulia yeyote unayemtaka
 
Swala la vigezo nilishaliweka pembeni lakin still mambo yakawa magumu kwenye maisha tunaweza lazimishwa kutafuta ela tukafanikiwa lakin sio kwenye mapenzi Yale hayalazimishwi msingi wake umejengwa kwenye hisia
Ila mkuu kuna kitu kimoja bado kinanishangaza,yaani wewe uwe na uwezo wa kulipia huduma ya gharama ya milioni 70 halafu ushindwe kupata mwanamke?hii inafikirisha sana,maana ninachojua wanawake wa siku hizi wakikuona una uwezo wa kipesa huwa wanajirengesha wenyewe tu bila hata kuwatongoza,sasa upande wako hii inashindikana vipi?
 
Hii chai ya mchana, haiwezekani uwe na pesa kiasi cha 70M halafu ukose pisi kali.
Kwa pesa hiyo mbona unajichagulia yeyote unayemtaka
Kumbuka na mwanamke ana uhuru wa kukataa siongelei prostitute hapana naongelea mwanamke wa kufanya nae maisha
 
Ila mkuu kuna kitu kimoja bado kinanishangaza,yaani wewe uwe na uwezo wa kulipia huduma ya gharama ya milioni 70 halafu ushindwe kupata mwanamke?hii inafikirisha sana,maana ninachojua wanawake wa siku hizi wakikuona una uwezo wa kipesa huwa wanajirengesha wenyewe tu bila hata kuwatongoza,sasa upande wako hii inashindikana vipi?
Anything is possible under the sun and remember life is full of supprise
 
Kumbuka na mwanamke ana uhuru wa kukataa siongelei prostitute hapana naongelea mwanamke wa kufanya nae maisha
Kwani mkuu una kasoro gani mpaka uhangaike hivi, labda kuna kitu hujaweka wazi kinachikufanya ukataliwe
 
sio rahisi mkuu labda awe amerogwa tena sio uchawi wa kawaida labda ule wa kutoka Gamboshi.
Kama marehemu Remmy Ongala alishikilia rekodi ya mtu mbaya namba moja Tanzania na alioa mzungu itajuwaje kwa watu wengine wa kawaida[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mkuu kua na mtoto/watoto ni furaha yako ?

Mama yako yupo hai mkuu ? Imagine watoto wanauliza mama yao yani si hata kaburi utawaonyesha... Ni kama haku exist kabisa..

Huenda unatarajia kua na furaha baada ya kupata hawa watoto lakini kuna possibility wasikuelewe kwa nini uliamua hivi mkuu..
huenda wakakuchukia kuwaamulia waishi bila mama, huenda wasitake hata kukuona, huenda kikawa chanzo cha chuki

Huendawakahitaji mama kuliko chochote kutoka kwako, huenda hili chaguo likawa huzuni badala ya furaha.

Mama Neema--By 20%
 
Mi nnachoona ushoga unashamiri kwa kasi sana maana mtu anajisifia kabisa kuchukia wanawake, kwa kigezo cha kwamba ni stress mara fyoko fyoko sasa ndg ukichukia wanawake manake unapenda wanaume wenzio wakupe kampani na wakufirimbe,, huu uzi una mashoga wengi kinoma

Wengine wanashadadia ooh ndo dawa yao,, [emoji23][emoji23][emoji23] surrogate sio matako eti, hela mnazo au mnabwata tu
Wanawake wa Tanzania punguzeni njjaa na poor mindset. Milion 70 ni kama Dola 34,000 unadhani hiyo hela hakuna watanzania wanayoweza kuiteketeza Kwa starehe Tu ?


Hii nchi raia tunakosa exposure kabisa hadi unadhani Dola 34,000 ni hela nyingi saaaaaaana Hadi kufikia kumuita mtu shoga.
 
Tatizo la kujifikiria wewe tu ,, em ungefikiria watoto jamani.....

Afu pia maisha huenda na mtazamk wako mie nakuona unamtazamo mibaya yaan ile unajiona unaonewa au hawakutaki

Em jiamini kawatafutie mama watoto wanyonye bhana
Watoto wa Christiano ronaldo wale Mapacha Walipatikana Kwa surrogate Wana maisha mazuri kuliko mamilion ya watoto duniani wenye wazazi wote wawili
 
Back
Top Bottom