Finally nimepata watoto mapacha kwa njia ya surrogate

Finally nimepata watoto mapacha kwa njia ya surrogate

Mpango wa kuoa nilikua nao na napenda sana ndoa Ila ndio hivyo huwezi Amini niliambulia vibuti

Huwezi amini hakuna hata mmoja yaani surrogate imenitibu moyo wangu uliokua umepondeka pondeka
Pole kwa kukataliwa na hongera pia kwa watoto.
 
Wewe kuleta uzi JF tayari ushafanya show off, acha shobo nusu fanya shobo kamili.
Nifanye show-off ili iweje kama hupendwi hupendwi money cannot buy love, but it can buy sex
 
Nishakupoteza kakaangu[emoji848][emoji848]
We nipoteze tu but at least am always at a stress free zone...

Kama kuoa, ni hadi nizeeke zeeke kwanza... nifike 50 hv, halafu nazoa gume gume lolote lile!

Hapo kanuni itakuwa: sikupendi na wala sihitaji upendo wako; na ukinipenda ni kiherere chako cha ku-divert kazi ya moyo wako!
 
Tatizo la kujifikiria wewe tu ,, em ungefikiria watoto jamani.....

Afu pia maisha huenda na mtazamk wako mie nakuona unamtazamo mibaya yaan ile unajiona unaonewa au hawakutaki

Em jiamini kawatafutie mama watoto wanyonye bhana
 
Watanzania mna shida sana hivi kwani mim ndo wa-kwanza kufanya surrogate kwa taarifa yako kufanya surrogate hakuna uspecial wowote mim sio wa kwanza wako watu kibao wamefanya
Man,

Usihangaike nao, na WASIKUPANGIE!!

Haya maisha kila mmoja na formula yake, na wasitake wengine wote waishi kama wao...

Kama option yako umeona ndo hiyo, let it be! Hata ukitaka watoto 7 kwa staili hiyo, IT'S YOUR LIFE, YOUR CHOICE!

Kila mmoja anachagua best alternative ya kuendesha maisha yake... my best alternative may not be your best alternative, and never will!

Hata kwenye ndoa, kuna wengine wanaamua kuoa mke mmoja na wengine zaidi ya mmoja lakini wapenda kupangia watu hata hapo watajaribu kupangia!

Kwavile yeye ana mke mmoja, atataka kumtoa kasoro mwenye zaidi ya mmoja na kama ana zaidi ya mmoja, atataka kumtoa kasoro yule mwenye mmoja!
 
Tatizo la kujifikiria wewe tu ,, em ungefikiria watoto jamani.....

Afu pia maisha huenda na mtazamk wako mie nakuona unamtazamo mibaya yaan ile unajiona unaonewa au hawakutaki

Em jiamini kawatafutie mama watoto wanyonye bhana
Laiti ungejua Kuna maamuzi tunafanya bila hata kupenda Ila ni kutokana na circumstances, yes napenda kuwa na familia mda mwingine maisha hayakupi yale unachotaka but I appreciate your heartfelt comment
 
Man,

Usihangaike nao, na WASIKUPANGIE!!

Haya maisha kila mmoja na formula yake, na wasitake wengine wote waishi kama wao...

Kama option yako umeona ndo hiyo, let it be! Hata ukitaka watoto 7 kwa staili hiyo, IT'S YOUR LIFE, YOUR CHOICE!

Kila mmoja anachagua best alternative ya kuendesha maisha yake... my best alternative may not be your best alternative, and never will!

Hata kwenye ndoa, kuna wengine wanaamua kuoa mke mmoja na wengine zaidi ya mmoja lakini wapenda kupangia watu hata hapo watajaribu kupangia!

Kwavile yeye ana mke mmoja, atataka kumtoa kasoro mwenye zaidi ya mmoja na kama ana zaidi ya mmoja, atataka kumtoa kasoro yule mwenye mmoja!
Wanahaki ya kuchallenge maamuzi yangu since nimeamua kushare kwao kwenye hii forum, ntakua sio muungwana kutokubali challenge zao ndo maana najitahidi kuzijibu
 
Faraja kwenye familia ni jambo la mtambuka,,, mnaweza mkatimiza akidi na bado faraja ikawa kizungumkuti..

Sema wazazi wote wakiwepo mtoto anapata kusoma maisha kwa vitendo.

Raha ya mtoto ( watoto.), mama na baba wawepo pamoja. Mengine ni kujipa faraja iliyo fake
 
Kwa hii comment nimekuona bado u mtt kiakili.
Swai jepesi unajua Ni wangapi walitaka kuwa madaktari ama mainjinia sema alama zikawapeleka kwenye ualimu. Unadhani hao walioenda kwenye ualimu maisha hayaendelei bado.eti demu wa mwenye fantasies zako. Unadhani hata ungeoa malaika tokea mbinguni unadhani usingechepuka ,naomba umri wako hutojali.

Unajua almost 70% ya wamarekani wanafanya kazi ambazo hawazipendi. Ivyo to any parts za dunia. Mie sikupenda kusoma Ila bro alikuwa ananilazimishia skul Ila bado maisha yanaendelea.


YAni unaongea emotions na emotions Ni temporary Kama ilivyo furaha Kama hii uliyo nayo baadaye itaisha.
Ukipata demu mpya,kazi,gari,mtt,elimu,nyumba ,hasira , anything huwa Ni kwa muda mchache baadaye unarudi kwenye Hali yako. Hata saivi ukipata dola trillion baadaye utaziona hela Ni za kawaida Mana utatembea dunia nzima na kufanya ama na kumiliki unachotaka ama kutamani baadaye utarudia kuwa binadamu yule yule.
Unataka perfection ya maisha hutokaa uipate,unapata kazi pesa Mara hapa umeuguliwa ama mwanao akakata shule Mara umegongewa Mara jirani yako mnazozana eneo dogo la mpaka. Yaani hakuna perfection. nothing is really black or white thinking. Nothing is really zero or 100% . Tunaishi katika ulimwengu wa probability sema hatukubaliani ivyo Mana brain yetu haipendi ama haijaumbwa ku function in PROBABILISTIC modal. We're love to think as if yesterday is today.

Yaani tunapenda mno certainty na wakati life is full of uncertainties,we love to be in comfortable situation.



Iko hivi hata hapo Kama uko ofisini Kuna keep unaiona,Kama una biashara kuna shida labda hapo pembeni yako jirani yako anakuonea wivu na Ana chuki tu bila sababu.


Nikuambie tu hata Kama unaishi kwako bado unaona nyumbani kwako Kuna vitu hujaviweka sawwa kisa hela. Kama umejenga madale unatamani ungekuwa mbezi Masaki kapri point,Kama una gari ya 100M ukikutana na mtu wa gari ya 500M unajidharau.


Life has never been perfect ever never ever since the dawn.
Hata uweje na mke ambaye dunia nzima akapendwa bado utachepuka ama utatamani.


Kama hujui ama hujanielewa nachokuambia.

Elewa tu kuwa

Sikio halijawahi choka kusikia ama kusikiliza .
Jicho halijawahi choka kuona ama kutizamana.
Miguu haijawahi kuchoka kutembea.
Kichwa ama ubongo haijawahi kuchoka kuwaza.
Pua haijawahi choka kunusa .
Moyo Sasa unadhani why uchoke kutamani hii Ni nature huwezi pingana na nature labda itabidi ufe.
Jiulize why dunia haijawahi choka kuzunguka kwa mhimili wake ikatupa usiku na mchana ,na ikazunguka jua tukapata majira manne ya mwaka like kipupwe,mvua n.k.
Ndege hajawahi choka kujitafutia riziki.
Mto hujawahi choka ku flow.
Mfumo wa mzunguko wa maji aka hydrological system hujawahi choka kufanya kazi yake.

Mdomo hujawahi choka ama tosheka kula.

Tumbo halijawahi choka kushiba chakula ama lichoke chakula.


Naweza nikaandika mpaka kesho Ila Kama una nia ya kuelewa utaelewa.


Unadhani wote walioana wameona na waliowapenda kidhati ,unadhani wote wenye wazazi unadhani huwa hawatamani Kama wazazi wao nao wangekuwaga mafisadi ili wangesomea na kukulia huko mambele.


Nakuona bado unaendeshwa na ego yaani unataka kama labda uonekane you're so special hapa duniani. Wakati you're dust Iike me.
@keisangora Ahsante, shukran Mkuu.
Maneno umeyatema kwa ukuu wa ufahamu wako Mwalim.

Hivi sasa ni saa 11:20 pm nimesoma maneno yako mara kadhaa nakahisi faraja kwa yanayonikuta. Kwangu imekuwa sababu ya kujipa moyo na kuacha kutafakari malimwengu.

Mimi nalala. Akipenda Mungu kuniamsha salama nahakika nitaamka mpya keisangora.

Mungu aibarike JF na lejendi kama wewe mkuu.
 
Tatizo la kujifikiria wewe tu ,, em ungefikiria watoto jamani.....

Afu pia maisha huenda na mtazamk wako mie nakuona unamtazamo mibaya yaan ile unajiona unaonewa au hawakutaki

Em jiamini kawatafutie mama watoto wanyonye bhana
We msichana mbona you sound so lovely and caring namna hii!!

Tell me you're single, please!
 
Back
Top Bottom