BaBa BoGo
Member
- Jan 17, 2023
- 17
- 23
Kwa nini usimuoe huyo mwanamke bwasheee [emoji3166][emoji3166][emoji3166]Nilimtafuta mwanamke nikampa ela kupitia mwanasheria akabeba mimba miez Tisa baada ya kujifungua watoto mapacha nikachukua watoto wangu nikampa hela tuliyokubaliana kila mtu Akala hamsin zake.